UFC na mieleka ni kwa ajili ya wazungu ngozi nyeusi tunatafutiana kesi hapo

UFC na mieleka ni kwa ajili ya wazungu ngozi nyeusi tunatafutiana kesi hapo

nergomafioso

Senior Member
Joined
Apr 3, 2024
Posts
109
Reaction score
284
Inasemekana Mieleka ni maigizo yenye uhalisia🤨

Mzungu ameweza kuyaaminisha macho ya watazamaji kila kinachoonekana ni kweli😅
Wanatengeneza pesa ndefu sana kwa ile drama yao,

Tatizo Lipi hapo kwa ndugu 👇🏾👇🏾zangu Africans wameamua waonteshe hatuwahi kushindwa na kitu chini ya hii🌍

SASA WAKIPASUANA MABANDAMA NANI WA KULAUMIWA?

 
Inasemekana Mieleka ni maigizo yenye uhalisia🤨

Mzungu ameweza kuyaaminisha macho ya watazamaji kila kinachoonekana ni kweli😅
Wanatengeneza pesa ndefu sana kwa ile drama yao,

Tatizo Lipi hapo kwa ndugu 👇🏾👇🏾zangu Africans wameamua waonteshe hatuwahi kushindwa na kitu chini ya hii🌍

SASA WAKIPASUANA MABANDAMA NANI WA KULAUMIWA?

View attachment 3087339
Nmecheka mno
 
Kaangalie ''Dambe warriors'' tena Afrika hiyo ni michezo ya jadi hata kujenga urafiki .
 
Back
Top Bottom