Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo pm ninao wa kutoshaNahitaji mbegu ya kisasa ya sungura nipo arusha 0622000900
Njoo pm ninao wa kutoshaNatafuta Sungura jamani
Kaka hao jamaaa mwenyew nimewasikia tuu wanaitwa TBCC wao ndyo wanakupa sungura na unawafuga na watanunua kwako siku yoyote hao sungura baada ya kukua kilo 8000/= na wananunua kwa idadi yoyote ile wafatilie mtandaoni
Please nipigie au sms kwa number 0769525665Mi nahitaji kufuga sungura mbegu yake naweza pata kwa sh ngapi?kwa anaejua anisaidie
Mkuu, inauzwa kwa bei hiyo sehemu gani ? Soko lipo La uhakika ? Maana ukute wanataka tani 20 tuu halafu waahirishe na kusitisha unuaji wa sungura.
Mkuu nadhani ingekuwa vyema ungemuuliza hilo swali mtoa mada au kama utaweza pita kwenye tovuti yao ipo kwenye bandiko ilo uwaulize wahusika wenyewe, mimi nilifanya msaada kubandika tovuti ya hao jamaa.Mkuu, inauzwa kwa bei hiyo sehemu gani ? Soko lipo La uhakika ? Maana ukute wanataka tani 20 tuu halafu waahirishe na kusitisha unuaji wa sungura.
Sasa pm ya nini wakati ni biashara kama wapo nipigie nipo seriousNjoo pm ninao wa kutosha
OK nakupigia jioni hakuna tatizo mkuuNjoo pm ninao wa kutosha
Nipe elim kidogo sungura wang jike ananyonyoka uson anakuwa kama anavidondaNjoo pm ninao wa kutosha
Huo ni ugonjwa unatokana na uchafu na wanaambukizana kikubwa nenda kwenye duka na dawa wakupe dawa ya mange ni ya sindanoNipe elim kidogo sungura wang jike ananyonyoka uson anakuwa kama anavidonda
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Ukulima machungwaFuga kwa ajili ya nyama yake bora tu.
Mimi nataka kufuga wale sungura pori, vipi inawezekana wadau?