Waswahili wanasemaga 'Mwanakuyataka Mwanakuyapata', Jairzinho baada ya kumchakaza Overeem akajiona mwamba, kwa mbwembwe akaomba pambano na Ngannou, kilichomkuta ndo hicho kadundwa ndani ya sekunde 20.20 seconds!? bora tuu hakukuwa na mashabiki[emoji23][emoji23][emoji23]
Duh!muda huo upo zako unakat ticket uzame ndani uchek game unaelekea kwenye kiti unaskia kengele game over 😂😂 nadhan ndo maana wanawekaga game nyingi yaan bandika bandua...noma sana huo mchezoWaswahili wanasemaga 'Mwanakuyataka Mwanakuyapata', Jairzinho baada ya kumchakaza Overeem akajiona mwamba, kwa mbwembwe akaomba pambano na Ngannou, kilichomkuta ndo hicho kadundwa ndani ya sekunde 20.
Hatahivyo rekodi ya kumaliza pambano mapema ya UFC bado inashikiliwa na Jorge Masvidal aliyempiga Ben Askrem KO kwa sekunde 5 tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes, huu mchezo unaishaga haraka kuliko boxing, ukiotewa ni fastaaaDuh!muda huo upo zako unakat ticket uzame ndani uchek game unaelekea kwenye kiti unaskia kengele game over [emoji23][emoji23] nadhan ndo maana wanawekaga game nyingi yaan bandika bandua...noma sana huo mchezo