Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

nifahamishenin vizuri basi mbona kama hamutaki kunipa information za kutosheleza

Sio kwamba hamutaki jamaa munataka kukupa information za kutosheleza, unatakiwa kusubiri wadau waje. Hiii.
 
nifahamishenin vizuri basi mbona kama hamutaki kunipa information za kutosheleza
Kutotolesha viranga wa kuku wa kisasa unahitaji kuwa na parent stock (kuku wanaozalisha mayai ya kutotolesha)

Kwa ufahamu tu ni kwamba mayai haya ya kuku wa kisasa yanayotumika kwa chakula sio yanayotumika kuzalisha vifaranga, sababu hayana mbegu (unfertilized eggs) hivyo hayawezi kutumika kupata vifaranga

Kuku wa kisasa wamefanyiwa genetic modifications, ni suala gumu kidogo kuelewa kama hujui chochote kuhusu hawa kuku, lakini kwa ufupi ni kuwa kuna parent stock ya kuku ambao mayai yao ndio yanatumika kuzalisha hawa broiler unaoona mitaani.

Hao parent stock ni sensitive breed na wanahitaji matunzo maalum na chakula maalum na wala hakuna mfugaji anaweza kuwa nao nyumbani maana hata hawazaliani kama walivyo kuku hawa wa kawaida.

Hata viwanda vyenye hizi parent stocks huwa wanaagiza hao kuku wazazi toka ulaya wanawakuza mpaka wanapoanza kutaga ndio wanatumia mayai yao kuzalisha broilers

Good night
 
Tufuge wa kienyeji best na madawa yao ya kienyeji, naamini ni rahisi kuwafuga

Ndio ninachofanya now je hawa kuloiler wanaweza kufugwa kienyeji na kuwapa madawa ya kienyeji pia??me hizo chanjo zao za kizungu siziamini kabisaaa hata kidogo...
 
Habari wadau wa JamiiForums,

Ningependa kuwashirkisha wajasariamali wenzangu na wawekezaji wa ndani kua ufugaji wa kisasa wa kuku wa mayai ni biashara yenye faida nzuri endapo utampata mtu mwenye dhamira na ufugaji kuku.

Hivyo basi ombi langu kubwa natafuta mwekezaji ambaye tunaweza wekeza kwenye ardhi yangu iliopo mwanza Kigongo Ferry eneo lina ukubwa wa acre moja ni zuri na lenye usalama wa hali ya juu maitaji makubwa na kwenye miundo mbinu itakayo tuwezesha kufanikisha uzalishaji wa hali ya juu.

Kwa yeyote alieona fursa hii na kua na uwezo na imani nayo anitafute kwa namba 0688644047. Kwa details nyingizaidi za ku boost uaminifu baina yetu.
 
Weka detail zaidi mkuu, Mahitaji ni nn na uzalishaji utakuaje. mtaji wa kuanzia unahitajika sh ngapi n.k
 
Naombeni Mwenye mfano wa andiko la mchanganuo wa kuanzisha ufugaji kuku wa kisasa anisaidie
 
Pata kuku wataamu kabisa kujiramba mwanzo mwisho
( *Wakienyeji* ) wakubwa wa kutoshaaa 20, 000tsh @1..

*_oda ya kuanzia Kuku 7 unapata punguzo_ ...*
* _Popote ulip0 dar unaletewa..*_
 
Pata kuku wataamu kabisa kujiramba mwanzo mwisho <br />( *Wakienyeji* ) wakubwa wa kutoshaaa 20, 000tsh @1..<br /><br /> *_oda ya kuanzia Kuku 7 unapata punguzo_ ...*<br /> * _Popote ulip0 dar unaletewa..*_
 
Ndio ninachofanya now je hawa kuloiler wanaweza kufugwa kienyeji na kuwapa madawa ya kienyeji pia??me hizo chanjo zao za kizungu siziamini kabisaaa hata kidogo...
Ni madawa yapi ya kienyeji unayowapa?

Tufunze na sisi
 
Mkuu totolesha chotara,wanavumilia sana
 
Kaka naomba namba yako ya simu
Nahitaji kujua zaidi Niko katika mchakato wa kuanza project
 
Pata kuku wataamu kabisa kujiramba mwanzo mwisho( *Wakienyeji* ) wakubwa wa kutoshaaa 20, 000@ oda ya kuanzia Kuku 7 unapata punguzo_ .Popote ulip0 dar unaletewa.
 
Nashukuru Mkuu umelenge penyewe kuku wangu wanasumbuliwa na mafuwa na sasa yanatoka damu.Naomba unitajie dawa kama hutojali
 
Ndio ninachofanya now je hawa kuloiler wanaweza kufugwa kienyeji na kuwapa madawa ya kienyeji pia??me hizo chanjo zao za kizungu siziamini kabisaaa hata kidogo...
Ndio kuloiler unaweza fuga kienyeji na wana kubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…