1.Vibali vya uendashaji wa shuguli za ukuzaji viumbe hai majini
I)Mhutasari wa kikao cha serikali ya kijiji au mtaa ambapo mradi utafanyika.
II)TAFIRI- Kufanya survey kwenye eneo ambapo vizimba vitawekwa, kupima kina cha maji, ubora wa maji, mkondo wa maji, ukubwa mawimbi n.k. galama ni Tsh. 2,700,000/=
III)NEMC-Kufanya Environmental Impact Assessment, galama yao n 4,200,000/=
IV)Bonde la Ziwa Victoria- Kutoa kibali cha matumizi ya maji
V)Barua ya Afsa uvuvi wa eneo husika
VI) Kibari kutoka Wizara ya mifugo na uvuvi idara ya ukuzaji viumbe hai majini.