zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Lockdown imewashinda kivpi wakati wameshachanja ndio wakapunguza restrictions?? Au ulidhani lockdown ni permanent solution??Bora unaongelea aliyofanya unayemsema, wewe lakwako ni lipi?
Tumeona, lockdown dunia nzima imewashinda, na lilikuwa ni jambo la muda tu kidhihirisha alichokuwa akikisema usiyempenda,
wewe unanini cha maana ili ulumbukwe we mbugila,?
Chanjoa haina faida kama 70% ya population haijachanja. Yaani ww hujachanja bado utaambukiza watu wengi however ukichanja na wote wakachanja obvious kasi ya kusambaa na vifo inapungua.kuna agenda gani nyuma ya hii chanzo?
Kwan we ukichanja hofu yako nini.
ikiwa ni kweli huambukizi wala kuambukiza.
Au kuna global spiritual agenda.
Hulielewi vizuri. Ufaransa itazuia watu wasiochanjwa kuingia sehemu kubwa za mauzo (shopping malls) tu, na ni kama hawana uthibitisho wa kutokuwa na corona kwa kupimwa. Kanuni hii haiuhusu supamaketi na maduka ya kawaidaNawasalimu kwa jina la JMT!
Tanzania kuchanja chanjo ya Corona ni swala la hiyari siyo lazima na kiukweli hili ni jambo jema.
Namuomba Mungu mwenyezi tusifikie ile hali ya nchi ya Ufaransa ambayo imewatangazia wananchi wake wasiochanja kwamba ifikapo 01/08/2021 hawataruhusiwa kununua vitu sokoni.
Mungu ni mwema wakati wote!
,666 itakuja baada ya Yesu kunyakuwa watu wake.kwa hiyo bado huo ni mfano wake
.Asee hebu tupeane elimu kidogo, hiyo 666 inauhusiano gani na chanjo?
Imetimia yale ya ufunuo kuwa "ikiwa hautachanjwa alama ya mnyama yule hautaruhusiwa kuuza wala kinunua"Nawasalimu kwa jina la JMT!
Tanzania kuchanja chanjo ya Corona ni swala la hiyari siyo lazima na kiukweli hili ni jambo jema.
Namuomba Mungu mwenyezi tusifikie ile hali ya nchi ya Ufaransa ambayo imewatangazia wananchi wake wasiochanja kwamba ifikapo 01/08/2021 hawataruhusiwa kununua vitu sokoni.
Mungu ni mwema wakati wote!
tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yuleNawasalimu kwa jina la JMT!
Tanzania kuchanja chanjo ya Corona ni swala la hiyari siyo lazima na kiukweli hili ni jambo jema.
Namuomba Mungu mwenyezi tusifikie ile hali ya nchi ya Ufaransa ambayo imewatangazia wananchi wake wasiochanja kwamba ifikapo 01/08/2021 hawataruhusiwa kununua vitu sokoni.
Mungu ni mwema wakati wote!
🤣🤣🤣Si ndio huyu alituambia Magu ni mzima wa afya?!
Mi sitachanja,binafsi!Hiyo hiari ni siasa tu na mtachanja mpende msipende.
Watajua wapi pa kuwabana mpaka mchanje.
Ni swala la muda tu.
Sihitaji kukumbukwa kukumbwa kwa kulazimsha kama legacy fake inayolindwa na mtutu , nitakumbukwa inapobidi ila sio kwa kulazimisha misifa ..Bora unaongelea aliyofanya unayemsema, wewe lakwako ni lipi?
Tumeona, lockdown dunia nzima imewashinda, na lilikuwa ni jambo la muda tu kidhihirisha alichokuwa akikisema usiyempenda,
wewe unanini cha maana ili ulumbukwe we mbugila,?
Nyie jamaa wapuuzi sana, hao wazungu waliowaletea hao miungu mnaowaabudu, biblia na huo uchafu mwingine wanachanja! Nyie mlioletewa hivyo vitu ili muwe makondoo wawatawale vizuri hamtaki kuchanja, kwa hakika itatuchukua muda mrefu waafrika kufunguka bongo zetuHaya mambo ya kipindi cha dhiki kuu wasabato wameyafundisha tangu miaka mingi sana, nafikiri udhihirisho wake ndo unaanza hivyo. Kwa sisi tunaomtumainia Mungu Mwenyezi ni kujiaandaa kwenda kuishi milimani, tutakula nini Mungu ndo anajua.........ila imeandikwa atakayevumilia hadi mwisho ndo ataokoka.........soma mwenyewe mistari kutoka ufunuo wa Yohanna..............
13.16 Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao;
13.17 tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.
13.18 Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita.
Haha, itakuwa Faru JobSasa hayo machanjo ya Pepopunda na Polio yaliopo kwenye Hospitali zetu ni Chapa ya Mnyama gani?
Kwa hio unanifananisha na wazungu kuwa utauziwa kutonunua viazi pale buguruni??Nawasalimu kwa jina la JMT!
Tanzania kuchanja chanjo ya Corona ni swala la hiyari siyo lazima na kiukweli hili ni jambo jema.
Namuomba Mungu mwenyezi tusifikie ile hali ya nchi ya Ufaransa ambayo imewatangazia wananchi wake wasiochanja kwamba ifikapo 01/08/2021 hawataruhusiwa kununua vitu sokoni.
Mungu ni mwema wakati wote!
Unaweza kuthibitisha kwamba unazo akili na zinapatikana sehumu gani katika mwili wako?Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
Hataree!Hata kwako Tanzania ni swala la mda TU hicho ndio kitu kinachofuata duniani kote
Mbona hospitali huingii bila barakoa bwashee?Kwa hio unanifananisha na wazungu kuwa utauziwa kutonunua viazi pale buguruni??
Acha kunywa ulanzi bwasheee
Bwasheee mazingira yetu na yao ni tofauti kabisaMbona hospitali huingii bila barakoa bwashee?