Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

Wadau naombeni msaada wa elimu juu ya ufugaji wa kuku wa mayai, kuku wa kienyeji au wa kisasa. Kuanzia ujenzi wa banda, pamoja na changamoto zake.
 
Wadau naombeni msaada wa elimu juu ya ufugaji wa kuku wa mayai, kuku wa kienyeji au wa kisasa. Kuanzia ujenzi wa banda, pamoja na changamoto zake.
Pitia pitia humu ndani kuna thread kibao zinazojibu maswali yako.Kama umeanza kuwa mvivu mapema hivi jua umesha-fail.
 
Website yenu .. ktk miradi mlofanya.. sijaona inayojihusiha na ufugaji... nakubali kusahihishwa..
 
Shule yenye uhalisia.... udadisi wangu mdogo ktk kuanza mradii mdogo wa hii makitu.. nakutana majibu... yananipoteza kabisa..
 
Naomba mchanganuo wa gharama/ mahitaji ya kufuga kuku wa kisasa broilers nataka kuanza na vifaranga 100

Naomba kujua gharama za
Vifaranga
Chakula cha kuku
Chanjo/dawa
Banda
Mahitaji mengine
 
Wadau naomba kujua ni wapi naweza kujifunza ufugaji wa kuku, na samaki hapa Dar
 
Hey JF Members.

Ee bwana kuna mtu anaweza kunipa msaada wa mchanganuo wa kufuga kuku. Naona soko la kuku ni kubwa sana. Hii ni biashara ambayo soko lake liko tayari. hotels, functions, vibanda vya chipss.. Yeyote mwenye idea naomba msaada please!
Habari kwa MTU yeyote mwenye interest ya kufuga kuku Nina banda tegeta masaiti nakodisha,banda na vyombo vyangu vya kuku na machine ya kunyonyoa manyoa.mwenye interest ya kufuga kuku anakaribisha kuona.whatssap 0786057996/call 0756661761.
 
Mkuu we ni mfugaji au unataka kunza kufuga maana si kuna watu nimewaunga alafu wakaanza kupost vitu tofaut na maudhui ya group wakatolewa na ww kweli muhitaji
Niunge mkuu, 0653997090
 
Sasa mimi ushauri wangu kwako ni kwamba ufuge kuku kuanzia mia moja kwanza ili upate uzoefu. Kama unataka kufuga kuku 1000 kwa kuanzia inabidi upate afisa mifugo ili akupe ushauri wa kuaminika kuzuia hasara. contacts zake 0752576267
Kuku 1 anaweza kutaga mayai mangapi hadi kumtoa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…