BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Mamilioni ya wanafunzi wamerejea shule kwa mara ya kwanza leo Agosti 22, 2022 ikiwa ni miaka miwili imepita tangu Serikali ilipoweka vizuizi vya UVIKO-19 ili kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya virusi hivyo
Wanafunzi wote watalazimika kuendelea kuvaa Barakoa, kukaa kwa idadi ndogo na kutumia vipukusi ili kujikinga na maambukizi mengine na wote watatakiwa kuhudhuria masomo ya darasani na sio kusoma kwa njia ya mtandao kama ilivyokuwa miaka miwili iliyopita.
Wizara ya Elimu imeagiza wanafunzi kuhudhuria masomo siku tatu kwa wiki na itapofika Novemba 2, 2022 shule zote zitarejea kwenye utaratibu wa siku tano za masomo.
===================
Millions of Philippine students returned to classrooms for the first time in more than two years on Monday, after the country lifted most remaining COVID-19 curbs to try and reverse learning losses.
Students, all wearing face masks, queued to enter their classrooms and attended flag raising ceremonies in their schoolyards across the Southeast Asian country as the government phases out remote learning.
"For two years, we longed for face-to-face classes so even if there's a flood, we will continue our lessons," said school teacher Mylene Ambrocio, 37, as she stook in ankle-deep water in a classroom in Pampanga province north of the capital. "I am happy to see the children face-to-face."
Precautions such as temperature checks, mandatory masks and limits on the number of students per classroom remain in place.
The country's school closures due to the pandemic were among the longest in the world, with reopening delayed by slow vaccine rollouts and elections earlier this year.
REUTERS
Wanafunzi wote watalazimika kuendelea kuvaa Barakoa, kukaa kwa idadi ndogo na kutumia vipukusi ili kujikinga na maambukizi mengine na wote watatakiwa kuhudhuria masomo ya darasani na sio kusoma kwa njia ya mtandao kama ilivyokuwa miaka miwili iliyopita.
Wizara ya Elimu imeagiza wanafunzi kuhudhuria masomo siku tatu kwa wiki na itapofika Novemba 2, 2022 shule zote zitarejea kwenye utaratibu wa siku tano za masomo.
===================
Millions of Philippine students returned to classrooms for the first time in more than two years on Monday, after the country lifted most remaining COVID-19 curbs to try and reverse learning losses.
Students, all wearing face masks, queued to enter their classrooms and attended flag raising ceremonies in their schoolyards across the Southeast Asian country as the government phases out remote learning.
"For two years, we longed for face-to-face classes so even if there's a flood, we will continue our lessons," said school teacher Mylene Ambrocio, 37, as she stook in ankle-deep water in a classroom in Pampanga province north of the capital. "I am happy to see the children face-to-face."
Precautions such as temperature checks, mandatory masks and limits on the number of students per classroom remain in place.
The country's school closures due to the pandemic were among the longest in the world, with reopening delayed by slow vaccine rollouts and elections earlier this year.
REUTERS