Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

Mwenye mayai ya chotara ya kutotolesha aliopo mbeya mjini nahitaji trey moja
 
Mkuu vipi....million 90 ishaingia?
 
Wadau kwema, mimi kama kijana, nimeamua kujikita kwenye ujasiliamali, nimeanza biashara kua kuuza kuku wa kienyeji ambao nawatoa Dodoma na Singida, natafuta soko mwenye connection tafadhali tujuzane hapa.

Bei zanfu ni kuanzia elfu 13 hadi 17 kwa kuku mmoja kutegemeana na uzito wa kuku husika.

Naomba kuwasilisha
 
Mwenye mayai ya kuku wa kienyeji ya kutotolesha aliopo mwanza nahitaji trey moja
 
Changanya kufuga na kuku weupe peee! wa dawa, wabongo ni waumini na ni washirikina ni usipime hata wachungaji watakuja, watanunua nyekundu, nyeusi, blue, kijani ikibidi wapake rangi kabisa upate faida chapchap!

then nunua fuso peleka Congo DRC, wa kienyeji ni wagumu hawafi kirahisi, fanya kwa mtindo huo huo UONE hautarudi bongo, kwa unono wa faida! Dogo lazima uwe mbunifu ambao wengine hawana! unasikia?
 
Upo DSM sehemu gani
 
Hata mm nitakupigia nikitafuta masoko

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli ndugu mm ninafuga kuku waw kienyeji mwaka sass nilianza na kuku 30 niliwatoa tabora wakafa na magonjwa wakabaki 12 , baada ya kufanya uchunguzi ya jinsi ya kuwafuga ili kupata faidi Hadi sasa Nina kuku wakienyeji wengi tu na nishauza sana , Cha msingi ukitaka faida inabidi uwafuge kisasa uwawekee chakula kizuri chenye virutubisho vyote kulingana na umri wao utaona kama huajapata faidi sio unawaacha wazunguke tu mitaani alafu unakaa kutegemea faida
 
Send me database please
 
Unapoteza muda. Huwezkufuga kuku wa kienyeji kwa ktumia intensive manahement. Only what u can get is loss.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…