imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Hiyo michezo ilikuwepo tokea enzi na enzi ila ilikuwa ikifanyika Vyumbani ila kwa upande mwingine ukiwa masikini utanyanyasika tu mtu anakukopesha halafu anakuambia masharti yenye nia ya kukudhalilishaSawa sawa lakini neno kuzibuana lisiwepo tu nchini humu wazungu wanatumaliza