Wapi "FaizaFoxy wakataka iungwe"?Hii habari haikuwataja kina Rostam ndiyo maana kina FaizaFoxy wakataka iungwe? Certainly kuna utofauti!
Boss Maxence Melo ebu tizama hili suala! Uamuzi wowote nitaridhika nao mkishatizama hoja yangu. Thread yangu haifanani kimaidhui na hii hapa! Pia habari yake haiko detailed kama niliyoiweka kutoka whistleblower press!
Upeo wako mdogo sana fala wewe. Hata hiyo buku7 unayolipwa hustahili kabisa. Nafikiri waliokupa hiyo kazi hawakuku-assess uwezo wako kichwani.Lofa tu wewe.
Lofa tu wewe.Upeo wako mdogo sana fala wewe. Hata hiyo buku7 unayolipwa hustahili kabisa. Nafikiri waliokupa hiyo kazi hawakuku-assess uwezo wako kichwani.
We laana mkubwa Punguani wa head Njoo nikupe mangumiLofa tu wewe.
Subiri kwanza, nafanya mazoezi ya kuzungusha mikono; ha ha ha.We laana mkubwa Punguani wa head Njoo nikupe mangumi...
Hilo jamaa mie nilishalipuuza siku nyingi sema huwa lina comment uozo kiasi kwamba uvumilivu unanishinda inabidi tu nilishauri liache upuuzi.
You are an ass.Asshole comment!!
To hell with you.Haya mkakunane sasa na aliyeweka haya makalio yake yenye upupu. Sisi hatuwakuni.
Hujaona yake?bias.
Lakini si mlishamsafisha makamanda mkasema anasingiziwa?Kwani habari hii una uhusiano gani na uzungushaji wa mikono? What is the connection between the two?
Weka hoja.
Silii bali nacheka mkuu. Wewe ndio unalia lia tangu jamaa arudi nyumban sasa amekuwa fisadi wakati mlikubali watanzania wamtilie kura ili apatikane rais fisadi..... wanasiasa wana njaa sana kwa kweli.... wanaongea sanaaa ila walikaa kimya na kumpa kiti cha kugombea urais yule waliemwita na wanaemwita fisadi. Inaonesha ni jinsi gani kuwa CDM hawana lolote zaid ya njaa tu.Acha kulia lia.
Kiki? We umezibukia ukubwani naona!
Mkuu Maxence Melo kwasababu thread imemtaja RA kuhusika kwenye hiyo scandal basi ndiyo iunganishwe na hii? Mbona sijaona popote kwenye hii article walipotajwa kina Peter Noni, RA, Fred Lowassa? Thread yangu nimeanzisha with a different article. Hakuna cha uongo kilichoandikwa kwenye ile thread! Eti imeunganishwa na hii kwasababu habari ile ni ya zamani, so what? Hatua gani zilichukuliwa? Tafadhali mkuu, sijaona umuhimu wa kuunganisha thread ile zaidi ya ku neutralize ukweli!
Kwani thread yangu ilihusiana vipi na Edward Lowassa? Article iliwataja RA, Peter Noni, Fred Lowassa na huyu aliyejiuzulu ambaye thread hii ndiyo inayomuhusu! Mmepeleka fitna hadi thread ikaungwa! Wakati hakuna sababu ya kufanya hivyo kama siyo kulinda feelings za baadhi ya watu humu.Silii bali nacheka mkuu. Wewe ndio unalia lia tangu jamaa arudi nyumban sasa amekuwa fisadi wakati mlikubali watanzania wamtilie kura ili apatikane rais fisadi..... wanasiasa wana njaa sana kwa kweli.... wanaongea sanaaa ila walikaa kimya na kumpa kiti cha kugombea urais yule waliemwita na wanaemwita fisadi. Inaonesha ni jinsi gani kuwa CDM hawana lolote zaid ya njaa tu.
Poleni sana!
Baba na Mwana timu moja. Mnataka kutwambia kuwa hii ishu imegundulikana juzi tu baada ya Baba krudi nyumbani? au mliijua lakini mkataka kumlnda?Kwani thread yangu ilihusiana vipi na Edward Lowassa? Article iliwataja RA, Peter Noni, Fred Lowassa na huyu aliyejiuzulu ambaye thread hii ndiyo inayomuhusu! Mmepeleka fitna hadi thread ikaungwa! Wakati hakuna sababu ya kufanya hivyo kama siyo kulinda feelings za baadhi ya watu humu.