Ufaransa pia kutuma vifaa vya kuzuia mabomu ya Urusi yanayotupwa uraiani

Ufaransa pia kutuma vifaa vya kuzuia mabomu ya Urusi yanayotupwa uraiani

Halafu wewe mvaa kobaz wa Bongo nilikuambia nitakuumbua na zile propaganda zako za kusema Zelensky ameikimbia Ukraine na kutorokea Poland, leo Zelensky amehutubia akiwa Kyev, mtakoma na hayo mapropaganda yenu mkiwa na yule mvaa kobaz mwenzio Trubarg ...ha ha ha!!!

Kitu cha kwanza Trubarg ni msomi, actually reading between the lines is a technical oriented GURU, anazungumza mambo kiufundi kwa lengo la kuelimisha watu, hata tunapo pata taarifa kwamba Ikulu ya Zelensky na Ofisi nyeti za Serikali zimetiwa kiberiti na formidable missiles za Putin bila kizuizi tunajua ni kwa nini Missiles za Putin zime fanikiwa ku hit BULLS EYE, lakini mwezetu badala ya kutafakari mambo ya hitech huko buzy ukijaribu ku-derail mada nzima kwa kutumbukiza story za kitoto na mipasho ya kijinga.
 
Shtukeni wadau hili lijitu linalipwa pesa na NATO & EU kueneza propaganda za vita baina ya RUSSIA na UKRAINE, haiwezekani kila sekunde ni kuleta habari za kiduwanzi tu humu JF hata kama hakuna aliye mkamilifu lakini huu ni zaidi ya ukichaa..[emoji87]
Si lazima uje hapa kama umepata heart atack kwa habari zinazomuumiza putin usije tena hapa au vumilia
 
Shukrani ila kumbuka hata kifaa ni muunganiko wa components, kwa mfano computer ni kfaa chenye muunganiko wa components.
" a system is a set of actions and tools that help to manage something"
 
Kitu cha kwanza Trubarg ni msomi, actually reading between the lines is a technical oriented GURU, anazungumza mambo kiufundi kwa lengo la kuelimisha watu, hata tunapo pata taarifa kwamba Ikulu ya Zelensky na Ofisi nyeti za Serikali zimetiwa kiberiti na formidable missiles za Putin bila kizuizi tunajua ni kwa nini Missiles za Putin zime fanikiwa ku hit BULLS EYE, lakini mwezetu badala ya kutafakari mambo ya hitech huko buzy kujaribu ku-derail mada nzima kwa kutumbukiza story za kitoto na mipasho ya kijinga.

Hizi nadharia mnajaza huku hazina mashiko, sisi tunaongea kuhusu uhalsia on the ground, mtaandika insha na kuteseka kwenye typing, ila uhalsia ndio kitu cha msingi, Mrusi amewaweka pabaya, mlimtegemea ila ndio hivyo....
 
" a system is a set of actions and tools that help to manage something"
"Tools tend to be smaller programs that are sharply focused on particular tasks, though through scope creep they often lose this focus over time. System frequently implies a much larger whole and is often used to speak of hardware/software systems"
 
" a system is a set of actions and tools that help to manage something"

Sio rahisi kupata full definition ya system, maana unaweza ukasema whole defence ecosystem ya Ukraine comprises of various tools or sub-systems.
Binafsi mimi am a software engineer na kuna mojawapo wa software nimetengeneza ya ERP ambayo humo ina tools tofauti kama vile calculators, BI, analytics n.k. zote hizi unaweza ukaziita tools au sub-systems.
 
Hii yote ni kwa ajili ya kuzuia mashambulizi ya Putin ya mabomu anayopiga hadi bembea za watoto, ameikimbia frontline kaenda kushambulia makazi ya watu.

Nchi yote ikilindwa vizuri dhidi ya haya mashambulizi, mapigano yatandelea vyema frontline kule ambako anapokea kichapo balaa.

French President Emmanuel Macron says France will supply air-defense systems to Ukraine following a wave of air strikes by Russia this week that he said aimed "to shatter Ukrainian resistance."

France will deliver radars, systems, and missiles in the coming weeks to protect Ukraine from the attacks, Macron said on October 12, adding that France was also negotiating to send six Caesar mobile artillery units to Ukraine.

Speaking to broadcaster France 2, he reiterated that he reached an agreement that the Caesars, which were manufactured for Denmark, will be redirected to Ukraine.

He also said the war had entered "an unprecedented stage" since the weekend.

"This is a new phase of bombing coming from land, sea, air, and drones against essential infrastructure and civilians," Macron said.

Macron repeated that he believes a negotiated settlement between Ukraine and Russia would happen at some point to end the conflict, but it must be on Kyiv's terms.

"Today, first of all, Vladimir Putin must stop this war, respect Ukraine's territorial integrity, and come back to the table for talks," Macron said.

Macron also said he believes Kyiv will have to negotiate with Putin at some point despite Ukrainian President Volodymyr Zelenskiy saying he refused to do so.

MSN
Kwa wa Kenya wenzako huwezi peleka huu ujinga, huu unauleta huku kwa Wabongo tu
 
Sio rahisi kupata full definition ya system, maana unaweza ukasema whole defence ecosystem ya Ukraine comprises of various tools or sub-systems.
Binafsi mimi am a software engineer na kuna mojawapo wa software nimetengeneza ya ERP ambayo humo ina tools tofauti kama vile calculators, BI, analytics n.k. zote hizi unaweza ukaziita tools au sub-systems.
Literature mbalimbali zimetoa a clear distinction kati ya system, supersystem , sub system, tools, ecosystem, and other system key components.

Hata ukiangalia wenzetu, hawa-categorize advanced air defence system as tools/ equipments based on their complexity.

An advanced air defence system inajumuisha components mbalimbali mfano radars, connection kati ya one air defence system na nyingine, inahitaji watu, an array of satellites, and etc. ambazo zinapaswa kuwa integrated pamoja, na kuwasiliana pamoja based on a certain standard.

Kuna madesa yangu ya M.A nikiyaona nitashare.

Sorry sana kwa sababu nimekutoa nje ya mada.
 
Literature mbalimbali zimetoa a clear distinction kati ya system, supersystem , sub system, tools, ecosystem, and other system key components.

Hata ukiangalia wenzetu, hawa-categorize advanced air defence system as tools/ equipments based on their complexity.

An advanced air defence system inajumuisha components mbalimbali mfano radars, connection kati ya one air defence system na nyingine, inahitaji watu, an array of satellites, and etc. ambazo zinapaswa kuwa integrated pamoja, na kuwasiliana pamoja based on a certain standard.

Kuna madesa yangu ya M.A nikiyaona nitashare.

Sorry sana kwa sababu nimekutoa nje ya mada.

Umeiweka vizuri, well defined narrative, but I digress, back to the main topic....
 
Shtukeni wadau hili lijitu linalipwa pesa na NATO & EU kueneza propaganda za vita baina ya RUSSIA na UKRAINE, haiwezekani kila sekunde ni kuleta habari za kiduwanzi tu humu JF hata kama hakuna aliye mkamilifu lakini huu ni zaidi ya ukichaa..[emoji87]
It's out of proportion kumtukana mtu bila sababu.

OK, inawezeka ni kweli analipwa na NATO & EU, but where are the evidences to support your argument? Should we support you out of nowhere? Ofcourse no.
 
Shtukeni wadau hili lijitu linalipwa pesa na NATO & EU kueneza propaganda za vita baina ya RUSSIA na UKRAINE, haiwezekani kila sekunde ni kuleta habari za kiduwanzi tu humu JF hata kama hakuna aliye mkamilifu lakini huu ni zaidi ya ukichaa..[emoji87]
Unaonaje ukihit ignore button na kumove on,vinginevyo tutakushangaa kuendelea kukodolea macho na kusoma mada zake. Mkuu MK254 shikilia hapo hapo naona kisu kinafika kwenye mfupa wa Pro Russia hapa JF
 
Halafu wewe mvaa kobaz wa Bongo nilikuambia nitakuumbua na zile propaganda zako za kusema Zelensky ameikimbia Ukraine na kutorokea Poland, leo Zelensky amehutubia akiwa Kyev, mtakoma na hayo mapropaganda yenu mkiwa na yule mvaa kobaz mwenzio Trubarg ...ha ha ha!!!
Ha ha ha jamaa ni hodari wa kuandika comment ndefu na ukiangalia maneno ni yale yale tu huwa anayarudia rudia
 
Back
Top Bottom