Ufisadi kamwe hautakwisha....

pemgtoonet.com

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2013
Posts
879
Reaction score
618
Wanafunzi waliokuwa jkt waliambiwa watrudishiwa gharama zao za nauli walizotumia kwenda kwa kuangalia tiketi...matokeo yake hawajafuata tiketi wametoa kiasi pungufu na nauli aliyotumia mhusika.toka dar-tabora mtu ametumia tshs.45000/= wao wanarudisha tshs.30,000/=....tutafika kweli? Harafu wanadai inayobaki uandike jina utalipwa....wizi mtupu. Tutalipwa lini wakati tunaondoka kwenda vyuoni? Aaah acheni wizi bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…