Ufugaji samaki wa maji ya chumvi

Ufugaji samaki wa maji ya chumvi

Kukudume2013

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2013
Posts
1,659
Reaction score
734
Natamani kufuga samaki wa maji ya chumvi lkn sina uzowefu wala ujuzi wa namna ya kufuga ,Nina mpango wa kuanza na samaki ,kamba au mud crabes (Kaa tope).je naweza kupata utaalamu hapa auu ushauri au uzowefu hapa kwa mwenye nao.au hata maeneo ambayo kuna mtu anafuga unaweza kunielekeza karibuni .
50944c38406e3d5d3415f185c0741bb7.jpg
e52ebab23f703ac820aa42201cde985b.jpg
14cf3fe3b24de99eac276b1c36fea183.jpg
33b6e705ab74bf19cb185d66989dfeeb.jpg
 
wazo zuri ila watafute watalaam zaidi utapata tu ujuzi
 
Back
Top Bottom