Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

Nami pia napenda kupata kopy ya hicho kitabu, ni pm

Davy

Habari yako mkuu,

Tafadhali ninaomba uni-PM kitabu cha ufugaji wa kuku wa kienyeji maana mie nae ni mfugaji ila napata changamoto sana juu ya hili

Nashukuru sana na ubarikiwe...
 

Ktk 1. Dawa za kusafisha mabanda *disfectant* na ktk magonjwa Newcastle haitolewi na serikal ilishachakachuliwa wakaamua kuitoa sokon. labda chanjo ya gumboro
 
Jinsi ninavyojua mimi pamoja na uzoefu wangu HAKUNA KUKU ANAYETAGA ZAIDI YA YAI MOJA KWA SIKU
But I stand to be collected if im wrong withverifiableevidence
 
Maarifa yanaongezeka na wakati, majaribio yapo Israel kwa kuku wa kutaga zaidi ya mayai mawili kwa siku. Yanaweza kusitishwa kwani mchina anatengeneza maabara, yai linatagwa na conical flask!
Jinsi ninavyojua mimi pamoja na uzoefu wangu HAKUNA KUKU ANAYETAGA ZAIDI YA YAI MOJA KWA SIKU
But I stand to be collected if im wrong withverifiableevidence
 
je kwa kwetu hapa bongo hilo usemalo lipo? je lawezekana?
i always like to use exam from home before i look from outside
 
Wadau kuanzia kesho tarehe 20/10 hadi jumatano tar 23/10 nitakuwa Dar es salaam kwa shughuli za ushauri wa ufugaji bora wa kuku,kwa yeyote anayehitaji nimtembelee kwenye shamba lake au project yake tuwasiliane kupitia 0767989713,0786989713 na 0715989713. Hii ni fursa pekee kwa watu wa Dar es salaam.
 
Wadau,bado napokea maswali yenu ili tuweze kusaidiana,lengo watu tuweze kujiajili.Mungu akipenda nitaanza kutupia vitu vingi siku za usoni.
 
Wadau,bado napokea maswali yenu ili tuweze kusaidiana,lengo watu tuweze kujiajili.Mungu akipenda nitaanza kutupia vitu vingi siku za usoni.

ukijenga banda la mbwa pembeni ya banda la kuku wa kienyeji kuna madhara yoyote? yaan mbwa ana vijidudu ambavyo vinaweza kuleta athari kwa kuku?
 
ukijenga banda la mbwa pembeni ya banda la kuku wa kienyeji kuna madhara yoyote? yaan mbwa ana vijidudu ambavyo vinaweza kuleta athari kwa kuku?
faiz jr,
Ikiwa utajennga banda la mbwa pembeni ya banda la kuku wa kienyeji,kuna madhara .Madhara yake ni kuwa mbwa ni chanzo cha kueneza wadudu aina ya viroboto na utitiri. Wadudu hawa wako katika kundi la visumbufu vya kuku,wana nyonya damu san.

Kwa hiyo ni muhimu mbwa wakawa mbali kidogo na unakofugia kuku.
 

kuku kuchi wakubwa wanauzwa bei gani?
 

Mkuu nashukuru kwa Ushauri wako,,mim mwenyew ni Graduate nimemaliza mwaka huu na sina appetite ya kuajiriwa. Namshukuru Mungu kanisaidia nikapata kamtaji kadogo na nimeamua kuanza kufuga kuku,, nimeanza na vifaranga 100 chotara kesho vinamaliza wiki 1,, Nitahitaj msaada wako sana bro,, kwa kuanza Naomba unijulishe dawa na chanjo nzuri za kuanza navyo,,,NIKO MPUNGUZI DODOMA!
 

Hongera kwa kuanza ufugaji,ndivyo inavyotakiwa kwa magraduates wote wawe kama wewe,kila mtu aanzishe mradi wake japo kwa kuanza na kidogo taratibu mradi utakuwa kadiri siku zinavyokwenda.Muhimu usimamizi mzuri wa mradi wenyewe na rasilimali watu na pesa.

Ili kuwatunza vizuri kuku wako,fuata ratiba hiyo hapo chini itakusaidia sana.
Chanjo Na Kinga Ya Magonjwa Ya Kuku wa Aina Zote

[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD] Umri Katika Siku/Wiki[/TD]
[TD="width: 155"] Aina Ya Ugonjwa[/TD]
[TD="width: 164"] Chanjo/ Dawa
[/TD]
[TD="width: 173"] Njia Ya Utoaji Wa Dada[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 157"] Mara baada ya kutotolewa[/TD]
[TD="width: 155"] Marek's[/TD]
[TD="width: 164"] HVT[/TD]
[TD="width: 173"] Sindano(hatchery)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 157"] 1[/TD]
[TD="width: 155"] Kuondoa uchovu[/TD]
[TD="width: 164"] Glucose[/TD]
[TD="width: 173"] Maji[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 157"] 2-6[/TD]
[TD="width: 155"] Pullorum[/TD]
[TD="width: 164"] Trisulmycine,Trimazine 30%au Cotrim+Vitalyte,Amin'total au Broiler booster[/TD]
[TD="width: 173"] Maji[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 157"] 7[/TD]
[TD="width: 155"] Mndondo[/TD]
[TD="width: 164"] Newcastle vaccine(Lasota)[/TD]
[TD="width: 173"] Maji[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 157"] 14[/TD]
[TD="width: 155"] Gumboro[/TD]
[TD="width: 164"] Gumboro (Bursine vaccine-IBD)[/TD]
[TD="width: 173"] Maji[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 157"] 16-20[/TD]
[TD="width: 155"] Coccidiosis[/TD]
[TD="width: 164"] Trisulmycine/Trimazine/Esb3 30%+Dawa yoyote ya Vitamin[/TD]
[TD="width: 173"] Maji[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 157"] 21[/TD]
[TD="width: 155"] Mdondo[/TD]
[TD="width: 164"] Newcastle vaccine(Lasota)[/TD]
[TD="width: 173"] Maji[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 157"] 23-27[/TD]
[TD="width: 155"] Kinga dhidi ya magonjwa mengi[/TD]
[TD="width: 164"] OTC 20%+Dawa ya vitamin yoyote[/TD]
[TD="width: 173"] Maji[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 157"] 35-39[/TD]
[TD="width: 155"] Mafua[/TD]
[TD="width: 164"] Coridix,Tylosine75%+dawa yoyote ya vitamin[/TD]
[TD="width: 173"] Maji[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 157"] 56[/TD]
[TD="width: 155"] Ndui[/TD]
[TD="width: 164"] Fowl pox Vaccine[/TD]
[TD="width: 173"] Sindano kwenye mabawa[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 157"] 56-60[/TD]
[TD="width: 155"] Kinga dhidi ya magonjwa mengi[/TD]
[TD="width: 164"] OTC 20%+Dawa yoyote ya vitamin[/TD]
[TD="width: 173"] Maji[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 157"] WIKI YA 12[/TD]
[TD="width: 155"] Taifodi(Fowl typhoid)[/TD]
[TD="width: 164"] Gentamyzine sulphate[/TD]
[TD="width: 173"] Sindano[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 157"] Wiki ya 13[/TD]
[TD="width: 155"] Minyoo[/TD]
[TD="width: 164"] Pipperazine cirtrate+Dawa yoyote ya vitamin[/TD]
[TD="width: 173"] Maji[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 157"] WIKI YA 15[/TD]
[TD="width: 155"] Ukataji midomo[/TD]
[TD="width: 164"] Dawa ya vitamin itumike baada ya zoezi[/TD]
[TD="width: 173"] Maji[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 157"] WIKI YA 16[/TD]
[TD="width: 155"] Kipindupimdu (fowl cholera)[/TD]
[TD="width: 164"] OTC 20% Injection[/TD]
[TD="width: 173"] Sindano[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 157"] WIKI YA 17[/TD]
[TD="width: 155"] Mafua (Infectious coryza)[/TD]
[TD="width: 164"] Tylosine Injection[/TD]
[TD="width: 173"] Sindano[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 157"] WIKI YA 18[/TD]
[TD="width: 155"] Taifodi(Fowl typoid)[/TD]
[TD="width: 164"] Gentamizine sulpate[/TD]
[TD="width: 173"] Sindano[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Niko na maswali machache
1. nina kuku wa kienyeji wana miezi 4 na nusu, nina shida ya kuwapimia lishe, je ni kiasi gani cha lishe niwapatie wako 14
2. ni umri upi kuku huanza kutaga? na jogoo umri upi sahihi wa kufanya kazi mrua?
 
Niko na maswali machache 1. nina kuku wa kienyeji wana miezi 4 na nusu, nina shida ya kuwapimia lishe, je ni kiasi gani cha lishe niwapatie wako 14 2. ni umri upi kuku huanza kutaga? na jogoo umri upi sahihi wa kufanya kazi mrua?
Hallo Ngamba, Kuhusu kuwapimia chakula, kila kuku atahitaji gram 120, na wakifika miezi sita na kuendelea utawaongezea hadi gram 123 kwa siku na kuhusu utagaji, mara nyingi kuku hasa wa kienyeji huanza kutaga wakiwa na umri wa miezi 6.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…