Ufisadi: Profesa Mtanzania aajiriwa kama dereva, ubalozi wa Kenya

Ufisadi: Profesa Mtanzania aajiriwa kama dereva, ubalozi wa Kenya

Mi naona kuna mambo mawili hapa:
  1. Kenya wanahofia ujasusi maana huyo jamaa ni profesa wa mawasiliano. Lakini pia kuna ile hali ya 'kawaida' baina ya wakenya na watanzania-yaani love-hate relationship.
  2. Mi naona huyu profesa hayupo vizuri kivile kama tunavyoamini. Kwa taaluma yake, ilitakiwa awe mbali zaidi ya pale alipo. Sijaona sababu ya msingi ya kuwa dereva wa ubalozi wakati ni telco prof na amefanya miradi mikubwa kama ya Rwanda. Pia watu mtambue kuwa kutengeneza app kama ya profesa sio kitu cha ajabu. Ni app ya kawaida tu ambayo hata mtoto wa JK na mwenzake walitengeneza na wakashinda tunzo ya kimataifa wakati bado walikuwa sekondari. Ukienda vyuo vingi vya bongo (UDSM,NM-AIST, na UDOM) kuna app nyingi tu zinatengenezwa. Tena UDOM mwezi uliopita walikuwa runnersup katika Africa kwa app yao ya VICOBA. So app sio 'uvumbuzi' wa kutisha au kuhitaji afanye udereva ili afanikiwe. Zaidi naona ana tatizo katika personal life (ulevi, gambling, funds mismanagement, etc)
Mkuu
Kutengeneza apps/software ni kitu rahisi lakini apps/software iweze kukuingizia pesa kama jamaa waliogundua M-PESA mpaka Safaricom ya Kenya wanamlipa mwenye M-PESA pesa nyingi kwa kuwa ni mmiliki wa teknolojia hiyo ni habari nyingine.

Inabidi ucheze kama Profesa anavyokaba na kuingia kila kona mpaka kieleweke ili afanikiwe aingize pesa ndefu kama mfano M-PESA niliotaja jinsi wamiliki wa M-PESA wamejikalia ulaya wakisuburi kuvuna percentage ya income toka kila miamala (transactions) ya matumizi ya M-PESA kupitia platform ya Safaricom.
 
Mkuu
Kutengeneza apps/software ni kitu rahisi lakini apps/software iweze kukuingizia pesa kama jamaa waliogundua M-PESA mpaka Safaricom ya Kenya wanamlipa mwenye M-PESA pesa nyingi kwa kuwa ni mmiliki wa teknolojia hiyo ni habari nyingine.

Inabidi ucheze kama Profesa anavyokaba na kuingia kila kona mpaka kieleweke ili afanikiwe aingize pesa ndefu kama mfano M-PESA niliotaja jinsi wamiliki wa M-PESA wamejikalia ulaya wakisuburi kuvuna percentage ya income toka kila miamala (transactions) ya matumizi ya M-PESA kupitia platform ya Safaricom.
Ok. Kama hilo ndo lengo lake, anapoteza muda bure.
 
Hahahahahaha Huyo profesa angekua ni mkenya kaja kuwa dereva bongo ungeskia wakenya wanasema sisi manyang'au hatuchagui kazi kila kazi tunafanya nyinyi wabongo si wavivu acha sisi tufanye kazi zote " lakini Leo mtanzania yupo Kenya wanamshangaa Sasa Wewe kisomo chako kiduchu unamdiscuss profesa wa watu wakati usikute ata kipato anakuzidi
 
The real definition of hustle that our brothers have to contend with majuu, bora hela
 
Back
Top Bottom