mvukiyefrancis
Member
- Dec 8, 2012
- 31
- 8
Wana JF,
Nimeona mm pia nitoe testimonial kwa faida ya wajasiriamali wanaopenda kilimo na ufugaji.
Ndoto yangu imekuwa kutafuta ujasiriamali utakaoniwezesha kuachana na ajira at 40yrs.Baada ya kujaribu biashara mbalimbali nikagundua kuwa faida zilizopo kwenye kilimo na ufugaji ni kubwa mno especially kama una kamtaji ka kuanzia kapo.Nikaanza kutafuta mashamba.Nikapata kadhaa ila hili la Maseyu ndilo hasa linazaa matunda.kwa wale wanajua morogoro road,hicho kijiji kipo baada ya bwawani au km6 kabla ya mikese.Shamba lipo km1.5 toka barabarani.Nilinunua eka 100 mwaka 2011.Immediately nikaanza kufyeka na kung'oa visiki.Nikalima eka10 za mahindi na alizeti mwishoni 2012.Nililima eka 2 za tikiti maji.mazao yanastawi si mchezo.masika ya 2013 nikalima eka 20 za alizeti na mahindi.pia nikaanzisha mradi wa nguruwe.
Nilianza na nguruwe 8 jike na dume mmoja.sasa nina nguruwe kama 70 hv.Nilipata changamoto kidogo,nguruwe watatu walikufa.kwa changamoto hizo nimepata uzoefu mkubwa. Mambo mengi kama kuchoma chanjo na kutibu baadhi ya magonjwa naweza kufanya mwenyewe kwa maana madaktari nao ni changamoto.nategemea kuanza kuuza nguruwe wakubwa by April.wadogo nauza though soko lake sio kubwa sana.
Pamoja na upunyufu wa mvuA mazao yangu ya vule yamekomaa.nna tikiti kama eka10 na mahindi kama eka25.
Nextmonth nategemea kulima eka kama 70 hv.nataka kulima mahindi,alizeti,ufuta,mtama na maboga.vyote kwa biashara na chakula ya mifugo yangu.
Nataka niweze kuuza nguruwe 20 kila mwezi by this year.
Mwaka jana nimevuna zaidi ya gunia 200 za mahindi na 150 za alizeti.fuso 2 za tikiti maji.Cha zaidi nimetoa ajira kwa vijana kazaa
Tatizo la maji shambani nimetatua last year kwa ku design bwawa na matank cheap.
Karibuni wajasiriamali,future ipo kwenye kilimo.unauza mazao yako hamna mtu anakuuliza kodi! Hahaa
Aise umenifurahisha sn, mimi niko Ileje,lakini bado sijaanza kilimo. Kwa ss nimefuga nguruwee km 25 tu na nn shamba la karanga eka 1 tu. Mungu akinijalia nataka mwakani nianze vizuri. Naomba nikutumie kwa ushauri
mkuu hongera
I'm really impressed. WoW.
We can do this.
The Ant Philosophy-by Jim Rohn
Over the years I've been teaching children about a simple but powerful conceptthe ant philosophy. I think everybody should study ants. They have an amazing four-part philosophy, and here is the first part: ants never quit. That's a good philosophy. If they're headed somewhere and you try to stop them; they'll look for another way. They'll climb over, they'll climb under, and they'll climb around. They keep looking for another way.-What a neat philosophy, to never quit looking for a way to get where you're supposed to go.Second, ants think winter all summer. That's an important perspective. You can't be so naive as to think summer will last forever. So ants are gathering in their winter food in the middle of summer.An ancient story says, "Don't build your house on the sand in the summer." Why do we need that advice? Because it is important to be realistic. In the summer, you've got to think storm. You've got to think rocks as you enjoy the sand and sun
The third part of the ant philosophy is that ants think summer all winter. That is so important. During the winter, ants remind themselves, "This won't last long; we'll soon be out of here." And the first warm day, the ants are out. If it turns cold again, they'll dive back down, but then they come out the first warm day. They can't wait to get out.And here's the last part of the ant philosophy. How much will an ant gather during the summer to prepare for the winter? All he possibly can.-What an incredible philosophy, the "all-you-possibly-can" philosophy.Wow, what a great seminar to attendthe ant seminar.-Never give up, look ahead, stay positive and do all you can.