Vita haijaisha tushaamin tumeshinda , hayo ndo mapungufu yetu watu weusi , ngozi nyeupe hupambana mpk dk ya mwisho tofauti na sisiUfaransa huenda likawa taifa la mwanzo Ulaya kufa.Sasa hivi wanarusha mateke. Ujerumani itafuatia.
Hao wajanja wanakula koteHuu upepo ukifika East Africa,ahaaaa simpati picha akina Kagame na Mseveni
Acha kuabudu binadamu wenzakoVita haijaisha tushaamin tumeshinda , hayo ndo mapungufu yetu watu weusi , ngozi nyeupe hupambana mpk dk ya mwisho tofauti na sisi
Wanapitia kipindi kigumuNi hatari sana mabeberu Kwisha kazi yao
Ukoloni mamboleo wanauficha na kivuli Cha demokrasia [emoji4]Kile ambacho watawala wengi wa Africa hawajui ni
‘Hakuna msaada unatolewa na nchi za Magharibi’
Ni rasimali za Africa wanazochukua wanarudisha surplus baada ya kupata wao faida zaidi..
Hakuna AID yoyote ni pesa yetu wenyewe
Waache kukupumbazwa na rangi nyeupe.. Hawa watu ni washenzi period. Hawamthamini Mwafrika wanachofanya ni kucheza na akili za watawala nao wanaamini
Umaskini wetu ni zao la Ujinga wetu.
Wenzetu wanapambania uhuru wao sisi tunapambania kutawaliwa tena na mwarabu.Hivi ni Ufaransa ndio inaisaidia Burkinafaso au Burkinafaso ndio inaisaidia Ufaransa. Hawa viongozi mabeberu kazi yao ni kuchota rasilimali za Afrika na kuzipeleka ulaya, waafrika Wakifanikiwa kupata Viongozi Makini ukoloni mambo leo utatoweka, ila kama tutaendelea kuwa na hawa kina Chief Mangungo safari bado ni ndefu
Ufaransa ni mapumbavu tuUfaransa hamna kitu ni mabwege fulani na hawajielewi
Waafrika ni wehu tuVita haijaisha tushaamin tumeshinda , hayo ndo mapungufu yetu watu weusi , ngozi nyeupe hupambana mpk dk ya mwisho tofauti na sisi
Ni sawa na Africa watawala wanaamini pesa za misaada ni kodi za wananchi wao wakati si kweli. Financial Aid yoyote ni surplus kwao baada ya uuzwaji wa rasimali za Africa. Hakuna pesa ya bure.Ukoloni mamboleo wanauficha na kivuli Cha demokrasia [emoji4]