Ufugaji samaki kwa Vizimba (Cage Fish Farming)

Serikali ya kipuuzi sana hii, gharama zote hizo kwenye vibali za nini? Vijana watajikomboaje kwa mfumo huu?
Iko haja ya wadau kukaa kwa pamoja na kuja na mapendekezo ya namna gani vibali viweze kuoatikana kwa gharama nafuu na kwa urahisi.
 
Ahsante kwa andiko zuri, hicho chakula ulichoandika ni kwa muda gani yaani kwa siku, mwezi au miezi kadhaa?
 
NICHEKI WATSUP 0762212623 NIKUUNGANISHE NA WATEJA
 
Nilikuwa natamani kufuga ila nikiwaza hizo gharama tamaa ime nikifu yaani Tafiti 2,700,000 NEMC 4,200,000. Kizimba kimoja cha 36 eneo la mraba 3,500,000 vifaranga 10,000 ni 2,000,000. Hapo huja weka Chakula tayar 11,400,000/- maana chakula pekee 11,700,000.

Hapa jumla kuu ni 23,100,000/- kwa tani 2.5 ambapo bei ya Jumla ni 5500 ambapo mavuno ni 13,750,000/+ hapo Hasara ya −9,350,000 kwa Cage
 
Duuuuu kwa. Gharama hizi si bora uwe. Mvuvi au broker wa samaki
 
Samahani kwa kua kimya kwa mda mrefu. Ni sababu ya kimazingira
 
Dah
 
Mkuu hesabu za uwekezaji Huwa haziko hivyo, Kuna gharama nyingi Huwa hazijirudii
 
Vibali kama nasafirisha silaha vile. Nilipie milioni 4 ya kibali huo si ni mtaji wa kujenga bwawa dogo kwa simenti kwenye kiwanja changu
Serikali ya kipuuzi sana hii, gharama zote hizo kwenye vibali za nini? Vijana watajikomboaje kwa mfumo huu?
Shida ipo kwa watunga sera wetu, watu wanashindwa kuweza kujiajiri sababu kubwa ikiwa ni pamoja na hii
Yaani hapo Kuna vibali Kama 6 na gharama Yake ni milioni 7, na hapo una assume Kama hujaletewa longolongo za rushwa, nchi Ngumu Sana hii
 
Floating fish cage.
Your browser is not able to display this video.
 
Thank you for coming
 

Attachments

  • 20240723_132914.mp4
    42.9 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…