Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

Mimi ni muuzaji wa vitabu vya ufugaji wa kuku wa kienyeji, nakushauri ununue kitabu kinaelezea kila kitu tuwasiliane kwa namba hii 0756462228
 
Chakula unachowapa mahindi na mashudu kina kiwango cha juu fat na protein. Kumbuka wakati wa utagaji kuku huongeza kiwango cha mafuta mwilini kwa hiyo inaathiri utumbo wa mayai.
Kingine labda una over feeding hao kuku hilo pia linaathiri kasi ya utagaji.
 
Ahsante sana mkuu. Hapo kwenye overfeed itakua inanihusu. Sasa mbadala wa pumba na mashudu ninini mheshimiwa?
 
Changanya pumba au chakula unachowapa na (layers) hicho ni chakula wanachopewa kuku wa mayai hakikisha layers na pumba zinakuwa na uwiano sawa laa sivo ukizidisha layers watataga sana bila kuatamia
 
Changanya pumba au chakula unachowapa na (layers) hicho ni chakula wanachopewa kuku wa mayai hakikisha layers na pumba zinakuwa na uwiano sawa laa sivo ukizidisha layers watataga sana bila kuatamia
Haya mayai yatakayo tagwa kwa kuwapa layers yataweza kuanguliwa kweli?
 
Changanya layers mash watataga mfululizo
 
mkuu wewe umekulia New york? au Michigani? kwa sababu kama umekulia kijijini basi unajua fika tabia za kuku wa kienyeji.

Layers wenyewe hawatagi kila siku sembuse wa kienyeji? how come?
Sio kweli, kuku wa kienyeji anaweza kutaga hadi mayai 70 mfululizo japo anaweza kurusha siku moja. Mimi huwapa layers mash kidogo nachanganya na pumba
 
Kwa kweli inabidi tuzinduke ufugaj huu utatusaidia sana hususani vjna tunaosubiria mpaka kuajiliwa na gvt
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…