Ufisadi Mkubwa Ndani ya Adventist Tanzania Union Mission-Unaofanywa na Ndg Denis Wairaha

Oooooh walisema watu liisemwalo kama halipo laja....! Ukiwa genuine and legit watu hawatahangaika kujiuliza ile $$$ 30,000 uliyonunulia ile gari lako umeitoa wapi!
 
Acha ujinga wako Wewe!

Mtu akiwa anakuheshimu unatakiwa na Wewe ujiheshimu Lkn ukijifanya fyatu utakuja kupakwa mpk JF uione chungu mnafiki mkubwa Wewe!

Wewe unafikiri wasabato mbulumunda km nyie wapagani Wa kiroma?

Jiheshimu!


Punguza hasira mpendwa.
 
Kwanini sasa unamleta jf mpeleke kwenye mamlaka yake ya nidhamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…