Ufisadi na Mikataba mibovu ya Serikali. Tatizo ni Idara ya Usalama wa Taifa haipo kwa ajili ya kulinda maslahi ya Taifa bali watawala

Ufisadi na Mikataba mibovu ya Serikali. Tatizo ni Idara ya Usalama wa Taifa haipo kwa ajili ya kulinda maslahi ya Taifa bali watawala

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Leo hii sisi CHADEMA tunafuatiliwa na Tiss kwa kila nyendo zetu. Tukiandaa mikutano ni kosa, tukipata misaada ni kosa hata tukipata sapoti tu hawa Tiss wanatufuatlia kila kona.

Lakini huwezi kusikia wanafuatilia ufisadi unaofanyika hapa nchini.

Angalia ripoti ya CAG imeanika madudu makubwa na machafu. Kila kona ya serikali ni ufisadi wa kutisha. Hatujasikia Tiss wakilisaidia taifa letu. Tulitegemea wanaoliibia taifa letu waanikwe wazi

Hili la Dp world na kuuzwa bandari za Tanganyika wapo kimya kabisa. Kwa nini hawasemi chochote kwa kuanika waliokula mlungula kuuza bandari za Watanganyika?
 
Pengine hawatambui maslahi ya Taifa.
Au wanaogopa kulingana na sheria zinazoongoza idara yao kwa sasa.
That's why wanataka kutungiwa sheria mpya.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Pengine hawatambui maslahi ya Taifa.
Au wanaogopa kulingana na sheria zinazoongoza idara yao kwa sasa.
That's why wanataka kutungiwa sheria mpya.
Walifanywa kuwa wapendwa watazamaji na sheria iliyounda idara yao wakati ule wa kuuza mali za umma kwa jina maarufu la SPA; Kwa hili Baba wa Taifa aliondoka duniani akiwa na simanzi sana kwakua alijua kwisha habari ya Tanzania yake aliyoipigania kwa miaka yake yote huku duniani na mzee wa Lupaso Mungu amsamehe kwakukubali kusababisha hili kwakua alijua alichokuwa anafanya kufanikisha hiyo azma yake ya uuzaji wa mashirika yetu....Mabeberu shikamoo!
 
PLO alishatuambia hadharani kwamba alifanywa kuwa Mkurugenzi wa kuzuia rushwa kwenye macho ya watu lakini huko ndani yeye ndiye alitakiwa asaidie rushwa kwa wateuliwa...Kwahiyo naamini muundo huo uliwekwa kwa makusudi kuwalinda mafisadi ambao ni makuwadi wa hao mabeberu ya dunia, huku wao walinzi ambao walitakiwa kuhakiki usalama wetu wakiwa hawana nguvu ya kuwawajibisha hao wateuliwa pale wanapoenda kinyume na sheria za nchi...

Hii mifumo tusipoweka Katiba ya wananchi hata wasiopenda kuwa waovu wanalazimika kuwa waovu....Ni bahati mbaya sana kwangu wakati wa kujitambua kwangu nilijua kwa undani jinsi mashirika yetu yalivyouzwa. Nilikuwa nasoma karibu documents zote na kujua uchafu wote wa mabeberu kwani waliokuwa wahusika walidhani nalikuwa mtoto, kumbe Mungu alinipa utambuzi nikiwa bado kinda....Hiki kilinifanya niichukie saaaana siasa na ndiyo sababu ya kuchukua root hii niliyoichagua nikiwa na kisasi moyoni cha kuwalipizia hao mabeberu; ipo siku nitailipa kwa nchi yangu na watu wangu, watajua hawajui, kwani nimewasoma sana, nikiri tu soma yangu hii yote lengo lilikuwa moja tu, kufuatilia mienendo yao hadi huko makwao na nimefanikiwa sana sana, namshukuru Mungu kwa hilo......Na ndiyo sababu nasema Tanzania njema is a must, its a decree!
 
Leo hii sisi CHADEMA tunafuatiliwa na Tiss kwa kila nyendo zetu. Tukiandaa mikutano ni kosa, tukipata misaada ni kosa hata tukipata sapoti tu hawa Tiss wanatufuatlia kila kona.

Lakini huwezi kusikia wanafuatilia ufisadi unaofanyika hapa nchini.

Angalia ripoti ya CAG imeanika madudu makubwa na machafu. Kila kona ya serikali ni ufisadi wa kutisha. Hatujasikia Tiss wakilisaidia taifa letu. Tulitegemea wanaoliibia taifa letu waanikwe wazi

Hili la Dp world na kuuzwa bandari za Tanganyika wapo kimya kabisa. Kwa nini hawasemi chochote kwa kuanika waliokula mlungula kuuza bandari za Watanganyika?
Tatizo ni CCM wote ni majizi. Kuna fisadi gani amechukuliwa hatua stahiki.. Cha kusiitisha mafisadi ndio wanaokula teuzi kila kukicha
 
Tatizo katiba mbovu.yeyote anayeteuliwa hawezi kuenda kinyume na bosi anavyotaka hata kama ni upuuzi.Kwa tanzania ukiondoa vyama pinzani hakuna mtu yeyote anayeweza kupata ujasiri wa kumwambia rais ukweli kuwa amekosea .wote huwa wanasifu tu.
 
Leo hii sisi CHADEMA tunafuatiliwa na Tiss kwa kila nyendo zetu. Tukiandaa mikutano ni kosa, tukipata misaada ni kosa hata tukipata sapoti tu hawa Tiss wanatufuatlia kila kona.

Lakini huwezi kusikia wanafuatilia ufisadi unaofanyika hapa nchini.

Angalia ripoti ya CAG imeanika madudu makubwa na machafu. Kila kona ya serikali ni ufisadi wa kutisha. Hatujasikia Tiss wakilisaidia taifa letu. Tulitegemea wanaoliibia taifa letu waanikwe wazi

Hili la Dp world na kuuzwa bandari za Tanganyika wapo kimya kabisa. Kwa nini hawasemi chochote kwa kuanika waliokula mlungula kuuza bandari za Watanganyika?
Una uhakika na unachosema?
 
Tatizo katiba mbovu.yeyote anayeteuliwa hawezi kuenda kinyume na bosi anavyotaka hata kama ni upuuzi.Kwa tanzania ukiondoa vyama pinzani hakuna mtu yeyote anayeweza kupata ujasiri wa kumwambia rais ukweli kuwa amekosea .wote huwa wanasifu tu.
Hili nalo neno.
 
Tatizo ni CCM wote ni majizi. Kuna fisadi gani amechukuliwa hatua stahiki.. Cha kusiitisha mafisadi ndio wanaokula teuzi kila kukicha
Halafu group la wateuliwa ni wale wale koo zile zile na familia zile zile miaka nenda miaka rudi.
 
Leo hii sisi CHADEMA tunafuatiliwa na Tiss kwa kila nyendo zetu. Tukiandaa mikutano ni kosa, tukipata misaada ni kosa hata tukipata sapoti tu hawa Tiss wanatufuatlia kila kona.

Lakini huwezi kusikia wanafuatilia ufisadi unaofanyika hapa nchini.

Angalia ripoti ya CAG imeanika madudu makubwa na machafu. Kila kona ya serikali ni ufisadi wa kutisha. Hatujasikia Tiss wakilisaidia taifa letu. Tulitegemea wanaoliibia taifa letu waanikwe wazi

Hili la Dp world na kuuzwa bandari za Tanganyika wapo kimya kabisa. Kwa nini hawasemi chochote kwa kuanika waliokula mlungula kuuza bandari za Watanganyika?
Tiss ya sasa hivi imejaa vilaza toka uvccm ni kama panyaroad tu hawana weledi wowote
 
Back
Top Bottom