Ufisadi Mkubwa Ndani ya Adventist Tanzania Union Mission-Unaofanywa na Ndg Denis Wairaha

Ufisadi Mkubwa Ndani ya Adventist Tanzania Union Mission-Unaofanywa na Ndg Denis Wairaha

Msabato Mwema

New Member
Joined
Apr 23, 2014
Posts
2
Reaction score
0
Habari Wana JamiiForum na Wasabato wote Tanzania!

Kwa neema yake Mungu naomba tushirikiane na kuwaza kwa pamoja kama wakristo wano heshimu neno la Mungu kuhusiana na ubadhirifu wa unaofanywa na Mweka Hazina wa Adventist Tanzania Union Mission Ndugu Denis Wairaha.

Ndugu Denisi Wairaha, ndani ya miaka mitatu ya utumishi wake kama mweka hazina amefanikiwa kupata utajiri wa kupindukia wakati watumishi na waumini wa kanisa wakiendelea kuishi katika maisha duni. Kiongozi huyu ametumia muda wake mwingi kuchumia tumbo na si kuibua miradi itakayo leta ufanisi katika shughuli na kazi za kanisa.

Kwa mfano, ndani ya kipindi hicho kifupi, Denis Wairaha amefanikiwa kununua shamba kubwa la ekari 40 lenye thamani isiyopungua TZS 600,000,000/- milioni mia sita sawa na US$ 375,000/- lililopo Arusha maeneo ya Nduruma. Si kwamba hatupendi yeye kufanya ununuzi huu, LA HASHA! kwani ni kwa manufaa yake binafsi na familia yake, pia kama mtanzania ana kila haki ya kufanya maendeleo yake binafis, LAKINI, swali la kujiuliza, Kipatao chake kama mweka hazina kinamwezesha kufanya manunuzi hayo bila ya kuwa na njia za giza na rushwa? Katika kipindi hicho mpaka sasa Denisi Wairaha anapokea mshahara usiozidi TZS 700,000/- sawa na US$ 438/-

Vilevile, ndugu Denis Wairaha, amefadhiliwa na kanisa kujiendeleza kielimu katika level ya Masters ili kuongeza ufanisi katika kazi, lakini cha kushangaza baada tu ya kumaliza elimu hiyo ameamua kufanya uamuzi wa kuacha kazi. Hii inamaanisha kuwa, amelidanganya kanisa na wauumini wake au/na kutapeli pesa/sadaka za waumini kwa malengo yake binafsi yanayoshabiiana na hulka ya ubinafsi.

Pia, mtajwa hapo juu anamiliki daladala tano zilizopo katika jiji la Dar es Salaam.

Akiwa bado anaongozwa na pepo la kujimbikizia mali kwa manufaa yake binafsi na familia yake huku akiwa amejivika joho la kondoo mtakatifu wa bwana, mnamo mwaka 2013, ndugu Denis Wairaha chini ya mamlaka yake alifanya malipo ya Plot za kanisa zenye ukubwa wa ekari 9 jijini Dar es Salaam. Waumini na kanisa kwa ujumla tukaendelea kuaminishwa kuwa tuna ekari 9 Dar es Salaam kumbe SIVYO. Imekuja kugundulika kuwa ekari zilizo nunuliwa ni 5 TU na si 9.

Swali la kumuuliza ndugu yetu Denis Wairaha, ziko wapi ekari zingine 4? zilizogharamiwa na fedha/sadaka za waumini wa kanisa?

Pia Denis Wairaha amekuwa akihusishwa na kulalamikiwa mara kwa mara kwa kushiriki moja kwa moja katika kushawishi na kutoa ajira katika mazingira ya ukabila..yaani amekuwa akipendelea sana kuajiri watu wanotoka katika kabila lake la Wakurya na wakati mwingine kutokana na mazingira ya kazi yake na his God fathers amekuwa pia akitoa upendeleo kwa watu wa kabila la Wapare. Ukimuona machoni kama mtu lakini ndani ya moyo wake amejaa visasi, chuki, fitina na ubinafsi.

Ni bora ukutane na mchawi usiku kuliko kukutana na denis Wairaha mchana.

Maoni: Ninaelewa mfumo wa kulindana uliopo ndani ya kanisa letu, lakini ningependa kupendekeza kuwa Ndugu Denis Wairaha achunguzwe kabla ya kuacha kazi rasmi. Tupo tayari kutoa ushahidi usiopingika kuhusiana na maswala yote tajwa hapo juu.

Na kwa kuwa yeye, ambaye miaka nenda rudi amekuwa akijikweza na kujifananisha na kondoo safi kuliko wote, namuomba aje atoe ufafanuzi wa yote haya na/au kukanusha kwa uthibitisho.


Nawasilisha
 
kama muumin wa kawaida,hupaswi kuhoj,mwache Mungu ataonya na kuhukumu.
 
Mumchunguze vizuri, unaweza kuta ni mwanachama wa CCM!:behindsofa:
 
Sitasoma content za hiyo habari yako mpaka utakapoamua kutumia ID yako iliyozoeleka. Vinginevyo wewe ni mnafiki tu......waache watu wa MUNGU wafanye kazi waliyoitiwa kuifanya duniani.

Join Date : 23rd April 2014
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received 0

Likes Given 0
 
Hayo ndo matatizo yetu watanzania, what if huo ufisadi unaujua mwenyewe na wenzio hawajui, kwa nini upigie kelele gizani huku umejificha nyuma ya keyboard? Kuna haja ya kuingia kwa ID mpya? Unategemea nani aanze? Tundu Lisu? Kumbuka Mungu hapendi wanafiki! Ni bora ungebanki kimya tu!
 
hii akili au matope, yaani unampigia hesabu za mshahara mwenzio?!!! kama unategemea mshahara ndugu Msabato Mwema UTAKUFA MASKINI! Pesa zipo nyingi mno benki wewe nenda ukawashawishi tu hata wewe kama unatumia kichwa chako wanakupa billions within a few days! Skujua kama watu wa mungu nao wana umbea na kuropoka bila utafiti.
 
Last edited by a moderator:
Sitasoma content za hiyo habari yako mpaka utakapoamua kutumia ID yako iliyozoeleka. Vinginevyo wewe ni mnafiki tu......waache watu wa MUNGU wafanye kazi waliyoitiwa kuifanya duniani.

Join Date : 23rd April 2014
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received 0

Likes Given 0

Mnafki mkubwa huyu Msabato Mwema amejawa roho ya wivu, yaani angekuwa mchawi angeshamroga huyo jamaa. We kalia kupiga domo tu wenzako wanashughulisha vichwa!
 
Last edited by a moderator:
Hakuna mtanzania anayeishi kwa mshahara labda uwe manager ktk taasisi kubwa!
 
Mkuu Msabato Mwema nadhani kama ni kweli, basi mlikuwa mnashirikiana na kakudhulumu ndio ukakimbilia hapa jukwaani.
 
Last edited by a moderator:
Mbona kama unategemea majibu ya mhazini huku? Jamani, tukitaka mabadiliko tuwatolee uvivu huko huko na si huku nyuma ya keyboard.....
 
Mkuu Msabato Mwema nadhani kama ni kweli, basi mlikuwa mnashirikiana na kakudhulumu ndio ukakimbilia hapa jukwaani.

Mkuu hawa watu wa hv ni wanafiki sana, hapa si tumemponda atafungua id nyingine aje atuambie anasali kanisa la shetani, au ni fremason. Subirini muone bora niende JLW nijue moja. Anasubutu kujiita msabato mwema hata maandiko yenyewe hajui. Refer maandiko ya Yesu juu ya mtu kujiita mwema
 
Ooooh My God.

Wahenga walisema unapolisikia jambo unapaswa kulichambua kwa kina na busara.

Imenistua kidogo hii taharifa. Ninaitaji busara za roho wa bwana kabla ya kulimeza. Ila ni mstuko wa ajabu sana.

Ntarudi baadae
 
mi nilidhani utakuja na taarifa ya mkaguzi wa hesabu (auditor) ambayo ingeonyesha shoti inayolingana na thamani ya mali ya huyo bwana, kumbe wewe huna lolote zaidi ya umbea tu, aaargh!
 
Habari Wana JamiiForum na Wasabato wote Tanzania!

Kwa neema yake Mungu naomba tushirikiane na kuwaza kwa pamoja kama wakristo wano heshimu neno la Mungu kuhusiana na ubadhirifu wa unaofanywa na Mweka Hazina wa Adventist Tanzania Union Mission Ndugu Denis Wairaha.

Ndugu Denisi Wairaha, ndani ya miaka mitatu ya utumishi wake kama mweka hazina amefanikiwa kupata utajiri wa kupindukia wakati watumishi na waumini wa kanisa wakiendelea kuishi katika maisha duni. Kiongozi huyu ametumia muda wake mwingi kuchumia tumbo na si kuibua miradi itakayo leta ufanisi katika shughuli na kazi za kanisa.

Kwa mfano, ndani ya kipindi hicho kifupi, Denis Wairaha amefanikiwa kununua shamba kubwa la ekari 40 lenye thamani isiyopungua TZS 600,000,000/- milioni mia sita sawa na US$ 375,000/- lililopo Arusha maeneo ya Nduruma. Si kwamba hatupendi yeye kufanya ununuzi huu, LA HASHA! kwani ni kwa manufaa yake binafsi na familia yake, pia kama mtanzania ana kila haki ya kufanya maendeleo yake binafis, LAKINI, swali la kujiuliza, Kipatao chake kama mweka hazina kinamwezesha kufanya manunuzi hayo bila ya kuwa na njia za giza na rushwa? Katika kipindi hicho mpaka sasa Denisi Wairaha anapokea mshahara usiozidi TZS 700,000/- sawa na US$ 438/-

Vilevile, ndugu Denis Wairaha, amefadhiliwa na kanisa kujiendeleza kielimu katika level ya Masters ili kuongeza ufanisi katika kazi, lakini cha kushangaza baada tu ya kumaliza elimu hiyo ameamua kufanya uamuzi wa kuacha kazi. Hii inamaanisha kuwa, amelidanganya kanisa na wauumini wake au/na kutapeli pesa/sadaka za waumini kwa malengo yake binafsi yanayoshabiiana na hulka ya ubinafsi.

Pia, mtajwa hapo juu anamiliki daladala tano zilizopo katika jiji la Dar es Salaam.

Akiwa bado anaongozwa na pepo la kujimbikizia mali kwa manufaa yake binafsi na familia yake huku akiwa amejivika joho la kondoo mtakatifu wa bwana, mnamo mwaka 2013, ndugu Denis Wairaha chini ya mamlaka yake alifanya malipo ya Plot za kanisa zenye ukubwa wa ekari 9 jijini Dar es Salaam. Waumini na kanisa kwa ujumla tukaendelea kuaminishwa kuwa tuna ekari 9 Dar es Salaam kumbe SIVYO. Imekuja kugundulika kuwa ekari zilizo nunuliwa ni 5 TU na si 9.

Swali la kumuuliza ndugu yetu Denis Wairaha, ziko wapi ekari zingine 4? zilizogharamiwa na fedha/sadaka za waumini wa kanisa?

Pia Denis Wairaha amekuwa akihusishwa na kulalamikiwa mara kwa mara kwa kushiriki moja kwa moja katika kushawishi na kutoa ajira katika mazingira ya ukabila..yaani amekuwa akipendelea sana kuajiri watu wanotoka katika kabila lake la Wakurya na wakati mwingine kutokana na mazingira ya kazi yake na his God fathers amekuwa pia akitoa upendeleo kwa watu wa kabila la Wapare. Ukimuona machoni kama mtu lakini ndani ya moyo wake amejaa visasi, chuki, fitina na ubinafsi.

Ni bora ukutane na mchawi usiku kuliko kukutana na denis Wairaha mchana.

Maoni: Ninaelewa mfumo wa kulindana uliopo ndani ya kanisa letu, lakini ningependa kupendekeza kuwa Ndugu Denis Wairaha achunguzwe kabla ya kuacha kazi rasmi. Tupo tayari kutoa ushahidi usiopingika kuhusiana na maswala yote tajwa hapo juu.

Na kwa kuwa yeye, ambaye miaka nenda rudi amekuwa akijikweza na kujifananisha na kondoo safi kuliko wote, namuomba aje atoe ufafanuzi wa yote haya na/au kukanusha kwa uthibitisho.


Nawasilisha
Angalia mambo ya Dini ni magumu. Fikiria kwa nini Yusuf aliuzwa Misri.
 
Najua Ukweli huwa unatabia ya Kuumiza masikio na bongo za wahusika. Mkuu naona unatoka povu sana. Lakini kwa kifupi tu yaliyoandikwa humu ni katika hali ya kutafuta ukweli na uhalali wa umiliki wa mali hizo kwa ndugu yetu Denis Wairaha. Hata kama amechuku mkopo benki kw ushawishi kama wengi mnavyosema ni sawa lakini ingekuwa ni busara kulihalalisha hilo. Na tena basi ingelikuwa ni vyema kama angeweka wazi vipato vyake ili kuondoa ugubi ugubi huu.

Bado nasisitiza na nitaendelea kusisitiza kuwa kuna umuhimu wa kumchunguza ili kuelewa uhalali wa miliki za mali zake. Sijui kwa nini povu linakutoka namna hiyo ndugu Denis

Mkuu hawa watu wa hv ni wanafiki sana, hapa si tumemponda atafungua id nyingine aje atuambie anasali kanisa la shetani, au ni fremason. Subirini muone bora niende JLW nijue moja. Anasubutu kujiita msabato mwema hata maandiko yenyewe hajui. Refer maandiko ya Yesu juu ya mtu kujiita mwema
 
Ningependa kuchangia hoja hii ila mleta hoja inabidi alete data zinazoeleweka. kwa mfano unavyosema ekari 5 za Dar unamaanisha ni plots ngapi? ziko wapi? Zina hati? Ni kwa ajili ya kujenga nini? Nani walihusika zaidi ya yeye? mashahidi waliokuwepo kwenye kununia hivyo viwanja unawajua? Hoja zako hazijatulia vizuri ni vigumu kuzitathmini kama zilivyo.
 
Najua Ukweli huwa unatabia ya Kuumiza masikio na bongo za wahusika. Mkuu naona unatoka povu sana. Lakini kwa kifupi tu yaliyoandikwa humu ni katika hali ya kutafuta ukweli na uhalali wa umiliki wa mali hizo kwa ndugu yetu Denis Wairaha. Hata kama amechuku mkopo benki kw ushawishi kama wengi mnavyosema ni sawa lakini ingekuwa ni busara kulihalalisha hilo. Na tena basi ingelikuwa ni vyema kama angeweka wazi vipato vyake ili kuondoa ugubi ugubi huu.

Bado nasisitiza na nitaendelea kusisitiza kuwa kuna umuhimu wa kumchunguza ili kuelewa uhalali wa miliki za mali zake. Sijui kwa nini povu linakutoka namna hiyo ndugu Denis

You are INSANE! Wewe ukweli unakuja kuutafuta jf? mtu na biashara zake akusimulie wewe anakopata pesa ili iweje? kama wewe una mashaka naye, toka hapo nyuma ya keyboard kama msabato mwema, go face him face to face, muulize! siyo unakuja humu unamwita fisadi nani na matusi mengine yasiyostahiki kutoka mdomoni mwa msabato mwema, halafu ukiona umebanwa unaanza kusema ulikuwa katika kutafuta ukweli......! HAUKUJA HUMU KUTAFUTA UKWELI, UMEKUJA HUMU KAMA MNAFKI UNAYEKUJA KUMCHAFUA MTU USIYEFAHAMU UNDANI WAKE, UMEKUJA HUMU KWA MSUKUMO WA SHETANI WA WIVU, PEPO WA KIJICHO, RUDI NYUMBANI KACHUKUE BIBLE YAKO UMWOMBE MUNGU AKUSAMEHE, KISHA UANZE KUUTAFUTA UKWELI, KAMA KWELI NIA YAKO NI KUUJUA UKWELI.
 
Back
Top Bottom