Ufugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania

Mkuu kuna Jamaa alikataa milioni 3 hajauza jogoo la kuchi maeneo Ya kigamboni. Wahindi Na. Waarabu ndio wanapeda Kununua Sana hii Aina Ya kuku.lkn kuna faida kwani Hata kifaranga tu cha mwezi ni elfu 50.na yake ni elfu 15 moja
Hii haina tofauti na thamani fikirivu za sarafu za zamani. Kuna wakati nikiwa mdogo nilikuwa naona watu wanatafuta sarafu za zamani enzi za mkoloni kwa taarifa eti wataziuza kwa fedha nyingi zisizo na idadi. Kifaranga shs 50,000 na yai shs 15,000? Mimi naona kama kuna kundi la watu wanadanganya wenzao. Sioni uhalisia zaidi ya matarajio tu.
 
Habari hao kuchi mm ninavifaranga vyake bei 5500/= cha siku moja
0657257509.Karibuni
 
Hii ni lugha biashara tu. Ununue kuku wa uzito maximum kilo 3.5 kwa shs 200,000/=? Kwa ajili ya nini, nyama au mapambo? Mimi simuelewi huyu bwana

[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]


Au anatoa na maziwa

 
Nilipoona heading ya Uzi na I'd kuwa ni JF Nilitarajia makubwa sana!

Sasa hayo masoko ya nje na ndani uliyoyataja kwenye heading yako Wapi!?
 
Ukishangaa ya Musa unaona ya filauni
Kuna wajinga wasioelewa maana hawapaswi kuombiwa maana
Xaxa unaambiwa wanauzwa laki 2
Unatoa povu umelazimishwa kama ghali kamalizie bar iyo laki 2 zenu
 
Kuku wa kroiler ana kilo 3.5 anauzwa 25,000/= alafu kuchi kilo 3.5 anauzwa 200,000/=. What is so special with kuchi? Nyama yao ina virutubisho zaidi ya kuku wengine?
kununua kuchi kwa zaidi ya bei ya soko ni ulimbukeni. kuchi hutumika sana kwenye michezo ya kupiganisha kuku, wapemba, wahindi na waarabu wanawatumia sana hawa. nanwatu huwekeza pesa zao kwenye haya mapambano. kwaiyo kama akikuta una kuchi mzuri, na yeye akajiridhishankuwa kupitia uyo kuku anaweza akaendeleza ubabe kwenye mapambano na akajipatia pesa, atamnunua uyo kuchi hata kwa laki tano.....ila kama unalenga kumuuzia mswahili akamle nyama, utasubiri sana kumuuza kwa iyo bei.

na hata wapemba wenyewe, wanaweza kumnunua mmoja tu kati ya mia, maana si kila mtu ana interest nanhuo mchezo
 
Kwa anae taka kuku aina ya Kuchi njoo PM
 
Mmhh hiyo Bei ni yako .Inaonekana hujui unachokiandika.

Sema kuku hawa hasa majogoo ni maarufu kwa kupigana na wanapunzi ya hatari na ujasili anaweza kimbiza hata mtu au mnyama.

lakini kwa bei sikubali nawe asilani.
 
Kuku wa laki2, hiyo michezo ya kupigana mpaka waje kununua sio leo

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
Cascos si nilikwambia nikuuzie yule kuku kwa laki na nusu ukakomaa laki na ishirini? Unaona bei zake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…