William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
1. Mkuu siwezi kukusaidia hasira zako against serikali na CCM, mimi sio rais au mwenyekiti wa CCM, inaonekana kuwa maswali yako mengi yanahitaji kujibiwa na hao au bunge, laini sio hapa JF. Vipi ukienda huko serikalini wakakupa data za jinsi walivyoziuza, mimi ninachojua ni kuwa ninawafahamu wananchi wengi sana hasa toka serikalini ambao bila ya kuuziwa hizo nyumba wasingekuwa na nyumba, kwa hiyo hapa mwenye akili ataamua propaganda na uongo uko wapi.
2. Msimamo wangu unaeleweka hapa, kuhisia na taifa letu, CCM, na upinzani, sina haja ya kurudia rudia mkuu besides hiyo personal attack ambayo nimeshasema kuwa ni nje ya sheria za JF, kwa sababu dataz nilizonazo ni kuwa hata wewe umenunua moja ya hizo nyumba za serikali, na hufanyi kazi serikalini je ni kweli mkuu since unaonekana kupenmda sana personal attacks?
3. CRDB na TANESCO, ni mashirika na sio maazimio ya taifa, tunaweza kuishi bila maazimio lakini sio bila benki au shirika la umeme, vipi mkuu yaaani tuanze tena kuelimishana na haya mambo madogo madogo tean huku kwenye uwanja mzito wa Jambo Forums?
2. Msimamo wangu unaeleweka hapa, kuhisia na taifa letu, CCM, na upinzani, sina haja ya kurudia rudia mkuu besides hiyo personal attack ambayo nimeshasema kuwa ni nje ya sheria za JF, kwa sababu dataz nilizonazo ni kuwa hata wewe umenunua moja ya hizo nyumba za serikali, na hufanyi kazi serikalini je ni kweli mkuu since unaonekana kupenmda sana personal attacks?
3. CRDB na TANESCO, ni mashirika na sio maazimio ya taifa, tunaweza kuishi bila maazimio lakini sio bila benki au shirika la umeme, vipi mkuu yaaani tuanze tena kuelimishana na haya mambo madogo madogo tean huku kwenye uwanja mzito wa Jambo Forums?