George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Kuku wako unawauzia wapi?Kuna mtu kanunua silverlands na bdo analalamika hawakui na wanakula sana.
Cha muhimu hata hizo za mtaani mi ninazo na sasahv ndo nafuga kibiashara maana mwanzo nilifuga kwa matumizi yangu tu. Kuku we mpe chanjo zote na kuna ugonjwa mmoja mbaya sana unaitwa coccidiosis unakuwa unawapa dawa tu ukiona choo cha ugoro au dalili ya damu.
Vinginevyo hamna changamoto yoyote mwaka jana mwishoni niliuza kuku 160.
Sahv nina kuku 270 tayari kwa pasaka...maisha ni kudhubutu maana mwanzoni niliona hawana faida ila nikitoa gharama ya ulishaji faida naiona.
Pumba tani 1 nanunua kwa laki 3. Then mahindi,mashudu,uduvi au dagaa,mifupa na chumvi. Chakula cha kununua cha ready made ni gharama sana maana kuroiler wanakula balaaa hadi usiku kama ukiwasha taa wao ni kula tu hawajui kingine.
Jaribu huwezi jua bahati yako iko wapi mana kila mtu na mkono wake. Kuna mwingine biashara ya kuku anaona hailipi,mwingine biashara ya gari hataki kusikia kabisa,mwingine kilimo anaona hakilipi ila kwa waliotoboa kupitia hivyo vitu ina mana walijaribu bila kuangalia hasara kwa awali
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuku wako unawauzia wapi?
Kuna mtu kanunua silverlands na bdo analalamika hawakui na wanakula sana.
Cha muhimu hata hizo za mtaani mi ninazo na sasahv ndo nafuga kibiashara maana mwanzo nilifuga kwa matumizi yangu tu Kuku we mpe chanjo zote na kuna ugonjwa mmoja mbaya sana unaitwa coccidiosis unakuwa unawapa dawa tu ukiona choo cha ugoro au dalili ya damu.
Vinginevyo hamna changamoto yoyote mwaka jana mwishoni niliuza kuku 160. Sahv nina kuku 270 tayari kwa pasaka, maisha ni kudhubutu maana mwanzoni niliona hawana faida ila nikitoa gharama ya ulishaji faida naiona.
Pumba tani 1 nanunua kwa laki 3. Then mahindi,mashudu,uduvi au dagaa,mifupa na chumvi. Chakula cha kununua cha ready made ni gharama sana maana kuroiler wanakula balaaa hadi usiku kama ukiwasha taa wao ni kula tu hawajui kingine.
Jaribu huwezi jua bahati yako iko wapi mana kila mtu na mkono wake. Kuna mwingine biashara ya kuku anaona hailipi,mwingine biashara ya gari hataki kusikia kabisa,mwingine kilimo anaona hakilipi ila kwa waliotoboa kupitia hivyo vitu ina mana walijaribu bila kuangalia hasara kwa awali
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawauzia tu ndugu jamaa na marafiki hadi wanaisha.
Kuna watu wanaitwa kuku project wapo around ubungo.. Ila hasa wanakopesa watumishi
Sent using Jamii Forums mobile app
HujachelewaBado sijajua ni kwanini sikupitia uzi huu mapema.
MsaadaSamahani Wana jf me nimuhitimu wa chuo fulani#kulingana na upepo nimefikilia kujiajili na nauna ufugaji utanifaa naombeni experience yenu juu ya ufugaji wa kuku WA kisasa au naweza Pata wapi dalasa ili nifuge kwa ufanisi mkubwa[emoji120]
Nenda FB Kuna group linaitwa ufugaji kuku, masoko na changamoto utapata elimi bure pia wana group lao WhatsApp na Telegram.Msaada
OkayNenda fb Kuna group linaitwa ufugaji kuku ,masoko na changamoto utapata elimi bure pia wana group lao whatsup na telegram