Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,171
- 34,394
- Thread starter
- #21
Shukran sana nimeelewa
Amemaanisha kuanzia gharama za kununua vifaranga mpka waje wafike umri wa kuanza kutaga, watakuwa na thamani ya 9,000 kila kuku. Ina maana uandae lak tisa. Ila si haba ukaweka zaidi ya hapo ili uwe na emergency
Sent using Jamii Forums mobile app