Ufugaji wa kuku wa nyama

hhsmakwato

Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
97
Reaction score
51
Wanajamvi naomba msaada kwenu....
Nategemea kupata kuku wa nyama hivi karibuni hivyo naomba kupewa maelekezo pindi tu watakapofika.
Kuku watakuwa 200 , banda lipo zuri, .
Chakula gani na utaratibu wa dawa kwa wiki zote . Naomba kuwasilisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…