PATIE DE CHRISS
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 460
- 229
habarini wadau wa JF
Kwa kweli mwaka huu nimeamua kuaanza ufugaji wa kuku wa kienyeji
Ningependa ushauri wenu kwani niataka kujua vitu gain nahitaji ili niweze kufuata ndoto yangu ya ufugaji wa kuku
Nataka kuaanzia vifaranga mpaka baadae kuja kupata mayai kwa ajili ya kuuzaa.
Ningependa kupata ushauri wenu kabla siijaanza ili nijue nini kinatakiwa hata baadae nije kuwa mfanyabiashara mkubwa katika uzaji wa mayai na kuku.
NAWATAKI WOTE HERI YA MWAKA MPYA 2019
Kwa kweli mwaka huu nimeamua kuaanza ufugaji wa kuku wa kienyeji
Ningependa ushauri wenu kwani niataka kujua vitu gain nahitaji ili niweze kufuata ndoto yangu ya ufugaji wa kuku
Nataka kuaanzia vifaranga mpaka baadae kuja kupata mayai kwa ajili ya kuuzaa.
Ningependa kupata ushauri wenu kabla siijaanza ili nijue nini kinatakiwa hata baadae nije kuwa mfanyabiashara mkubwa katika uzaji wa mayai na kuku.
NAWATAKI WOTE HERI YA MWAKA MPYA 2019