Ufugaji na kilimo unalipa sana

Ufugaji na kilimo unalipa sana

Aise umenifurahisha sn, mimi niko Ileje,lakini bado sijaanza kilimo. Kwa ss nimefuga nguruwee km 25 tu na nn shamba la karanga eka 1 tu. Mungu akinijalia nataka mwakani nianze vizuri. Naomba nikutumie kwa ushauri
 
Wana JF,
Nimeona mm pia nitoe testimonial kwa faida ya wajasiriamali wanaopenda kilimo na ufugaji.
Ndoto yangu imekuwa kutafuta ujasiriamali utakaoniwezesha kuachana na ajira at 40yrs.Baada ya kujaribu biashara mbalimbali nikagundua kuwa faida zilizopo kwenye kilimo na ufugaji ni kubwa mno especially kama una kamtaji ka kuanzia kapo.Nikaanza kutafuta mashamba.Nikapata kadhaa ila hili la Maseyu ndilo hasa linazaa matunda.kwa wale wanajua morogoro road,hicho kijiji kipo baada ya bwawani au km6 kabla ya mikese.Shamba lipo km1.5 toka barabarani.Nilinunua eka 100 mwaka 2011.Immediately nikaanza kufyeka na kung'oa visiki.Nikalima eka10 za mahindi na alizeti mwishoni 2012.Nililima eka 2 za tikiti maji.mazao yanastawi si mchezo.masika ya 2013 nikalima eka 20 za alizeti na mahindi.pia nikaanzisha mradi wa nguruwe.
Nilianza na nguruwe 8 jike na dume mmoja.sasa nina nguruwe kama 70 hv.Nilipata changamoto kidogo,nguruwe watatu walikufa.kwa changamoto hizo nimepata uzoefu mkubwa. Mambo mengi kama kuchoma chanjo na kutibu baadhi ya magonjwa naweza kufanya mwenyewe kwa maana madaktari nao ni changamoto.nategemea kuanza kuuza nguruwe wakubwa by April.wadogo nauza though soko lake sio kubwa sana.
Pamoja na upunyufu wa mvuA mazao yangu ya vule yamekomaa.nna tikiti kama eka10 na mahindi kama eka25.
Nextmonth nategemea kulima eka kama 70 hv.nataka kulima mahindi,alizeti,ufuta,mtama na maboga.vyote kwa biashara na chakula ya mifugo yangu.
Nataka niweze kuuza nguruwe 20 kila mwezi by this year.
Mwaka jana nimevuna zaidi ya gunia 200 za mahindi na 150 za alizeti.fuso 2 za tikiti maji.Cha zaidi nimetoa ajira kwa vijana kazaa
Tatizo la maji shambani nimetatua last year kwa ku design bwawa na matank cheap.
Karibuni wajasiriamali,future ipo kwenye kilimo.unauza mazao yako hamna mtu anakuuliza kodi! Hahaa


mkuu hongera
 
Karibu kaka.
Ushirikiano ndio nguvu ya mafanikio
Aise umenifurahisha sn, mimi niko Ileje,lakini bado sijaanza kilimo. Kwa ss nimefuga nguruwee km 25 tu na nn shamba la karanga eka 1 tu. Mungu akinijalia nataka mwakani nianze vizuri. Naomba nikutumie kwa ushauri
 
Good.opportunity zipo nyingi.tatizo watu tunajikita ku overanalyze possible problems rather opportunity QUOTE=prosperity93;8539498]Safi sana niko nyuma yako mkuu ngoja nimaloze kusoma[/QUOTE]

Malafyale ubarikiwe sana kwa kutuhamasisha. hii shule imekuja kwa wakati.. kwa sasa naona nisifanye tena over analysis muhimu ni kuchukua hatua. Fursa za kilimo na ufugaji ni nyingi sana Tanzania vijana tuzichangamkie mapema kabla hazijaja nyakati mbaya ardhi itapokuwa hadimu sana. wakat ni sasa[/QUOTE]
 
Embu nii subscribe hii!!! Nashukuru kwa mawazo yako mazuri pia hongera sana mkuu!!!
 
The Ant Philosophy-by Jim Rohn

Over the years I've been teaching children about a simple but powerful concept—the ant philosophy. I think everybody should study ants. They have an amazing four-part philosophy, and here is the first part: ants never quit. That's a good philosophy. If they're headed somewhere and you try to stop them; they'll look for another way. They'll climb over, they'll climb under, and they'll climb around. They keep looking for another way.-What a neat philosophy, to never quit looking for a way to get where you're supposed to go.Second, ants think winter all summer. That's an important perspective. You can't be so naive as to think summer will last forever. So ants are gathering in their winter food in the middle of summer.An ancient story says, "Don't build your house on the sand in the summer." Why do we need that advice? Because it is important to be realistic. In the summer, you've got to think storm. You've got to think rocks as you enjoy the sand and sun
The third part of the ant philosophy is that ants think summer all winter. That is so important. During the winter, ants remind themselves, "This won't last long; we'll soon be out of here." And the first warm day, the ants are out. If it turns cold again, they'll dive back down, but then they come out the first warm day. They can't wait to get out.And here's the last part of the ant philosophy. How much will an ant gather during the summer to prepare for the winter? All he possibly can.-What an incredible philosophy, the "all-you-possibly-can" philosophy.Wow, what a great seminar to attend—the ant seminar.-Never give up, look ahead, stay positive and do all you can.



Second part;
Ants think winter all summer.
Third part;
Ants think summer all winter.
Fourth part;
How much will ant gather during the summer to prepare for the winter? ALL HE POSSIBLY CAN!!!
I'm not sure if I've understood THE ANT PHILOSOPHY. Is it? Why are we in town? Am I waiting for weekends English Premiere League?
The ant philosophy!!! An incredible one.
After SUMMER comes WINTER!!!!!
Thanx for the seminar.
 
Mkuu umeniamsha sana sana..nami nipombioni kujikita kwenye kilimo na mifugo hizi kazi za kuajiriwa ni utumwa tu tatizo wengi tumeshakuwa brainwashed basi hatutaki kuamini! nakutakia kila la kheri mkuu...
 
ImageUploadedByJamiiForums1398519915.626508.jpg
kilimo linalipa sana wakuu kwa vitabu vyote vya kilimo na ufugaji usisite tupigie leo 0758303090
 
naungana na wewe mkubwa kilimo na ufugaji vinalipa miye nilipangiwa kazi wilayani tena kijijini niliwaza sana lakini bwana kilimo akaniambia kijana hii ni fulsa usijute kweli nikaanza kuwa nanunua kuku wa kienyeji wadogo nawatunza ndani ya miezi miwili nawapeleka sokoni yani shasahau mshahara kwani kwa mwezi natoa kuku sabini
 
mkuu mleta mada,Nimevutiwa sana sana na jitihada zako!
Niko mbioni kufuata nyayo zako!
 
Salama wakuu.
Tangu nianzishe hii thread nimepokea msg nyingi toka kwa wadau na wengine wametembelea shambani kwangu pia na wengine wameshaanza project zao.Nashukuru kwamba post hii imewa inspire wengi NA NIMEKUWA MSAADA KWA WENGI!
MASIKA HII IMEKUWA NZURI NA MAZAO YANAENDELEA VEMA KABISA.
NINA IMANI PICHA HIZI ZITAWAHAMISHA WENGI ZAIDI
 

Attachments

  • 1398681272092.jpg
    1398681272092.jpg
    39.8 KB · Views: 256
  • 1398681302172.jpg
    1398681302172.jpg
    48 KB · Views: 231
  • 1398681326667.jpg
    1398681326667.jpg
    41.8 KB · Views: 227
  • 1398681362561.jpg
    1398681362561.jpg
    40.5 KB · Views: 227
  • 1398681380282.jpg
    1398681380282.jpg
    50.4 KB · Views: 218
  • 1398681405872.jpg
    1398681405872.jpg
    66.7 KB · Views: 214
  • 1398681432461.jpg
    1398681432461.jpg
    73.3 KB · Views: 212
  • 1398681480368.jpg
    1398681480368.jpg
    90.9 KB · Views: 224
  • 1398681511637.jpg
    1398681511637.jpg
    78.7 KB · Views: 216
  • 1398681549040.jpg
    1398681549040.jpg
    77.6 KB · Views: 218
  • 1398681587267.jpg
    1398681587267.jpg
    63.8 KB · Views: 225
  • 1398681696521.jpg
    1398681696521.jpg
    110 KB · Views: 226
BIG UP MKUU
sijajua tu hiyo picha ya mwisho ni zao gani?
na hapo unafuga huyo mdudu wasiokula jamaa zetu tu?au.kuna mifugo mingine. ?
 
Back
Top Bottom