Eti in God we trust na rushwa mliopokea ili mumuulizie chama 2015 mmeridisha?Whatever lkn leo chama ni safi na kipo kwenye mikono salama baada ya fisadi kuu kuhamia ccm na hii issue lazima tuivalie njuga
In God we trust
Whatever lkn leo chama ni safi na kipo kwenye mikono salama baada ya fisadi kuu kuhamia ccm na hii issue lazima tuivalie njuga
In God we trust
Ni kweli miaka hyo hakukuwa na namna transparent ya kumonitor revenues za Telco na hii ndo jinamizi zaid sababu mwanya wa kupigwa ndo ulikuwa mkubwa.internet penetration haikuwa juu kivile,na kulikuwa na hadi kifurushi cha jero kwa mwezi,mara nyingi watu walikuwa wanabrowse bila hata kujiunga na kifurushi,means internet ilikuwa cheap.
Mimi nimeifahamu internet 2001,kabla hata google haijakuwepo,
Tcra walikuwa hawajafunga mitambo ya kumonitor makampuni ya simu ili kuweza kutambua kodi halisi iliyotakiwa kulipwa,means ukadiliaji wa kodi ulitegemea mahesabu ya mapato ya makampuni ya simu,
kusema kuwa mkurugenzi wa voda alihonga bilioni 5,ili kuachia wahindi waibe bilion 650,wakati yeye ndo alikuwa boss,ni too unreallistic
Mbona kila mkija mnasema ni ya zamani? So what? Ina maana ndo haina mashiko? Au mlidhani kuzuia uhuru wa habari ndo yataisha. Yani ndo maana mkanuita RA ikilu mafisadi wakubwa mkijinadi eti nyie ni wapya! Stupid kabisa.
Teh teh tehHata mama'ko hukunwa, kama unabisha muulize.
Kwahiyo kwasababu kuna mtambo mpya, basi yaliyopiya sindwele tugange yajayo?Sikilizaaaaaa.. huu uwizi hata kama ulitokea, mtambo mpya ulikuwa bado haujaanza kufanya kazi.. Sasa hv tuna mtambo mpyaa hata kivocha kimoja tu kikiingizwa inajulikana na mapato halisi ni automatic.. Wadanganye CDM wenzako wenya akili za wale wanyama wa serengeti.. Sasa hv hakuna jinsi hata nukta kuibia serikali kupitia mitandao ya simu, iwe money transactions zote za mitandao ya simu au vocha au datas..!! TCRA sasa hv ni kama ulaya, no cheating ktk communications zooote..!!
Mkuu lakini tulikuwa tunalalamika wafanyabiashara wanaonewa then we went extra mile tukasema hata RA kaamisha biashara zake kapeleka Kenya.Amkaribishe Rostam Aziz ikulu wakanywe chai na haluwa!
Siyo tu ilinyamaza, bali inatunyamazisha!Kwa nini ccm ilikuwa imenyamazia then?
Jamaa amemtukana dada na akutumia lugha mzuri we angalia conversation yao utajua.Itakuwa amemjibu huyo Bibi ni mdini! Ni kwasababu RA ni muislam mwenzake! Wengine hapa sisi Taifa kwanza, nukta!
Mkishindwa hoja mnakimbilia "udini".Tuondolee udini wako kwa RA kikongwe wewe
In God we trust
Mimi nimefukuwa ama ni RA na Maghufuli?Mkuu lakini tulikuwa tunalalamika wafanyabiashara wanaonewa then we went extra mile tukasema hata RA kaamisha biashara zake kapeleka Kenya.
RA amerudi tunalalama na kufukua makaburi ya mwaka 2012,je unafiki watanzania utaisha lini na kwanini ufukuaji uwe baada ya Edo kurudi CCM?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jikite kwenye hoja achana nao! Nina uhakika mmoja haipendi hii thread kabisa kama wewe. Anasema ni ya zamani. Nimemwambia awaombe mods waiunge na hiyo ya zamani.Jamaa amemtukana dada na akutumia lugha mzuri we angalia conversation yao utajua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ni ukweli, nani ameshindwa hoja ipi? Hoja yako wewe ni ipi? Kuwa Hii ni habari ya 2015 hiyo ni hoja? What a stupid argument!Mkishindwa hoja mnakimbilia "udini".
"Udini" maana yake nini?
Ila mkuu usisahau baadhi ya fungu kutoka kwenye huu ufisadi ulitumika na Edo kutumika kununua ticket ya kupitishwa kuwa mgombea wa uraisi kupitia UKAWA.Sawa! Kama kuchukia ufisadi ndo udini, basi hiyo ndiyo dini yangu ya kwanza kabisa!
Naona kuna watu mnaumia kwelikweli! Kwanini? Nilidhani wote tuko pamoja dhidi ya wabaya wa Taifa letu?
Ulishawahi kuusikia mfano wa Mao Zedung na mwanawe ambaye alienda vitani akakamatwa na maadui enzi hizo Japan walipoivamia China? Kama hufahamu, uliza halafu nikueleze inahusianaje na habari hii!
Wapi Lowassa ametwajwa? Fred Lowassa ndiyo Edward Lowassa? Au una makengeza?Mbona Lowassa alipokuwa Chadema ulikuwa husemi haya! Au ulikuwa kipofu ulikuwa huoni wewe dada??
Who cares! Nani kakwambia nina chama? Utakuwa umeanza kunisoma leo humu!Ila mkuu usisahau baadhi ya fungu kutoka kwenye huu ufisadi ulitumika na Edo kutumika kununua ticket ya kupitishwa kuwa mgombea wa uraisi kupitia UKAWA.
Na kwa mwendo huu tunapoendea uko mbele ya safari zitaanikwa payslip au cheque kopi au video jinsi walivyokuwa wanawalipa viongozi wa juu wa CDM.
Sent using Jamii Forums mobile app