Ufirauni ni machukizo makubwa mbele za Mungu fanyeni toba

Ufirauni ni machukizo makubwa mbele za Mungu fanyeni toba

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,325
Reaction score
7,807
Haya mambo kuingilia wanawake kinyume na maumbile kwa sasa yamekuwa ni fasheni lakini katika ulimwengu wa roho dhambi hii ni mbaya sana sababu utapofanya dhambi hii katika ulimwengu wa roho utaonekana kama mtu mwenye alama ya muhuri kwenye paji la uso wako yani ata siku utapokufa na unasogea katika kiti Cha hukumu nafsi yako itakukumbusha dhambi hii hapa ndio utaona ubaya wa dhambi hii na dhambi nyingine wakati huo nafsi yako itaanza kujuta na kuumia kusiko kwa kawaida yani kwa kuogofya sana mana muda wakutubu haupo tena

Ombeni toba dhambi hii ni mbaya sana ukiwa katika mwili utaendelea kubarikiwa tu na kuendelea na maisha mengine lakini utapokuwa umekufa dhambi hii itakuwa yakwanza mana imewekwq alama kwenye paji la uso wako ombeni toba dhambi hii na kuacha kabisa kufanya huu ufirauni tubuni muokoke
 
Ila dhambi zingine nzuri au?
Hapana dhambi zote ni mbaya ila dhambi hii ni machukizo kwa Mungu tendo hili linakosoa uumbaji wa Mungu kumbuka Mungu alivyoamua kuangamiza kizazi Cha Sodoma na gomora
 
Hapana dhambi zote ni mbaya ila dhambi hii ni machukizo kwa Mungu tendo hili linakosoa uumbaji wa Mungu kumbuka Mungu alivyoamua kuangamiza kizazi Cha Sodoma na gomora
Kwahiyo kuna dhambi kubwa na ndogo?
 
Back
Top Bottom