Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

Guys nahitaji kuweka order au kununua vifaranga 100 kwa bei ya sh 1000 kila kimoja, nahitaji vifaranga specifically vya Kuroila, ila kama hivyo havipo bhas tutazungunza kuhusu vilivyopo, kama Kuna mtu anavyo anitext directly please! NIPO MOROGORO.
 
Guys nahitaji kuweka order au kununua vifaranga 100 kwa bei ya sh 1000 kila kimoja, nahitaji vifaranga specifically vya Kuroila, ila kama hivyo havipo bhas tutazungunza kuhusu vilivyopo, kama Kuna mtu anavyo anitext directly please! NIPO MOROGORO.
Vifaranga bei inafika 2200 huko. We bei ya 1000 umeipatia wapi
 
Wadau, ni kampuni zipi kubwa ambazo naweza agiza vifaranga wa kuku chotara (F1) ?
 
ASALI KUTOKA TABORA.

Nauza Asali Ya Jumla Na Rejareja
Ipo Ya Nyuki Wadogo Na Nyuki Wakubwa.

Tunafunga Kwa Vipimo Tofauti Tofautii

Bei Ya Rejareja
Lita1 - 10,000 (Nyuki Wa Kubwa)
Lita1 - 25,000 (Nyuko Wa Dogo)

Bei Ya Jumla
Tuwasiliane Maana Kuna Ofa Zaidi

[emoji3513] #0658357537
Call/ WhatsApp/Sms
Tabora

[emoji625] [emoji593] Tunafanya Delivery Nchi Nzima
honey-nutritional-values.jpg
 
Kuna mtu kanunua silverlands na bdo analalamika hawakui na wanakula sana. Cha muhimu hata hizo za mtaani mi ninazo na sasahv ndo nafuga kibiashara maana mwanzo nilifuga kwa matumizi yangu tu.

Kuku we mpe chanjo zote na kuna ugonjwa mmoja mbaya sana unaitwa coccidiosis unakuwa unawapa dawa tu ukiona choo cha ugoro au dalili ya damu.

Vinginevyo hamna changamoto yoyote mwaka jana mwishoni niliuza kuku 160. Sahv nina kuku 270 tayari kwa pasaka...maisha ni kudhubutu maana mwanzoni niliona hawana faida ila nikitoa gharama ya ulishaji faida naiona.

Pumba tani 1 nanunua kwa laki 3. Then mahindi,mashudu,uduvi au dagaa,mifupa na chumvi. Chakula cha kununua cha ready made ni gharama sana maana kuroiler wanakula balaaa hadi usiku kama ukiwasha taa wao ni kula tu hawajui kingine.

Jaribu huwezi jua bahati yako iko wapi mana kila mtu na mkono wake. Kuna mwingine biashara ya kuku anaona hailipi, mwingine biashara ya gari hataki kusikia kabisa,mwingine kilimo anaona hakilipi ila kwa waliotoboa kupitia hivyo vitu ina mana walijaribu bila kuangalia hasara kwa awali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Boss unaweza nisaidia formula
 
Ni nzuri sana kama una eneo kubwa na halina magonjwa ya kuwadhuru kuku hao, kikubwa hapo ni unataka kufuga kuku wa aina gani, kiasi gani, na lengo la kuwafuga ni lipi?
Boss kama nikitaka kufuga kuku 300 , baada ya kujenga banda niandae bajeti gani?
 
JE UNAJIULIZA WAPI UTAPATA VIFARANGAA BORA KWAJIRI YA KUFUGA AU KUUZAA?? [emoji2368][emoji2368] HILOO LISIKUSUMBUE JEFF AGRICULTURE FARM TUPO KWAJIRI YAKO

[emoji345]JEFF AGRICULTURE FARM ni wauzaji na wasambazaji wa vifarangaa wa aina zote kama

[emoji3514]CHOTARA
[emoji3514]BROILER
[emoji3514]LAYERS
[emoji3514]SILK
[emoji3514]BRAHAMA

[emoji345]EWE MFUGAJI FURSAA NDIOO HII JIPATIE VIFARANGAA BORA KUTOKA KWA JEFF AGRICULTURE FARM VYENYE AFYA BORAA NA WALITOKA KWA WAZAZI BORA

[emoji345]EPUKA HASARA NUNUA VIFARANGAA BORA UNUFAIKEE NA UFUGAJI WAKOO

1.CHOTARA SH 1500/=
2.BROILER SH 1800/=
3.LAYERS SH 2500/=
4.BRAHAMA SH 40000/=
5.SILK SH 30000/=

NB:JEFF AGRICULTURE FARM HATUNA DALALII 0744344949 /0658344949 [emoji3513][emoji3513][emoji3513]

MIKOANI TUNATUMA BILAA SHIDAA [emoji597][emoji597][emoji597][emoji597]
IMG-20221229-WA0020.jpg
 
WAPE THAMAN MIFUGOO YAKO ACHA KUFUGA KWA MAZOEA ANZA KUFUGA KIMKAKATII MA UTENGENEZEE PESAA NYINGII KWA MUDA MFUPII

[emoji345]JEFF AGRICULTURE FARM TUNAKULETEA NIPPLES MAALUM KWAJILI YA MAJI KWA MIFUGOO YAKO NA KUEPUKA HASARA NDOGOO NDOGOO NA MAGONJWA YA MLIPUKOO KWANI NIPPLES ITAWAFANYA KUKU WAKO KUNYWA MAJI SAFI NA SALAMA BILAA KUMWAGIKA BANDANII

[emoji345]IKUMBUKWE NIPPLES ZINAFUNGWA KWENYEE NDOO AU JABA AMBALO UNAWEKA BANDANI HIVYOO KUKU WAKO WATAKUA WANAKUNYWA MAJI BILAA KUYACHAFUA WALA KUYAMWAGA BANDANI

[emoji345]HIVYO BASI KUPITIA KWA JEFF AGRICULTURE FARM UTAWEZA JIPATIA NIPPLES ZA KISASAA KWA BEI NDOGOO KABISA YA SHILINGI 3000/=TU

NB:TUNAUZA NIPPLES TUU HATUUZI NDOO

0744344949 /0658344949 [emoji3513][emoji3513][emoji3513]

NA MIKOANI TUNATUMA PIA [emoji597][emoji597][emoji597]

NA UKITAKA KULETEWA UNALETEWA MPAKA KWAKO NA KUFUNGIWA UNAFUNGIWA KWA BEI POA KABISA [emoji3578][emoji3578]
6ce1fa26d627aeb95ba78903381312b3.jpg
 
JEE WEWE NI MFUGAJI NA UNAHITAJI KUFUGA KUKU PURE WA KIENYEJI NA UJUI MAYAI YAKE UTAYAPATA WAPI? ?? [emoji2369][emoji2369]

[emoji345]WATU WENGI WAMEKATA TAMAAA YA KUFUGA KUKU WA KIENYEJI KWA SABABU YA UADIM WAKE NA USUMBUFU WAKE KATIKA UPATIKANAJI WAKE

[emoji345]JEFF AGRICULTURE FARM imekuja na jibuuu la swalii hiloo na kukuletea mayai ya kienyeji ya uhakika amabayo unaweza uwapa kuku wako wa kienyeji wakayaangua yotee

SIFA ZA KUKU WA KIENYEJI NI KAMA :

1.Anauwezo wa kustahimili magonjwa
2.Nyama yake ni nzuri na ya kuvutia
3.Anauwezo wa kutaga mayai mengi na kuyaatamia (kuyaangua) mwenyewee
4.Unaweza kumfuga kwa njia tatuu fofauti (Huria, Nusu huria na shadidii)
Kukuu wa kienyeji ni kuku boraa katika ulimwengu wa ufugaji

[emoji345]Kupitia sifa hizoo kuku wa kienyeji anakupa Advantage wewee mfugajii kuwafuga na kupata matokeo makubwa zaidii

[emoji345]Ukikosa pesa ya chakula kuku wa kienyeji anauwezo wa kutafuta chakula chakee mwenyewee na badae ukipata pesa wakaendelea na kula chakula cha mchanganyo special NB Dawa ya minyo kwa kuku wanaojitafutia chakula

[emoji345]Kutokana na uchache wao na uwadimu wao katika karne hii unaweza kutumia kama fursa kutengeneza soko lako na kulii Brand kwa upeke

[emoji345]Kuku wa kienyeji haitaji INCUBATOR MACHINE ilikuweza kupata vifarangaa kwa sababu mama mazaz anauwez wa kuatamia vizuri na kutoa vifaranga wotee wakiwa salama

[emoji345]Kuku wa kienyeji anauwezo wa kukupa pesaa zaidii ya kuku wengne wotee kama tyuu utamfuga kama biashara

Sifa za kuku wa kienyeji ni nyingii siwez kuzimaliza kabisa

[emoji345]Hivyoo JEFF AGRICULTURE FARM wanakuletea mayai ya kienyeji kwa SHILINGI 16000/TU TRAY

[emoji345]Na kama wewee ni mteja na hauna pakuyatotolesha mayai haya unaweza kuyanunua na tukakuwekea kwenyee INCUBATOR MACHINE zetu na Baada ya muda unaijia vifaranga wako wote watakao patikana

[emoji345]Ndugu mteja JEFF AGRICULTURE FARM tunauza mayai tu

NB KUKU ANAPASWA KULAA CHAKULA BORA CHENYE MCHANGANYO SAWA LAKINI PIA CHANJO ZOTE ANATAKIWA KUPEWA NA KUZINGATIA AFYA YAKE

0744344949 /0658344949 [emoji3513][emoji3513]
MIKOANI TUNATUMA
images.jpg
 
[emoji345]OFAA OFAA OFAA HII NI KWA WAFUGAJI NA WAJASIRIAMALI WADOGO WADOGO LEO JEFF AGRICULTURE FARM ANAKUSANUA WEWE MFUGAJII NA KUKUPAA ELIMU NA MBINUU YA KUKUZA UCHUMI WEWEE MFUGAJI [emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223]

[emoji345]WATU WENGI WAMEKUA WAKILALAMIKA NA KUUMIZWA NA MFUMKO WA BEI ZA VYAKULA VYA MIFUGO NA KUPELEKEA WATU KUSHINDWA KUENDESHA MIRADI YAO YA UFUGAJI NA KUKATA TAMAA KABISAA NA KUKOSA MBINU YA KUPUNGUZA GARAMA ZA CHAKULAA[emoji24][emoji24][emoji24]

[emoji345]JEFF AGRICULTURE FARM ANAKWAMBIA HILOO LISIKUPE SHIDAA SANAA KWANI NI RAHISI SANA KWANII USHAWAHI JIULIZA UKIMILIKI PILLET MACHINE YAKO YA KUTENGENEZA CHAKULA CHAKO MWENYEWE UTAKUA UMEOKOA PESAA NGAPII?

[emoji345]PILLET MACHINE INAUWEZO WA KUKURAHISISHIA WEWEE MFUGAJI BAADHII YA MAMBO YAKO NA KUKUPA MUDA WA KUFIKILIA MAMBO MENGINEE SIO KILA SIKU KUWAZA UTAPATA WAPII PESA ZA CHAKULA

PILLET MACHINE ZETU ZINA UWEZO KAMA

[emoji3514]KG 100 KWA SAA BEI 1,500,000
[emoji3514]KG 150 KWA SAA BEI 1,700,000
[emoji3514]KG 250 KWA SAA BEI 2,400,000
[emoji3514]KG 350 KWA SAAA 3,500,000
[emoji3514]KG 500 KWA SAA BEI 5,500,000
[emoji3514]KG 750 KWA SAA BEI 7,000,000
[emoji3514]TONE MOJA KWA SAA BEI 8,500,000
[emoji3514]TONE MBILI KWA SAA BEI 12,500,000

[emoji345]MACHINE ZETU ZINATENGENEZA CHAKULA CHA KUKU, SUNGURA, NG'OMBE, SAMAKI NK

MAWASILIANO 0744344949 /0658344949 [emoji3513][emoji3513]DSM

MIKOANI TUNATUMA KWA GARAMA ZA MTEJA [emoji597][emoji597]


[emoji345]JEFF AGRICULTURE FARM NI UKOMBOZI WA FIKRA KWA WAFUGAJI [emoji3578][emoji3578]
IMG-20221023-WA0019.jpg
 
Habar wapendwa

Naomba ujuzi wa namna yakuanza biashara ya kuuza kuku wa bichi wa vipande hawa wa kisasa faida inakuaje kwa kuku mmoja na bei za jumla zikoje na wapi wanapatikana kwa wingi msaada wapendwa.
 
Kwema wakuu! Tafadhali naomba mwenye wapi naweza pata elimu kwa njia ya kitabu hata pdf nataka nipate elimu ya kutosha kabla sijaingia katika mapambano rasmi. Asanteni.
 
Back
Top Bottom