UFISADI: $350 million stolen from Tanzanians in Vodacom scandal

UFISADI: $350 million stolen from Tanzanians in Vodacom scandal

Hii habari haikuwataja kina Rostam ndiyo maana kina FaizaFoxy wakataka iungwe? Certainly kuna utofauti!

Boss Maxence Melo ebu tizama hili suala! Uamuzi wowote nitaridhika nao mkishatizama hoja yangu. Thread yangu haifanani kimaidhui na hii hapa! Pia habari yake haiko detailed kama niliyoiweka kutoka whistleblower press!
Wapi "FaizaFoxy wakataka iungwe"?

Unaota au unatafuta kiki?
 
Kwa msiojua ni kuwa vodacom ndo waliilipa shivacom compesation ya mamilion ya dola kwa kukatisha mkataba,na amri ilitoka vodacom makao makuu africa kusini,this means Rene Meza alikuwa na makosa kukatisha mkataba wake na shivacom kwa maneno ya mitaani,kumbuka shivacom walikuwa wakiprint vouncher kwa kutumia pin number zilizotolewa na voda yenyewe
 
Acha kulia lia.
Silii bali nacheka mkuu. Wewe ndio unalia lia tangu jamaa arudi nyumban sasa amekuwa fisadi wakati mlikubali watanzania wamtilie kura ili apatikane rais fisadi..... wanasiasa wana njaa sana kwa kweli.... wanaongea sanaaa ila walikaa kimya na kumpa kiti cha kugombea urais yule waliemwita na wanaemwita fisadi. Inaonesha ni jinsi gani kuwa CDM hawana lolote zaid ya njaa tu.

Poleni sana!
 
Wapi "FaizaFoxy wakataka iungwe"?

Unaota au unatafuta kiki?
Mkuu Maxence Melo kwasababu thread imemtaja RA kuhusika kwenye hiyo scandal basi ndiyo iunganishwe na hii? Mbona sijaona popote kwenye hii article walipotajwa kina Peter Noni, RA, Fred Lowassa? Thread yangu nimeanzisha with a different article. Hakuna cha uongo kilichoandikwa kwenye ile thread! Eti imeunganishwa na hii kwasababu habari ile ni ya zamani, so what? Hatua gani zilichukuliwa? Tafadhali mkuu, sijaona umuhimu wa kuunganisha thread ile zaidi ya ku neutralize ukweli!
 
Silii bali nacheka mkuu. Wewe ndio unalia lia tangu jamaa arudi nyumban sasa amekuwa fisadi wakati mlikubali watanzania wamtilie kura ili apatikane rais fisadi..... wanasiasa wana njaa sana kwa kweli.... wanaongea sanaaa ila walikaa kimya na kumpa kiti cha kugombea urais yule waliemwita na wanaemwita fisadi. Inaonesha ni jinsi gani kuwa CDM hawana lolote zaid ya njaa tu.

Poleni sana!
Kwani thread yangu ilihusiana vipi na Edward Lowassa? Article iliwataja RA, Peter Noni, Fred Lowassa na huyu aliyejiuzulu ambaye thread hii ndiyo inayomuhusu! Mmepeleka fitna hadi thread ikaungwa! Wakati hakuna sababu ya kufanya hivyo kama siyo kulinda feelings za baadhi ya watu humu.
 
Boss Maxence Melo please sort this out. The other thread had more info and it was an extensive investigative report. No answers from those questions until now! The fact that Rene Meza, one of the culprits was indicted, can somehow explain why the others are also responsible for tax payers money! The heading for the thread was exactly that! More than 600B Tzs tax payers money was squandered! This thread is about Rene Meza and not about the details of the scandal itself!

Even if that was the case, kuna thread kibao kuhusu one individual same issue, lakini haziunganishwi. Hizi zimeunganishwa wakati ni tofauti kabisa! Hii ni implication on one person only! Labda hii ndo ingeungwa na ya kwangu based on topic infredients. Bila kujali ni ili ililetwa kwanza!

Thank you.
 
Hapa sasa afadhali kabisa! FaizaFoxy , hiki ndicho nilichokuwa nikikwambia. Kama kuna thread ambayo habari hiyo inafanana na ililetwa, badala ya kulalamika, omba iungwe na thread husika! Sasa hii ndo thread husika. Nini kilifanyika?
 
Kwani thread yangu ilihusiana vipi na Edward Lowassa? Article iliwataja RA, Peter Noni, Fred Lowassa na huyu aliyejiuzulu ambaye thread hii ndiyo inayomuhusu! Mmepeleka fitna hadi thread ikaungwa! Wakati hakuna sababu ya kufanya hivyo kama siyo kulinda feelings za baadhi ya watu humu.
Baba na Mwana timu moja. Mnataka kutwambia kuwa hii ishu imegundulikana juzi tu baada ya Baba krudi nyumbani? au mliijua lakini mkataka kumlnda?
 
Back
Top Bottom