Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jambo ni jema sana ila huu mlolongo utamaliza capital yote!!!1.Vibali vya uendashaji wa shuguli za ukuzaji viumbe hai majini
I)Mhutasari wa kikao cha serikali ya kijiji au mtaa ambapo mradi utafanyika.
II)TAFIRI- Kufanya survey kwenye eneo ambapo vizimba vitawekwa, kupima kina cha maji, ubora wa maji, mkondo wa maji, ukubwa mawimbi n.k. galama ni Tsh. 2,700,000/=
III)NEMC-Kufanya Environmental Impact Assessment, galama yao n 4,200,000/=
IV)Bonde la Ziwa Victoria- Kutoa kibali cha matumizi ya maji
V)Barua ya Afsa uvuvi wa eneo husika
VI) Kibari kutoka Wizara ya mifugo na uvuvi idara ya ukuzaji viumbe hai majini.
Gharama bado ni zile zile ?View attachment 3058937Tukutane shambani
Gharama bado ni zile zile ?
Mbona samaki ni wadogo sana, hawakulishwa vizuri?View attachment 3058937Tukutane shambani
Watu wali betia simba sasa ubaya ubwela kushindwa inabidi wauze wakiwa wadogoMbona samaki ni wadogo sana, hawakulishwa vizuri?