Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

Yani mpaka unajenga banda haujui inataka kufika kuku wa aina gani na wapi wanapatikana.wewe haupo serious huenda hata banda huna
Hata mimi nimeanza kuwaza kama wewe mkuu!

Hadi amepata wazo la kujenga banda lakini hajui mradi wake unataka aina gani ya kuku?? Miujiza hii
 
Wakuu neema iwe juu yenu.

Naomba nielezee changamoto na faida nilizokumbana nazo katika ufugaji wa kuku.
Nanze na broilers ambao watu wengi huwaona hawana faida.

kwakweli kama unafuga hawa kuku na ukawa na soko kwa wakati nikimaanisha kuwa kuku wamefika siku za kuuzwa na soko likawa linaeleweka basi ukiuza vizuri utaona faida nzuri sana kwa mana kuku hawa ukiwa mzoefu unajua ni idadi ngapi ya mifuko ya chakula kuwalisha mpaka wafike muda wa kuuzwa.

Changamoto inakuja pale wamefika kipindi wauzwe halafu unakuta soko halieleweki kwa mfano una kuku 500 bandani basi itakubidi kuwalisha mfuko mzima wa kilo 50 kwa kila siku na kwa kufanya hivyo kwa siku hata 5 soko likichelewa basi ujue kuku ndo wamekula faida na pindi uuzapo utarudisha pesa ya mtaji tu.

Ushauri wangu kwa kuku wa aina hii mfugaji unatakiwa uwe na soko tayari ili ifikapo muda wa kuuza basi wasiendelee kukaa bandani na kutafuna faida yenyewe.

Kwa sasa nafuga hawa kuku aina ya kutoiler japo wenyewe wanaita kienyeji chotara. Kuku hawa ni wazuri sana sababu ufugaji wake hautofatiani kama wale wa asili.

Kuku hawa ununuapo vifaranga huwezi tambua majike ni wangapi na madume mangapi ila tunakuwa na imani kuwa uwiano siku zote unalingana.

Faida ya kuku wa hii ya kuroiler ni mayai yao. Kwa mana mayai huuzwa mengi kwa ajili ya utotoreshaji pamoja ya kula.
Mayai haya hayana tofauti na yale ya kienyeji pure na soko lake lipo wazi wazi. Faida nyingine ni hawa kuku wanapokua unakuwa na idadi kamili ya majogoo na kwa usahuri tunashauriwa kuweka uwiano wa mitetea 7 kwa jogoo 1 kisha unauza majogoo waliobakia.

Majogoo wa kuroiler ufika mpaka kilo 5 ya uzito na kwa haraka haraka unaweza kupata 30,000/= kwa jogoo mmoja.
Ulishaji wake si changamoto sana kama wale wa broiler, sababu unaweza kupata mchanganyiko wa chakula (formula) nzuri ukachanganya mwenyewe na kuona matokeo mazuri.

Changamoto iliyopo ni kwamba uvumilivu wa kuwalea toka vifaranga mpaka wafike miezi 5 hapo ni pesa inatoka tu.
Ushauri wangu kuku hawa pindi ufugapo wahahitaji uangalizi wa hali ya juu sana ili uje upate pesa baada ya hiyo miezi 5.
Magonjwa yanayosumbua sana ni kinyesi cha ugoro (coccidiosis)na kupelekea kuku kupata chorela. Changamoto hiyo ni kwa sababu ya kutopatikana maji salama maeneo mengi.

Mimi nilikuwa nikichemsha maji usiku na kuyahifadhi vizuri ifikapo asubuhi nawapa kuku, ilinisaidia sana kuondokana na maradhi hayo wakati bado wako wadogo mpaka miezi 2.

Changamoto ni sasa hivi kwa mana wamekua wakubwa na wanakunywa maji mengi kulingana na awali.

Ahsanteni sana japo uandishi wangu si mzuri.

Bham cihi.
 
Aksante kwa fundisho lako hili. Ni watu wachache sana wapo tiyari kuilimisha wengine. Ila hujasema uko wapi na soko zuri liko wapi. Hivi hakuna namna ya kutengeneza chama cha wafugaji tukakubaliana kuwa tuuze mahali fulani watu wafuate hapo kuliko kutafuta soko wenyewe?? Kama tungelikuwa na bucha yetu wenyewe mahali tungelipeleka huko wachinjwe wahifadhiwe vizuri wateja wafuate au wapelekewe kutoka hapo?? Ni wazo langu tu kwani kwa njia hii tungelipata silaha ya kuwadhibiti hawa wanao tuziria ili tupunguze bei kuogopa kuku kula faida.
 
Nikiri Mimi nimeuza sana kuku, Ila kiukweli kwa sasa hivi soko zuri hasa LA uhakika ni kuku wa kienyeji pure. Demand yake ni kubwa sana na mara nyingi wateja wangu ambao ni mabar hupendelea kienyeji pure kwa ajili ya supu. Mimi nilikuwa nawachukulia singida na order ilifika mpk 60 per day.

Kwa mwez nilikuwa na uwezo wa kuuza kuku mpaka 1000 au 1200 na zaid. Nilichojifunza kuku wa kienyeji anafaida sana kuliko hata kuroiler ukiamua kufuga kisasa na ukiwa na eneo kubwa. Ikungi singida Luna mzee alikuwa anafuga kienyeji na amefanikiwa sana. Kwangu naomba tu kuendelee kuwa na zuio LA kuingiza vifaranga ili wafugaji wetu wanyanyuke.
 
Asante sana mkuu kwa mada nzuri saana na ilioeleweka vizuri sana japo umetuacha na maswali mengi kwa sisis tusio jua.
langu moja mkuu ni wapi ninaweza kupata kuku wa asili kabisa au mayai yake kwaajili ya kutotolesha? Nakutakia kila jema.
 
Nikiri Mimi nimeuza sana kuku, Ila kiukweli kwa sasa hivi soko zuri hasa LA uhakika ni kuku wa kienyeji pure. Demand yake ni kubwa sana na mara nyingi wateja wangu ambao ni mabar hupendelea kienyeji pure kwa ajili ya supu. Mimi nilikuwa nawachukulia singida na order ilifika mpk 60 per day. Kwa mwez nilikuwa na uwezo wa kuuza kuku mpaka 1000 au 1200 na zaid. Nilichojifunza kuku wa kienyeji anafaida sana kuliko hata kuroiler ukiamua kufuga kisasa na ukiwa na eneo kubwa. Ikungi singida Luna mzee alikuwa anafuga kienyeji na amefanikiwa sana. Kwangu naomba tu kuendelee kuwa na zuio LA kuingiza vifaranga ili wafugaji wetu wanyanyuke.


Mkuu samahani sana hivi unawasafirishaje kutoka singida na bei yake kule ikoje ndugu yangu, samahani lakini.
 
mkuu samahani sana hivi unawasafirishaje kutoka singida na bei yake kule ikoje ndugu yangu, samahani lakini.
Bei ukiamua kuingia mwenyewe unaweza pata jogoo mpk kwa 8000. Matetea nilipata mpaka kwa 5000 inategemeana. Usafiri unanua matenga ya kuku. Yapo makubwa tuseme disposable ya kuingia mpka kuku 50. Bei 15000. Usafiri ni kutumia maroli. Mimi kwa tenga nililipa 12000 nauli sikuwa nalipa maana nilikuwa nabeba matenga mengi wasatan wa 10. Ila nilipokuwa nanunua nilikuwa nawapa na dawa has a za mdondo kwa tahadhari na nilipokuwa nafika dar niliwachanja na kuanza kuwanenepesha kwa mashudu kwa muda wa week. Ni biashara nzur Ila ishu madalali. Unatoa mzigo mbali ukifika wanataka mle nusu kwa nusu. Ila nashukuru mungu nilizunguka manually kwenye mahoteli na nilizikusanya tenda. Sasa hivi najianda kufuga kabisa kwa wingi.
 
Wakuu neema iwe juu yenu.
Naomba nielezee changamoto na faida nilizokumbana nazo katika ufugaji wa kuku.
Nanze na broilers ambao watu wengi huwaona hawana faida.
kwakweli kama unafuga hawa kuku na ukawa na soko kwa wakati nikimaanisha kuwa kuku wamefika siku za kuuzwa na soko likawa linaeleweka basi ukiuza vizuri utaona faida nzuri sana kwa mana kuku hawa ukiwa mzoefu unajua ni idadi ngapi ya mifuko ya chakula kuwalisha mpaka wafike muda wa kuuzwa.
Changamoto inakuja pale wamefika kipindi wauzwe halafu unakuta soko halieleweki kwa mfano una kuku 500 bandani basi itakubidi kuwalisha mfuko mzima wa kilo 50 kwa kila siku na kwa kufanya hivyo kwa siku hata 5 soko likichelewa basi ujue kuku ndo wamekula faida na pindi uuzapo utarudisha pesa ya mtaji tu.
Ushauri wangu kwa kuku wa aina hii mfugaji unatakiwa uwe na soko tayari ili ifikapo muda wa kuuza basi wasiendelee kukaa bandani na kutafuna faida yenyewe.
Kwa sasa nafuga hawa kuku aina ya kutoiler japo wenyewe wanaita kienyeji chotara. Kuku hawa ni wazuri sana sababu ufugaji wake hautofatiani kama wale wa asili.
Kuku hawa ununuapo vifaranga huwezi tambua majike ni wangapi na madume mangapi ila tunakuwa na imani kuwa uwiano siku zote unalingana.
Faida ya kuku wa hii ya kuroiler ni mayai yao.
kwa mana mayai huuzwa mengi kwa ajili ya utotoreshaji pamoja ya kula.
Mayai haya hayana tofauti na yale ya kienyeji pure na soko lake lipo wazi wazi. Faida nyingine ni hawa kuku wanapokua unakuwa na idadi kamili ya majogoo na kwa usahuri tunashauriwa kuweka uwiano wa mitetea 7 kwa jogoo 1 kisha unauza majogoo waliobakia.
Majogoo wa kuroiler ufika mpaka kilo 5 ya uzito na kwa haraka haraka unaweza kupata 30,000/= kwa jogoo mmoja.
Ulishaji wake si changamoto sana kama wale wa broiler, sababu unaweza kupata mchanganyiko wa chakula (formula) nzuri ukachanganya mwenyewe na kuona matokeo mazuri.
Changamoto iliyopo ni kwamba uvumilivu wa kuwalea toka vifaranga mpaka wafike miezi 5 hapo ni pesa inatoka tu.
Ushauri wangu kuku hawa pindi ufugapo wahahitaji uangalizi wa hali ya juu sana ili uje upate pesa baada ya hiyo miezi 5.
Magonjwa yanayosumbua sana ni kinyesi cha ugoro (coccidiosis)na kupelekea kuku kupata chorela. Changamoto hiyo ni kwa sababu ya kutopatikana maji salama maeneo mengi.
Mimi nilikuwa nikichemsha maji usiku na kuyahifadhi vizuri ifikapo asubuhi nawapa kuku, ilinisaidia sana kuondokana na maradhi hayo wakati bado wako wadogo mpaka miezi 2.
Changamoto ni sasa hivi kwa mana wamekua wakubwa na wanakunywa maji mengi kulingana na awali.

Ahsanteni sana japo uandishi wangu si mzuri.

Bham cihi.
Hivi hawa kuku wa broiler kwanzia kutotolewa mpka kuja kuuza huchukua mda wa miezi mingapi
 
asante sana mkuu kwa mada nzuri saana na ilioeleweka vizuri sana japo umetuacha na maswali mengi kwa sisis tusio jua.
langu moja mkuu ni wapi ninaweza kupata kuku wa asili kabisa au mayai yake kwaajili ya kutotolesha? nakutakia kila jema.
Mkuu yakupasa kutembelea mashamba wanayofuga kuku wa kienyeji pure ili ununue mayai na kupeleka kwenye incubator ambayo kwa siku 21. Lakini kama unataka kufuga kibiashara nakushauri ufuge kuroiler.
 
Nikiri Mimi nimeuza sana kuku, Ila kiukweli kwa sasa hivi soko zuri hasa LA uhakika ni kuku wa kienyeji pure. Demand yake ni kubwa sana na mara nyingi wateja wangu ambao ni mabar hupendelea kienyeji pure kwa ajili ya supu. Mimi nilikuwa nawachukulia singida na order ilifika mpk 60 per day. Kwa mwez nilikuwa na uwezo wa kuuza kuku mpaka 1000 au 1200 na zaid. Nilichojifunza kuku wa kienyeji anafaida sana kuliko hata kuroiler ukiamua kufuga kisasa na ukiwa na eneo kubwa. Ikungi singida Luna mzee alikuwa anafuga kienyeji na amefanikiwa sana. Kwangu naomba tu kuendelee kuwa na zuio LA kuingiza vifaranga ili wafugaji wetu wanyanyuke.
Nikweli kabisa mkuu. Zuio la vifaranga vya nje limeinua wafugaji wa ndani.
Jambo zuri hata sisi pia tunaweza zalisha hao vifaranga na kupeleka nje sema tatizo hatukuwahi kuamka mapema.
 
Nikweli kabisa mkuu. Zuio la vifaranga vya nje limeinua wafugaji wa ndani.
Jambo zuri hata sisi pia tunaweza zalisha hao vifaranga na kupeleka nje sema tatizo hatukuwahi kuamka mapema.
Limeinua kwa namna gani?
 
Wakuu neema iwe juu yenu.
Naomba nielezee changamoto na faida nilizokumbana nazo katika ufugaji wa kuku.
Nanze na broilers ambao watu wengi huwaona hawana faida.

kwakweli kama unafuga hawa kuku na ukawa na soko kwa wakati nikimaanisha kuwa kuku wamefika siku za kuuzwa na soko likawa linaeleweka basi ukiuza vizuri utaona faida nzuri sana kwa mana kuku hawa ukiwa mzoefu unajua ni idadi ngapi ya mifuko ya chakula kuwalisha mpaka wafike muda wa kuuzwa.

Changamoto inakuja pale wamefika kipindi wauzwe halafu unakuta soko halieleweki kwa mfano una kuku 500 bandani basi itakubidi kuwalisha mfuko mzima wa kilo 50 kwa kila siku na kwa kufanya hivyo kwa siku hata 5 soko likichelewa basi ujue kuku ndo wamekula faida na pindi uuzapo utarudisha pesa ya mtaji tu.

Ushauri wangu kwa kuku wa aina hii mfugaji unatakiwa uwe na soko tayari ili ifikapo muda wa kuuza basi wasiendelee kukaa bandani na kutafuna faida yenyewe.

Kwa sasa nafuga hawa kuku aina ya kutoiler japo wenyewe wanaita kienyeji chotara. Kuku hawa ni wazuri sana sababu ufugaji wake hautofatiani kama wale wa asili. Kuku hawa ununuapo vifaranga huwezi tambua majike ni wangapi na madume mangapi ila tunakuwa na imani kuwa uwiano siku zote unalingana.

Faida ya kuku wa hii ya kuroiler ni mayai yao. Kwa mana mayai huuzwa mengi kwa ajili ya utotoreshaji pamoja ya kula.
Mayai haya hayana tofauti na yale ya kienyeji pure na soko lake lipo wazi wazi. Faida nyingine ni hawa kuku wanapokua unakuwa na idadi kamili ya majogoo na kwa usahuri tunashauriwa kuweka uwiano wa mitetea 7 kwa jogoo 1 kisha unauza majogoo waliobakia.

Majogoo wa kuroiler ufika mpaka kilo 5 ya uzito na kwa haraka haraka unaweza kupata 30,000/= kwa jogoo mmoja.
Ulishaji wake si changamoto sana kama wale wa broiler, sababu unaweza kupata mchanganyiko wa chakula (formula) nzuri ukachanganya mwenyewe na kuona matokeo mazuri.

Changamoto iliyopo ni kwamba uvumilivu wa kuwalea toka vifaranga mpaka wafike miezi 5 hapo ni pesa inatoka tu.
Ushauri wangu kuku hawa pindi ufugapo wahahitaji uangalizi wa hali ya juu sana ili uje upate pesa baada ya hiyo miezi 5.
Magonjwa yanayosumbua sana ni kinyesi cha ugoro (coccidiosis)na kupelekea kuku kupata chorela. Changamoto hiyo ni kwa sababu ya kutopatikana maji salama maeneo mengi.

Mimi nilikuwa nikichemsha maji usiku na kuyahifadhi vizuri ifikapo asubuhi nawapa kuku, ilinisaidia sana kuondokana na maradhi hayo wakati bado wako wadogo mpaka miezi 2.

Changamoto ni sasa hivi kwa mana wamekua wakubwa na wanakunywa maji mengi kulingana na awali.

Ahsanteni sana japo uandishi wangu si mzuri.

Bham cihi.
Upo sahihi, tatizo la wafugaji wengi wa broiler, asa wanaojifunza wanasubiri mpaka kuku afike muda wa kuuzwa ndio wanatafuta soko, sasa wanunuzi wakichelewa siku moja tu unajikuta kuku wanaanza kula faida na baadae hadi mtaji hasa kama siku zitaongezeka zaidi.

Mimi hutangaza soko siku kumi kabla ya muda wa kuuza, mnunuzi anakuja anawaona na ku make appointment mapema.
 
Upo sahihi, tatizo la wafugaji wengi wa broiler...hasa wanaojifunza wanasubiri mpaka kuku afike muda wa kuuzwa ndio wanatafuta soko, sasa wanunuzi wakichelewa siku moja tuu....unajikuta kuku wanaanza kula faida...na baadae hadi mtaji hasa kama siku zitaongezeka zaidi.
Mimi hutangaza soko siku kumi kabla ya muda wa kuuza, mnunuzi anakuja anawaona na ku make appointment .mapema...
Huu mchezo unawacost sana. Tangaza soko mapema
 
Back
Top Bottom