Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
TLS kwa muda mrefu hasa watumïshi wake wamekuwa na fedha nyingi tofauti na mishahara yao ya 1.5 mpaka 2.5 milion.
Wanapïa hela kwenye mikutano ya mwaka na nusu mwaka AGM, HAGM.
Wanapokea hela toka kwa mawakili wanaotaka point(mawakili wanapata point)
mfano wiki ijayo mkutano upo Mount Meru Arusha,na ada ni Laki moja tu - Tsh 100,000/= lakini hawa "wapïaji wa TLS wanapokea tsh 150,000/= wanakuandikishia jina na hapo kwa kila wakili wanapiga Tsh 50,000/=.
Law Firm nyingi zinatuma mtu mmoja anawalipia ofisi nzima na kutoa rushwa kwa hawa watu wa registration.
Namkumbuka Lissu hangefumbia haya mambo macho,basi Ngwilimi naye naye apambane na huu ufisadi,akitaka hata majina tutampa na akitaka majina ya watu ambao hawajahtdhuria lakini majina yao yapo kama wahudhuriaji tutampa tu.
mawakili wa mwendokasï na viherehere ndio waharibifu,nobelity yenu inashuka sana,senïority haipo mmekuwa kama wauza karanga,naomba kwa dharura GC muwafunge gavana hawa watumishi.
kwa majina yao njoo PM.
Wasalaam , JM.
Wanapïa hela kwenye mikutano ya mwaka na nusu mwaka AGM, HAGM.
Wanapokea hela toka kwa mawakili wanaotaka point(mawakili wanapata point)
mfano wiki ijayo mkutano upo Mount Meru Arusha,na ada ni Laki moja tu - Tsh 100,000/= lakini hawa "wapïaji wa TLS wanapokea tsh 150,000/= wanakuandikishia jina na hapo kwa kila wakili wanapiga Tsh 50,000/=.
Law Firm nyingi zinatuma mtu mmoja anawalipia ofisi nzima na kutoa rushwa kwa hawa watu wa registration.
Namkumbuka Lissu hangefumbia haya mambo macho,basi Ngwilimi naye naye apambane na huu ufisadi,akitaka hata majina tutampa na akitaka majina ya watu ambao hawajahtdhuria lakini majina yao yapo kama wahudhuriaji tutampa tu.
mawakili wa mwendokasï na viherehere ndio waharibifu,nobelity yenu inashuka sana,senïority haipo mmekuwa kama wauza karanga,naomba kwa dharura GC muwafunge gavana hawa watumishi.
kwa majina yao njoo PM.
Wasalaam , JM.