babilas25
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 482
- 353
Ufugaji wa samaki kwa vizimba ni njia rahisi na yenye tija kwa wafugaji samaki kibiashara. Nitakuelezea hapa hatua na gharama zake na mambo mengine ya kuzingatia.
1.Vibali vya uendashaji wa shuguli za ukuzaji viumbe hai majini
I)Mhutasari wa kikao cha serikali ya kijiji au mtaa ambapo mradi utafanyika.
II)TAFIRI- Kufanya survey kwenye eneo ambapo vizimba vitawekwa, kupima kina cha maji, ubora wa maji, mkondo wa maji, ukubwa mawimbi n.k. galama ni Tsh. 2,700,000/=
III)NEMC-Kufanya Environmental Impact Assessment, galama yao n 4,200,000/=
IV)Bonde la Ziwa Victoria- Kutoa kibali cha matumizi ya maji
V)Barua ya Afsa uvuvi wa eneo husika
VI) Kibari kutoka Wizara ya mifugo na uvuvi idara ya ukuzaji viumbe hai majini.
2.Kutengeneza kizimba na Kupanda vifaranga.
-Kizimba chenye urefu wa mita6, upana mita6 na kina cha mita6, kinaweza kubeba vifaranga 10,000.
-Galama za kutengeneza kizimba ni 3,500,000/= na vifaranga tsh.2,000,000 kwa vifaranga 10,000.
3.Galama za vyakula.
Kilo1 ya samaki ni sawa na kilo1.3 za chakula. Hivyo matalajio ya mavuno yatategemea pia kiasi cha chakula.
Mfano; samaki 10,000 wanaweza kufika wastani wa kilo 2500 mpaka 3000.
Hivyo watakula kilo 3250 mpaka 3900.
Vyakula vimegawanyika katika makundi 3
(Galama ni kati tsh2500/kg mpaka 3000/kg)
4.Galama ya usimamizi na ulinzi wa mradi (Ni makubaliano)
5.Mavuno; Kwenye kizimba cha ukubwa wa mita za eneo 36 kinaweza kubeba vifaranga mpaka 10,000 vya sato, Matarajio ya kuvuna ni samaki 8500 mpaka 9000 ambao wanakadiliwa kuwa na uzito wa gram 400 mpaka 600
Wastani wa mavuno ni tani 2.5 kwa miezi 6.
===================
Unahitaji kufuga samaki kwa njia ya vizimba, Karibu Imani Aqua farm.
Huduma tunazotoa n pamoja na
-Ushauri wa kitalaam juu ya ukuzaji viumbe maji
-Hatua za kufuata kabla hujaanza kufuga samaki
-Kutengeneza na kufunga vizimba vya kufugia samaki
-Mbegu bora ya samaki
-Usimamizi wa miradi ya ufugaji samaki kwa vizimba.
Tunapatika mwanza Luchelele.
Kwa mawasiliano zaidi tupigie +255764123459
Cc:Babilas25
1.Vibali vya uendashaji wa shuguli za ukuzaji viumbe hai majini
I)Mhutasari wa kikao cha serikali ya kijiji au mtaa ambapo mradi utafanyika.
II)TAFIRI- Kufanya survey kwenye eneo ambapo vizimba vitawekwa, kupima kina cha maji, ubora wa maji, mkondo wa maji, ukubwa mawimbi n.k. galama ni Tsh. 2,700,000/=
III)NEMC-Kufanya Environmental Impact Assessment, galama yao n 4,200,000/=
IV)Bonde la Ziwa Victoria- Kutoa kibali cha matumizi ya maji
V)Barua ya Afsa uvuvi wa eneo husika
VI) Kibari kutoka Wizara ya mifugo na uvuvi idara ya ukuzaji viumbe hai majini.
2.Kutengeneza kizimba na Kupanda vifaranga.
-Kizimba chenye urefu wa mita6, upana mita6 na kina cha mita6, kinaweza kubeba vifaranga 10,000.
-Galama za kutengeneza kizimba ni 3,500,000/= na vifaranga tsh.2,000,000 kwa vifaranga 10,000.
3.Galama za vyakula.
Kilo1 ya samaki ni sawa na kilo1.3 za chakula. Hivyo matalajio ya mavuno yatategemea pia kiasi cha chakula.
Mfano; samaki 10,000 wanaweza kufika wastani wa kilo 2500 mpaka 3000.
Hivyo watakula kilo 3250 mpaka 3900.
Vyakula vimegawanyika katika makundi 3
- Starter
- Glower
- Finisher
(Galama ni kati tsh2500/kg mpaka 3000/kg)
4.Galama ya usimamizi na ulinzi wa mradi (Ni makubaliano)
5.Mavuno; Kwenye kizimba cha ukubwa wa mita za eneo 36 kinaweza kubeba vifaranga mpaka 10,000 vya sato, Matarajio ya kuvuna ni samaki 8500 mpaka 9000 ambao wanakadiliwa kuwa na uzito wa gram 400 mpaka 600
Wastani wa mavuno ni tani 2.5 kwa miezi 6.
===================
Unahitaji kufuga samaki kwa njia ya vizimba, Karibu Imani Aqua farm.
Huduma tunazotoa n pamoja na
-Ushauri wa kitalaam juu ya ukuzaji viumbe maji
-Hatua za kufuata kabla hujaanza kufuga samaki
-Kutengeneza na kufunga vizimba vya kufugia samaki
-Mbegu bora ya samaki
-Usimamizi wa miradi ya ufugaji samaki kwa vizimba.
Tunapatika mwanza Luchelele.
Kwa mawasiliano zaidi tupigie +255764123459
Cc:Babilas25