Ufaransa wadai kugundua dawa ya ukimwi/vvu

Ufaransa wadai kugundua dawa ya ukimwi/vvu

badilisha basi pale uandike.....halalisha.......ulichoandika kinanifanya nifikirie kitu kingine........

Unajua huku kwetu r na l zinatumika sawa tu. Mother tongue inaingilia mpaks lugha nyingine.
 
Mkuu, Kansa huharibu mpangilio wa DNA kama ilivyo HIV na yenyewe huharibu DNA na ule Mnyororo unaposomwa, yanaanza kusomwa makosa ambayo husababisha ile sehemu ianze kufanya ndivyo sivyo.

Ndiyo maana nikasema tusubiri wataalamu maana mie niko kwenye Engineering zaidi na Biology sijaisoma kabisa ila nimekuwa nikishiriki sana Story zinazohusu DNA na Virus kwa ujumla Mwilini na kwenye Computer.

Unajua hata HIV mwingine anaweza akasema ni HIV na siyo Virus. Inawezekana tunaongelea jambo hilohilo. Siwezi kukupinga kwa hilo ingawa ukiangalia sana ni kitu ileile kuwa "chembe chembe za mwili huasi utaratibu na kuamua kuishi milele na kugawanyika/kuongezeka bila mpango" ambapo ni sawa na Virus wakiingia kwenye Computer na Computer huanza kufanya mambo bila mpango unaotakiwa.

Ninavyofahamu mie, si kuwa ZINAAMUA from no where kuishi bila utaratibu ila ni hao VIRUS wanaanza KUZIPOTOSHA na kuzipa Information FAKE. Kwa mfano mmepanga foleni na mnahesabiwa, 1, 2, 3, 4, na ghafla mmoja anasema Baba, badala ya 5, kuna uwezekano anayefuata akasema Mama, Dada, Shangazi, 6, 100 nk nk.
kwani KANSA nayo ni infection? Nayo pia inasababishwa na pathogens? Siyo kwamba ni chembe chembe za mwili huasi utaratibu na kuamua kuishi milele na kugawanyika/kuongezeka bila mpango?
 
Tatizo ya Ukimwi ni kuwa hao siyo wadudu ila VIRUS. Kuwaondoa Virus mwilini ni kasheshe.

Inabidi waje wagundue Anti Virus ambao wataingizwa mwilini na kuwashambulia.

Mfano ni ugonjwa wa KANSA ambao na wenyewe ni VIRUS. Juzijuzi wametibu mtu kwa kumwingizia Virus waliokuwa modified wa Ukimwi na jamaa akapona. Kilichotokea hapo ni kuwa hao Virus wa Ukimwi walikuwa kama ANTI VIRUS na wakawashambulia Virus wa Kansa na mtu akapona.

Labda wawabadili Virus wa Kanza na waanze kuwatumia kuwala Virus wa ukimwi?!?!?! Ngoja wataalamu wa IT na Uganga waje hapa watupe mwanga zaidi kwa hili.

Ila msianze ngono nzembe sasa maana kuna magonjwa mengine mengi tu yanauwa na hujui bei ya hiyo dawa itakuwaje.

Sasa hao virusi wakipandikizwa kazi yao ikiisha ya kula virus wanaenda wapi?
 
Ndiyo maana nikaandika kuwa walikuwa Modified. Ni sawa na Program ya Anti-Virus ikishamaliza kuwasaka na kuwaondoa Virus wote, inakwenda wapi? Sikumbuki jibu lilikuwa lipi ila ni kuwa hao Virus walikuwa hawana madhara kwa binadamu na hawaharibu kabisa Mkanda wa DNA na hivyo wanakuwa siyo VIRUS ila ANTI-VIRUS.

SOMA HAPA: http://www.ksl.com/?nid=148&sid=23347776
Sasa hao virusi wakipandikizwa kazi yao ikiisha ya kula virus wanaenda wapi?
 
Sasa hii tiba ikipatikana jamani na hawa warembo wanao ongezeka kila kukicha,ndoa zetu zitasalimika kweli?
 
Back
Top Bottom