Ufisadi Mkubwa Ndani ya Adventist Tanzania Union Mission-Unaofanywa na Ndg Denis Wairaha

Ufisadi Mkubwa Ndani ya Adventist Tanzania Union Mission-Unaofanywa na Ndg Denis Wairaha

Najua Ukweli huwa unatabia ya Kuumiza masikio na bongo za wahusika. Mkuu naona unatoka povu sana. Lakini kwa kifupi tu yaliyoandikwa humu ni katika hali ya kutafuta ukweli na uhalali wa umiliki wa mali hizo kwa ndugu yetu Denis Wairaha. Hata kama amechuku mkopo benki kw ushawishi kama wengi mnavyosema ni sawa lakini ingekuwa ni busara kulihalalisha hilo. Na tena basi ingelikuwa ni vyema kama angeweka wazi vipato vyake ili kuondoa ugubi ugubi huu.

Bado nasisitiza na nitaendelea kusisitiza kuwa kuna umuhimu wa kumchunguza ili kuelewa uhalali wa miliki za mali zake. Sijui kwa nini povu linakutoka namna hiyo ndugu Denis

Wewe ni Ntuzu.....Ningekuwa la laptop ningekuonesha viashiria vyako bwana Ntuzu......
 
Ngoja niwaite hawa pia
Bansluma original
charminglady
Lawkeys

Ila nahisi huyu mketa mada ni Ntuzu
Huu ni unafiki aisee...



Acha ujinga wako Wewe!

Mtu akiwa anakuheshimu unatakiwa na Wewe ujiheshimu Lkn ukijifanya fyatu utakuja kupakwa mpk JF uione chungu mnafiki mkubwa Wewe!

Wewe unafikiri wasabato mbulumunda km nyie wapagani Wa kiroma?

Jiheshimu!
 
Last edited by a moderator:
Wewe unafikiri hoja ya kinafiki km hii Mimi nichangie nini Zaidi ya kuwasubiri wajinga km Wewe tedo kukujibu ujinga utakaoumwaga hapa!? Mleta mada na Wewe tedo ni wanafiki wakubwa na ninasubiri kwa yeyote Yule atakeona hii imekua habari na Kuongea hovyo juu ya wasabato Ndio nimjibu sasa!
 
Last edited by a moderator:
Sitasoma content za hiyo habari yako mpaka utakapoamua kutumia ID yako iliyozoeleka. Vinginevyo wewe ni mnafiki tu......waache watu wa MUNGU wafanye kazi waliyoitiwa kuifanya duniani...
Mkuu, unasema hutasoma content za habari hii, lakini naona umecomment kwamba awaache watu wa MUNGU wafanye kazi, jambo ambalo linathibitisha kuwa umeshasoma content za habari hii !!
 
Who am I to judge???

Mie siwezi kucomment kuhusu hii mada either kukubali ama kukataa. Ila namuomba mtoa mada afuate utaratibu wa Kikanisa na aende mpaka ngazi za juu kuwasilisha suala hili. Wewe kama Muadventista huna haja ya kumuanika mshiriki mwenzako hapa.

"Ukimwona ndugu yako maekosa muonye, akitubu msaheme" Je wewe binafsi umechukua hatua gani kumfuata huyu Mtajwa kwa lengo la kumuonya???

Umechukua hatua gani ya kikanisa kuwafuata viongozi na kuwapa hizo evidence ili wamfuatilie????

Hakika huu sio utaratibu wa kikanisa...... Naungana na wengine kuwa wewe sio Muadventista Msabato bali ni mtu baki tu mwenye lengo la kulichafua kanisa.

 
Acha ujinga wako Wewe!

Mtu akiwa anakuheshimu unatakiwa na Wewe ujiheshimu Lkn ukijifanya fyatu utakuja kupakwa mpk JF uione chungu mnafiki mkubwa Wewe!

Wewe unafikiri wasabato mbulumunda km nyie wapagani Wa kiroma?

Jiheshimu!

Kwi kwi kwi.....Mm nimekuita tuu....Ila muandiko wake kama wa kwako....
 
That's why i say if it were not for tithes,churches would have died millenniums ago.
 
Najua Ukweli huwa unatabia ya Kuumiza masikio na bongo za wahusika. Mkuu naona unatoka povu sana. Lakini kwa kifupi tu yaliyoandikwa humu ni katika hali ya kutafuta ukweli na uhalali wa umiliki wa mali hizo kwa ndugu yetu Denis Wairaha. Hata kama amechuku mkopo benki kw ushawishi kama wengi mnavyosema ni sawa lakini ingekuwa ni busara kulihalalisha hilo. Na tena basi ingelikuwa ni vyema kama angeweka wazi vipato vyake ili kuondoa ugubi ugubi huu.

Bado nasisitiza na nitaendelea kusisitiza kuwa kuna umuhimu wa kumchunguza ili kuelewa uhalali wa miliki za mali zake. Sijui kwa nini povu linakutoka namna hiyo ndugu Denis


Basi nenda TAKUKURU, unaogopa nini ikiwa wewe ni mikweli? Kumbuka hata Yesu huyo unayedhani unamtetea alikuwa anawaambia mafarisayo na walimu wa sheria ukweli mpaka wakaamua kumuua. Kumbuka yeye anasema alisema nao waziwazi kwenye masinagogi na hekaluni (Yoh 18:20-21).

Kama huwezi kaa kimya maans itkuwa ni unafiki na majungu tu!
 
Hii habari inanikumbusha ya ndugu fulani alikuja hapa na ID 2 tofauti kutoka Chuo kile Kigamboni nimesahau jina lake.Kila siku alikuwa anakuja ku-update matatizo kati ya ke na mwajiri wake matokeo yake akapigwa chini.Personally mimi si muumini wa vitu nyeti kama hivi kuja kuvitoa kwenye social forums kwa sababu hautapata majibu.
 
Nakuomba pia maelezo haya uyatume hapa kama ni kweli: info@tuadventist.org
Lakini pia malalamiko hebu yapeleke kanisani kwanza kabla ya kuyatupa kwa umma maana tunaambiwa mambo ya kanisa mjadili kanisani na ikishindikana ndiyo uyalete kwetu Jamiiforums au hata mahakamani apelekwe maana kama ni kweli huyu ni mwizi kama wezi wengine.
Huo mshahara nao unasababisha watu wawe wezi laki 7 tu tena mhasibu? mbona makanisa ni tajiri jamani lipeni watu wa Mungu muwaepushie vishawishi
 
Mnafki mkubwa huyu Msabato Mwema amejawa roho ya wivu, yaani angekuwa mchawi angeshamroga huyo jamaa. We kalia kupiga domo tu wenzako wanashughulisha vichwa!

Unatetea wezi wenzako badala ya kufungua kesi...these are criminal accusations and something should be done!
 
Last edited by a moderator:
Habari Wana JamiiForum na Wasabato wote Tanzania!

Kwa neema yake Mungu naomba tushirikiane na kuwaza kwa pamoja kama wakristo wano heshimu neno la Mungu kuhusiana na ubadhirifu wa unaofanywa na Mweka Hazina wa Adventist Tanzania Union Mission Ndugu Denis Wairaha.

Ndugu Denisi Wairaha, ndani ya miaka mitatu ya utumishi wake kama mweka hazina amefanikiwa kupata utajiri wa kupindukia wakati watumishi na waumini wa kanisa wakiendelea kuishi katika maisha duni. Kiongozi huyu ametumia muda wake mwingi kuchumia tumbo na si kuibua miradi itakayo leta ufanisi katika shughuli na kazi za kanisa.

Kwa mfano, ndani ya kipindi hicho kifupi, Denis Wairaha amefanikiwa kununua shamba kubwa la ekari 40 lenye thamani isiyopungua TZS 600,000,000/- milioni mia sita sawa na US$ 375,000/- lililopo Arusha maeneo ya Nduruma. Si kwamba hatupendi yeye kufanya ununuzi huu, LA HASHA! kwani ni kwa manufaa yake binafsi na familia yake, pia kama mtanzania ana kila haki ya kufanya maendeleo yake binafis, LAKINI, swali la kujiuliza, Kipatao chake kama mweka hazina kinamwezesha kufanya manunuzi hayo bila ya kuwa na njia za giza na rushwa? Katika kipindi hicho mpaka sasa Denisi Wairaha anapokea mshahara usiozidi TZS 700,000/- sawa na US$ 438/-

Vilevile, ndugu Denis Wairaha, amefadhiliwa na kanisa kujiendeleza kielimu katika level ya Masters ili kuongeza ufanisi katika kazi, lakini cha kushangaza baada tu ya kumaliza elimu hiyo ameamua kufanya uamuzi wa kuacha kazi. Hii inamaanisha kuwa, amelidanganya kanisa na wauumini wake au/na kutapeli pesa/sadaka za waumini kwa malengo yake binafsi yanayoshabiiana na hulka ya ubinafsi.

Pia, mtajwa hapo juu anamiliki daladala tano zilizopo katika jiji la Dar es Salaam.

Akiwa bado anaongozwa na pepo la kujimbikizia mali kwa manufaa yake binafsi na familia yake huku akiwa amejivika joho la kondoo mtakatifu wa bwana, mnamo mwaka 2013, ndugu Denis Wairaha chini ya mamlaka yake alifanya malipo ya Plot za kanisa zenye ukubwa wa ekari 9 jijini Dar es Salaam. Waumini na kanisa kwa ujumla tukaendelea kuaminishwa kuwa tuna ekari 9 Dar es Salaam kumbe SIVYO. Imekuja kugundulika kuwa ekari zilizo nunuliwa ni 5 TU na si 9.

Swali la kumuuliza ndugu yetu Denis Wairaha, ziko wapi ekari zingine 4? zilizogharamiwa na fedha/sadaka za waumini wa kanisa?

Pia Denis Wairaha amekuwa akihusishwa na kulalamikiwa mara kwa mara kwa kushiriki moja kwa moja katika kushawishi na kutoa ajira katika mazingira ya ukabila..yaani amekuwa akipendelea sana kuajiri watu wanotoka katika kabila lake la Wakurya na wakati mwingine kutokana na mazingira ya kazi yake na his God fathers amekuwa pia akitoa upendeleo kwa watu wa kabila la Wapare. Ukimuona machoni kama mtu lakini ndani ya moyo wake amejaa visasi, chuki, fitina na ubinafsi.

Ni bora ukutane na mchawi usiku kuliko kukutana na denis Wairaha mchana.

Maoni: Ninaelewa mfumo wa kulindana uliopo ndani ya kanisa letu, lakini ningependa kupendekeza kuwa Ndugu Denis Wairaha achunguzwe kabla ya kuacha kazi rasmi. Tupo tayari kutoa ushahidi usiopingika kuhusiana na maswala yote tajwa hapo juu.

Na kwa kuwa yeye, ambaye miaka nenda rudi amekuwa akijikweza na kujifananisha na kondoo safi kuliko wote, namuomba aje atoe ufafanuzi wa yote haya na/au kukanusha kwa uthibitisho.


Nawasilisha

...na uongozi wa kanisa umechukua hatua gani mpaka sasa?
 
Mkuu hawa watu wa hv ni wanafiki sana, hapa si tumemponda atafungua id nyingine aje atuambie anasali kanisa la shetani, au ni fremason. Subirini muone bora niende JLW nijue moja. Anasubutu kujiita msabato mwema hata maandiko yenyewe hajui. Refer maandiko ya Yesu juu ya mtu kujiita mwema

Suala si kujua maandiko tu bali pia ni kuenenda kulingana na hayo maandiko yenyewe..huyu jamaa kaleta shutuma kazi sasa ni kwa uongozi wa kanisa kufanya uchunguza kuweza kubaini kama ni kweli ama uongo tu!
 
Unatetea wezi wenzako badala ya kufungua kesi...these are criminal accusations and something should be done!

Mwambie huyo mwenye wivu mwenzako afungue kesi kama anao ushahidi, au mwambie aweke jina lake la ukweli kama hajaozea jela maskini mkubwa wa fikra huyo! UNA TATIZO NA MTU FUATA NJIA SAHIHI, SIYO UNAKUJA KUMHUKUMU JF LIKE SOME COWARDASS RETARD!
 
Back
Top Bottom