Ufisadi wa CCM: Daraja la mawe na cement limegharimu mil 200. CCM haifai.

Ufisadi wa CCM: Daraja la mawe na cement limegharimu mil 200. CCM haifai.

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
1000031922.jpg
 
Lakini linapendeza japo mimi naona lina thamani ya Milioni 80.
 
Hapo ni mil 100 hadi 200 ,madaraja yanagharama ......angalia madaraja yote yanayojengwa gharama zinatisha .........mfano la busisi bilioni 700
 
Hapo ni mil 100 hadi 200 ,madaraja yanagharama ......angalia madaraja yote yanayojengwa gharama zinatisha .........mfano la busisi bilioni 700
Mawe ya kuokota milimani. Na vifusi vya milimani. + cement
 
Pale kiongozi Hana speed gavana na kumsimamia vizuri hata wateule Huwa na fujo hivyo hivyo!

Matokeo yake ndio haya!
 
Back
Top Bottom