kwalele
Member
- Mar 18, 2013
- 36
- 15
Kwa anayefahamu kuhusu gharama za kununua kifaranga wa kuku wa kisasa ktka jiji la dar na aina za madawa ambazo ni muhimu kwa ukuaji wa vifaranga hao na makadilio ya gharama ya madawa hayo please naomba anieleweshe,natanguliza shukrani kwa wana jukwaa:yell::yell: