UFISADI: $350 million stolen from Tanzanians in Vodacom scandal

UFISADI: $350 million stolen from Tanzanians in Vodacom scandal

leo nimegundua hakuna kitu kigumu kama kuwatenganisha chedema na ufisadi yani wanaenda kufufua skendo za miaka saba nyuma kisa tu EL karudi CCM [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli wewe huna akili utamkaribishaje mwizi nyumbani kwako alafu ukwepe lawama?

In God we trust
huwezi kutoa hoja bila kutoa tusi kwa heshima ya mawazo ya mwenzako tu, basi kma huwezi kufanya hivyo hii ni mara ya pili nakwambia, usifate fate ninachikiandika. usiwe una quote kila ninachokiandika, mfate Lowasa au Bwanako Mbowe, hivyo usinifate fate sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi nikikuambia kuwa huna akili utabisha?hapo kwenye post yangu wapi nimekutukana?Au kwenu mkikosolewa ndiyo matusi?wacha kunichimba mkwara wa gaikwadi wewe
huwezi kutoa hoja bila kutoa tusi kwa heshima ya mawazo ya mwenzako tu, basi kma huwezi kufanya hivyo hii ni mara ya pili nakwambia, usifate fate ninachikiandika. usiwe una quote kila ninachokiandika, mfate Lowasa au Bwanako Mbowe, hivyo usinifate fate sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we trust
 
Hivi nikikuambia kuwa huna akili utabisha?hapo kwenye post yangu wapi nimekutukana?Au kwenu mkikosolewa ndiyo matusi?wacha kunichimba mkwara wa gaikwadi wewe
huwezi kutoa hoja bila kutoa tusi kwa heshima ya mawazo ya mwenzako tu, basi kma huwezi kufanya hivyo hii ni mara ya pili nakwambia, usifate fate ninachikiandika. usiwe una quote kila ninachokiandika, mfate Lowasa au Bwanako Mbowe, hivyo usinifate fate sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we trust
 
huwezi kutoa hoja bila kutoa tusi kwa heshima ya mawazo ya mwenzako tu, basi kma huwezi kufanya hivyo hii ni mara ya pili nakwambia, usifate fate ninachikiandika. usiwe una quote kila ninachokiandika, mfate Lowasa au Bwanako Mbowe, hivyo usinifate fate sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiandika upupu utakosolewa tu hili ni jukwaa huru na kama hutaki michango yangu fuata njia za kuepuka kuona michango yangu au hujui kutumia kompyuuta?

In God we trust
 
Hivi nikikuambia kuwa huna akili utabisha?hapo kwenye post yangu wapi nimekutukana?Au kwenu mkikosolewa ndiyo matusi?wacha kunichimba mkwara wa gaikwadi wewe

In God we trust
sikiliza mmawia siyo post ya kwanza kila nibacho comment unaniwrkea dharau hivyo, bora usi comment ninacho andika, hili ni jukwaa huru, heshimu mawazo ya kila mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiandika upupu utakosolewa tu hili ni jukwaa huru na kama hutaki michango yangu fuata njia za kuepuka kuona michango yangu au hujui kutumia kompyuuta?

In God we trust
sijawahi dharau michango yako wala kukuona huna akili hata siku moja. mi naheshimu wazo la kila mtu bila dharau ya kuona wengine kuwa hawana akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie mnaosema hii scandal sijui ya zamani bla blah blah, so what? Je ilipatiwa ufumbuzi? Kwani inaondoa vipi uhalali wa kushughulikiwa tena kwa maslahi mapana ya our motherland? Tegeta Escrow au EPA ilichukua muda gani kuanza mpaka kushughulikiwa?

Hili la Voda pia ni "another one" na wahusika ni wale wale tena now wanagonga cheers pale mjini kati.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sikiliza mmawia siyo post ya kwanza kila nibacho comment unaniwrkea dharau hivyo, bora usi comment ninacho andika, hili ni jukwaa huru, heshimu mawazo ya kila mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unajua ni jukwaa huru inakuwaje unanitisha wewe?nani kakwambia kuwa mimi baba yangu ni Mbowe kama siyo kunitukana?wewe nani kakupa mandate ya kunichagulia mzazi?
Jiheshimu nawe utaheshimika ukileta upumbavu na watu watakuletea upumbavu

In God we trust
 
Facts ni hizi hapa boss nikuweke sawa
1. Scandal ilifika bungeni na kamati husika mwaka 2014/15 likaiamuru TRA walete majibu, wakaleta yakakataliwa wakarudishwa tena, kamati ikapigwa dana dana.
2. Hizo 650B ni kwa kipindi kati ya 2008 - 2012 sio mwaka mmoja. Na ukumbuke miaka hii kwa mitandao ya simu huduma ya voice ilikuwa inalipa zaidi ya data, tofauti na ilivyo sasa.
3. Miaka ya 2007, internet penetration ilikuwa zaidi ya 1M, labda kama umezaliwa juzi.
4. RA akiwa shareholder allegedly alihusika kuwa broker wa rushwa ya Shivacom to MD wa Voda.

Mavi ya kale sometimes bado huwa yananuka boss


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie mnaosema hii scandal sijui ya zamani bla blah blah, so what? Je ilipatiwa ufumbuzi? Kwani inaondoa vipi uhalali wa kushughulikiwa tena kwa maslahi mapana ya our motherland? Tegeta Escrow au EPA ilichukua muda gani kuanza mpaka kushughulikiwa?

Hili la Voda pia ni "another one" na wahusika ni wale wale tena now wanagonga cheers pale mjini kati.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona mtu anaye tetea huu ufisadi basi ujue naye ananufaika nao

In God we trust
 
Kama unajua ni jukwaa huru inakuwaje unanitisha wewe?nani kakwambia kuwa mimi baba yangu ni Mbowe kama siyo kunitukana?wewe nani kakupa mandate ya kunichagulia mzazi?
Jiheshimu nawe utaheshimika ukileta upumbavu na watu watakuletea upumbavu

In God we trust
nimrkujibu kwa hasira baada ya kuniambia sina akili, so let it be....heshima iwepo, yameisha, sorry for that.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Facts ni hizi hapa boss nikuweke sawa
1. Scandal ilifika bungeni na kamati husika mwaka 2014/15 likaiamuru TRA walete majibu, wakaleta yakakataliwa wakarudishwa tena, kamati ikapigwa dana dana.
2. Hizo 650B ni kwa kipindi kati ya 2008 - 2012 sio mwaka mmoja. Na ukumbuke miaka hii kwa mitandao ya simu huduma ya voice ilikuwa inalipa zaidi ya data, tofauti na ilivyo sasa.
3. Miaka ya 2007, internet penetration ilikuwa zaidi ya 1M, labda kama umezaliwa juzi.
4. RA akiwa shareholder allegedly alihusika kuwa broker wa rushwa ya Shivacom to MD wa Voda.

Mavi ya kale sometimes bado huwa yananuka boss


Sent using Jamii Forums mobile app
internet penetration haikuwa juu kivile,na kulikuwa na hadi kifurushi cha jero kwa mwezi,mara nyingi watu walikuwa wanabrowse bila hata kujiunga na kifurushi,means internet ilikuwa cheap.
Mimi nimeifahamu internet 2001,kabla hata google haijakuwepo,
Tcra walikuwa hawajafunga mitambo ya kumonitor makampuni ya simu ili kuweza kutambua kodi halisi iliyotakiwa kulipwa,means ukadiliaji wa kodi ulitegemea mahesabu ya mapato ya makampuni ya simu,
kusema kuwa mkurugenzi wa voda alihonga bilioni 5,ili kuachia wahindi waibe bilion 650,wakati yeye ndo alikuwa boss,ni too unreallistic
 
Back
Top Bottom