Ufugaji wa kisasa wa Sungura: Ushauri wa masoko na faida za ufugaji

Kwa mwenye uhitaji wa hawa viumbe ani PM ila bei ni 15,000.
Wanauzwa kuanzia Sungura kumi na kuendelea.

abexcley1990@gmail.com
Hiyo bei yako ni ya udalali mtu mwenye ujitahidi akitafuta wanapatikana kwa bei ya kawaida tu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njoo kigoma huku manyovu border sungura 4000 mkubwa kazi ni kwako ukihtaji just ni P.M tu
 
Kama Kichwa kinavyojieleza naomba kupewa uzoefu kuhusu ufugaji wa sungura na changamoto zake. Pia Ningependa kufahamu hali ya soko la sungura ikoje?
Nategemea kupata ushauri na uzoefu wenu ili na mimi niweze kuchagua fursa miongoni mwa fursa nilizoziona na kuzisoma hapa JF.
 
Nitafute kupitia 0712784472 nikupe makala iliyojitosheleza lakni ni ya kiingereza....
 
Hiyo makala ukiiweka hapa kwa faida ya wote itakuwa dhambi?
Uko pekeyako unaefuga Sungua, sasa aiweke hapa kwani sisi tunafuga Sungua mkuu?, chukua hiyo namba akupe makala ya kufuga Sungua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…