UFISADI: $350 million stolen from Tanzanians in Vodacom scandal

UFISADI: $350 million stolen from Tanzanians in Vodacom scandal

@Lekakui soma hii halafu tafuta JICK ya kumsafisha mheshimiwa sana
tangu 2010 mambo yanajulikana kaka ni wewe tu

1 Gazeti la Raia Mwema la Novemba 2010 ,
liliripoti na kuonyesha picha ya nyumba
ambayo familia yako inamiliki Uingereza .
Ukasema ni ya mwanao . Je, kwa nchi
maskini kama ya kwetu , ni sahihi kwa
kiongozi mkubwa kumiliki nyumba kubwa
na ya kifahari nje ya nchi ?

2 . Mkapa alipounda Baraza la Mawaziri
jipya mwaka 1995 alikuacha . Wengi
wanasema kwamba Mwalimu alimwambia
asikupe hata Uwaziri je Kwanini mwalimu
Alikukataa???

3 . Tangu mwaka 1994 , yaani miaka 20
sasa, Afrika ya Kusini imekuwa inakodisha
nyumba yako Masaki kama Ubalozi wake .
Kuna tetesi kwamba huko nyumba walitaka
kuhama lakini wakaogopa kuihama nyumba
inayomilikiwa na kiongozi mkuu na kuna
tetesi kwamba sasa wanataka kuhama
lakini wanatishiwa kwamba hamuwezi
kuhama nyumba ya Rais ajaye . Ni kiasi
gani cha fedha umepata kwa miaka 20 ya
kukodisha nyumba hiyo ? Je kiasi hicho
kimeripotiwa kwenye fomu ya maadili?

4 . Kuna maelezo kwamba nyumba hiyo ya
Masaki ambayo Mzee Mandela alikuja
mwaka 1994 kuufungua ubalozi mpya wa
Afrika ya Kusini ndicho chanzo kikuu cha
Mwalimu kusema kwamba inakuwaje kijana
wa miaka 41 , akiwa mtumishi ya umma
maisha yake yote na mshahara wake
unajulikana , anamiliki hekalu kama lile na
tena kulikodisha kwa Serikali ya kigeni . Je,
unasemaje kuhusu hili ?

5 . Pia unamiliki ranchi kubwa sana kule
Mzeri Handeni . Ranchi hiyo ilikuwa ranchi
ya taifa lakini ukajimegea na sasa
umeipanua kwa kumega maeneo zaidi .
Ranchi hiyo uliipata ukiwa bado kiongozi
wa umma. Je, mtu aliyewahi kuwa Waziri wa
Mifugo na Waziri Mkuu kujiuzia ranchi
iliyokuwa ya Serikali inaendana na dhana
ya uongozi safi na uliotukuka? Tukikupa
madaraka makubwa zaidi hautajiuzia kila
kitu? Vilevile, katika nchi ambayo wananchi
wengi hawamiliki ardhi , kwa kiongozi
anayetaka kuwa Rais wetu , kuhodhi eneo
kubwa la ardhi , inatuma picha gani kwa
wananchi hao ?

6 . Kwenye sakata la Richmond , ujasiri ni
kusema ukweli au kubwaga manyanga?
Kama ungesema ukweli na usingejiuzulu
kwenye Richmond , Chama kingeathirika
vipi wakati unasema hakuna kosa
lililofanyika???

7 . Kwanini kwenye kila tukio la kitaifa
ukisimama tu karibu na Kikwete
unahangaika kutuma picha kwenye
magazeti na mitandao yote ???

8 . Katika miaka yako 40 ya utumishi wa
umma, kuna jipi jipya ambalo umelisahau
na sasa utalifanya kwenye Urais???

9 . Umekuwa Waziri wa Ardhi , mbona
matatizo ya ardhi bado tele nchini ?
Umekuwa Waziri wa Maji , mbona matatizo
ya maji bado tele ? Umekuwa Waziri wa
Mazingira, mbona kuna matatizo ya
uchafuzi wa mazingira ? Umekuwa Waziri
wa Mifugo, mbona wafugaji bado maskini
na wanahangaika ?? huo urais unautaka wa
nini kama uwaziri umekushinda???

10 . Kwenye sikukuu hii , kila MNEC kapata
milioni 1 , hizo ni milioni 370 na kila
mjumbe 500 , 000 hizo ni bilioni 2 . Hizi
pesazinatoka wapi na zitarudishwa vipi? Je,
kuna zoezi la usafishaji wa pesa chafu
linalofanywa kupitia kampeni yako???

Shikamoo! LAZIMA NISEME
 
Last edited by a moderator:
Nyaraka hizi kutoka ndani ya Vodacom Tanzania yenyewe zinaashiria kuwa hii kashfa ni ya ukweli!

Asante mkuu kwa kutuwekea documents nyeti. Haya maelezo ya Vodacom yamenifanya nielewe vizuri jinsi watu walivyoiba mabilioni kwenye wizi huu
 
Na hii hapa ni barua ya Vodacom Tanzania kuvunja mkataba na kampuni ya Shivacom kutokana na kashfa hii ya wizi wa vocha ambazo walioibiwa ni wananchi masikini wa Tanzania wanaoweka vocha za shilingi 500 kwa wingi...

Hahahahaha, hiyo barua imenichekesha sana, hapohapo unavunja na mtu mkataba hapo hapo unam "invite" aje m negotiate mtalipana vipi makubaliano ya mkataba ikiwa utavunjwa.
 

  • • Tycoons Tanil Somaiya & Rostam Aziz implicated in the scam

    • Vodacom Tanzania MD Rene Meza receives $5 million bribe to keep silent

    • Tax worth over 121.5 billion/- evaded in the deal

    • PCCB, TCRA, TRA caught napping in massive fraud bigger than EPA and Escrow combined



Ama kweli JK alisema atajenga Mabillionea 1000 vile? Ubepari mtamu jamani acheni masihala!
 
Hahahahaha, hiyo barua imenichekesha sana, hapohapo unavunja na mtu mkataba hapo hapo unam "invite" aje m negotiate mtalipana vipi makubaliano ya mkataba ikiwa utavunjwa.

Ndiyo maana hizo tuhuma kuwa mabosi wa Vodacom wamepewa rushwa huenda ni kweli. Wewe umegundua mtu kafanya fraud na kuiba shilingi bilioni 675 halafu unamlipa fidia baada ya kuvunja naye mkataba badala ya kumpeleka polisi. Hii ni kesi ya jinai wazi wazi
 
$350 million (675 BILLION SHILLINGS) stolen from Tanzanians in Vodacom scandal

Posted on April 27, 2015

• Tycoons Tanil Somaiya & Rostam Aziz implicated in the scam

• Vodacom Tanzania MD Rene Meza receives $5 million bribe to keep silent

• Tax worth over 121.5 billion/- evaded in the deal

• PCCB, TCRA, TRA caught napping in massive fraud bigger than EPA and Escrow combined

A staggering $350 million (over 675 billion shillings) was stolen from Tanzanians in a massive scandal involving the sale of pirated electronic recharge vouchers from Vodacom Tanzania to customers.

The scam, which is bigger than the Bank of Tanzania’s infamous external payment arrears (EPA) and IPTL Tegeta escrow account scandals combined, involves Tanil Somaiya, a business tycoon behind several dubious deals in Tanzania, including the military radar transaction with Britain’s BAE Systems.

The production of the electronic recharge vouchers followed the signing of a contract between Vodacom Tanzania and Tanil’s Shivacom Group in 2007/08. This means that Shivacom acted both as a Vodacom super dealer and printer and supplier of electronic recharge vouchers, an obvious conflict of interest.

In the elaborate scandal, Tanil’s company, Shivacom Group, printed millions of pirated 500 shillings electronic recharge vouchers (Jero Jero) between 2008 and 2012 and colluded with other companies owned by Fred Lowassa (Alphatel) and TIB Development Bank Managing Director Peter Noni (Planetel) to distribute the vouchers across Tanzania.

Fred Lowassa is the director of Alphatel, a Vodacom super dealer, while Noni, a former senior Bank of Tanzania (BoT) official, also owns another Vodacom super dealer, Planetel.

Together, Shivacom colluded with Alphatel and Planetel to carry out the massive fraud involving the production, distribution and sale of pirate electronic recharge vouchers worth over 675 billion shillings without Vodacom’s knowledge until the scam was unearthed in 2012.

There was also rampant tax evasion in the scandal with Value Added Tax (VAT) worth more than 121 billion shillings evaded by Shivacom and its conspirators, which is a serious criminal offence.

Senior officials at Tanzania government regulatory and watchdog agencies such as the Tanzania Revenue Authority (TRA), the Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) and the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) were either complicit in the scandal or were caught napping.

Shivacom alone distributed more than half of the fake recharge vouchers, while the other pirate vouchers were distributed by its conspirators — Alphatel and Planetel.

The “Jero Jero” vouchers are the most fast-moving electronic recharge vouchers in Tanzania, with Shivacom printing hundreds of millions of fake vouchers using pins provided by Vodacom Tanzania.

The scandal not only caused Vodacom Tanzania huge financial loss, it also resulted in the detrimental loss of customer confidence. This is partly attributed to Vodacom Tanzania losing its dominance in Tanzania’s mobile phone industry, with Airtel and Tigo now threatening to wrestle away the company’s market share.

Insiders say Vodacom Tanzania’s MD, Rene Meza, found out about the scandal after just arriving in Tanzania from Kenya to take up the position of Vodacom Tanzania managing director.

“Rene Meza confronted Tanil about the scandal and demanded a $10 million kickback to keep quiet. Tanil arrogantly told him to piss off, so Rene retaliated by instructing Vodacom’s legal counsel to write a letter to Shivacom to terminate the electronic recharge voucher agreement for breach of contract,” said a well-placed source.

“Tanil went to Vodacom South Africa’s Group CEO, Shameel, and gave him a bribe of $400,000. Shameel then instructed Vodacom Tanzania to settle the matter with Shivacom. Rene Meza finally settled for a $5 million bribe from Tanil and Vodacom paid Tanil hefty compensation for termination of the contract despite the obvious fraud.”

Vodacom Tanzania’s lawyers gave legal advice that the contract should be terminated and Shivacom should pay compensation to Vodacom for the fraud. However, after bribes exchanged hands, Shivacom ended being paid a hefty compensation by Vodacom despite perpetrating the massive fraud.

In all this scandal, Tanil used a Dar es Salaam-based lawyer, Dilip Kesaria, to respond to legal queries from Vodacom.

Kesaria, who was disbarred in the United Kingdom for malpractices but fraudulently allowed to operate as a lawyer in Tanzania, is the Principal at Kesaria & Company advocates.

The following is a chronology of key events in the massive 675 billion shillings fraud involving Vodacom Tanzania’s Jero Jero electronic recharge vouchers:
Key Facts and Figures

• 2008. A 10-year agreement comes into effect for Shivacom Tanzania Limited to provide electronic recharge vouchers (EVD) to Vodacom Tanzania Limited. This means that Shivacom effectively played a dual role of being a Vodacom super dealer and EVD supplier in separate agreements.

• 2008-2012. The massive fraud committed by Shivacom over the 5-year period is worth more than $350 million (675 billion Tanzanian shillings), which is bigger than the Bank of Tanzania EPA and Tegeta Escrow account scandals combined. This fraud was done by Shivacom printing TZS 500 electronic recharge vouchers (Jero Jero) fraudulently and distributing them into the market without Vodacom’s knowledge.

Other Vodacom super dealers, including Alphatel and Planetel are also implicated in directly colluding with Shivacom to distribute pirate recharge vouchers.

• 31 July 2012. Vodacom Tanzania Ltd’s Chief Legal & Regulatory Officer writes a letter to Shivacom Tanzania Ltd to formally notify the company about breach of contract. This comes after Vodacom Tanzania Ltd discovered that Shivacom has been engaged in massive fraud over the past 5 years (2008-2012) by printing and distributing pirate electronic recharge vouchers using pin numbers provided by Vodacom. This letter effectively terminated the EVD contract between Vodacom Tanzania Ltd and Shivacom Ltd.

• 3 August 2012. Shivacom responds to Vodacom’s letter, disputing the decision to terminate the EVD contract under advice from Kesaria.

• 3 September 2012. Shivacom Group’s Managing Director, Tanil Somaiya, writes a letter to Vodacom’s Group CEO in South Africa, Shameel Aziz Joosub, requesting a meeting to discuss the EVD contract termination. Tanil succeeds in meeting with Shameeel, who is compromised and orders Vodacom Tanzania to settle the matter with Shivacom and pay compensation to the company for contract termination despite the fraud. The meeting between Tanil and Shameel with other senior Vodacom officials took place on 1 November 2012.

Vodacom Tanzania MD, Rene Meza, receives a bribe of $5 million from Tanil Somaiya to resolve the matter.

• 9 November 2012. Tanil writes a letter to Shameel, saying he was offering his Shivacom Superdealership subscriber base for sale. Shivacom gave Vodacom the right of first refusal and asked for consent to scout around for alternative buyers if Vodacom was not interested in buying the dealership.

• 14 November 2012. Vodacom Tanzania Ltd’s Chief Legal & Regulatory Officer writes a letter to Shivacom offering compensation payment for termination of the contract. This is despite the fact that Vodacom’s lawyers gave legal advice to the firm to terminate the contract with Shivacom given the fact that Shivacom have breached the contract by duplicating TZS 500 vouchers.

• 29 November 2012. Tanil writes a letter to Shameel rejecting Vodacom’s “paltry” compensation offer. Tanil demands hefty compensation for loss of profit, cost of hardware and software of the voucher production equipment and cost of unutilized stock of raw materials.

• 2012-2015. Vodacom settles with Shivacom by paying the company a multi-million U.S. dollar compensation despite the company committing the massive fraud.

To be continued...

how can an issue which started in 2008, and more or less ended in 2012 is surfacing now?? let not take sides on this fake issues, i can tell you maybe only 2% of this is true, 98% is sensationalisation
 
Huyu mwanasheria wa Vodacom Tanzania, WALARICK NITTU, aliyeandika barua hii bado yupo? Polisi na TAKUKURU wamhoji kwani atakuwa ni shahidi muhimu kwenye uchunguzi wa wizi huu mkubwa uliofichika tangu miaka 5 iliyopita.
 
how can an issue which started in 2008, and more or less ended in 2012 is surfacing now?? let not take sides on this fake issues, i can tell you maybe only 2% of this is true, 98% is sensationalisation

Sadoliki you seem to be a chicken head. Many big scandals are hidden for many years because of corruption, fear and conspiracies until they are uncovered years later. For example, the IPTL agreement was signed in 1994 but it was only in 2014/15 (20 years later) that details about this scandal emerged to the public. Grow a brain.
 
Chama Cha Mafisadi
Chama Cha Majambazi
Chama Cha Majangili
Chama Cha Mafioso
Chama Cha Majizi
Chama Cha Mashetani

you name it......
tutayakemeaje haya mapepo ndugu mashetani yana majina marehemu shekhe yahaya angekuwepo angatuambia majina ya haya mashetani ccm yamejipachika tu kama mapepo!!
 
Hii inaweza kuwa sababu Rostam Aziz kuuza hisa zake mwaka jana?
 
voda-page00011.jpg
PAKUA Ushahidi...
 

Attachments

Back
Top Bottom