Ufugaji wa mbwa na chakula chake

Ufugaji wa mbwa na chakula chake

pangakali 2

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2019
Posts
239
Reaction score
221
Habari za majukumu wanajamvi,

Mbwa wangu wamekua na changamoto ya kupoteza afya ikiambatana kunyonyoka manyoya na kupoteza uwezo wa kuona kufikia hatua hadi anajigonga sehem kwa kutoona.

Kuna baadhi ya watu wamenambia hawa mbwa aina ya GS ukiwalisha dagaa hio ndio athari yake. Swali langu je kuna ukweli ndani yake na je suluhisho la kurejesha afya yake ni lipi?
 
Mkuu acha kuwalisha dagaa

Badala yake wapikie nyama au utumbo wa kuku hakikisha inaiva vizuli na iwe na supu.

Hatuwa ya kwanza, pika dona isiwe nzito ama nyepesi, hakikisha iive vizuli, baada ya hapo changanya na ile nyama koroga vizuli kisha wape. Utakuja kunishukuru mzehe.

Kama una swali jingine nishituwe mkuu.
 
Mkuu acha kuwalisha dagaa

Badala yake wapikie nyama au utumbo wa kuku hakikisha inaiva vizuli na iwe na supu.

Hatuwa ya kwanza, pika dona isiwe nzito ama nyepesi, hakikisha iive vizuli, baada ya hapo changanya na ile nyama koroga vizuli kisha wape. Utakuja kunishukuru mzehe.

Kama una swali jingine nishituwe mkuu.
Mi nina swali.

Mzehe ni nini?
 
Mkuu acha kuwalisha dagaa

Badala yake wapikie nyama au utumbo wa kuku hakikisha inaiva vizuli na iwe na supu.

Hatuwa ya kwanza, pika dona isiwe nzito ama nyepesi, hakikisha iive vizuli, baada ya hapo changanya na ile nyama koroga vizuli kisha wape. Utakuja kunishukuru mzehe.

Kama una swali jingine nishituwe mkuu.
Nashukuru sana mkuu
 
Pia wajali chanjo, na vidonge vya vitamini
Nashukuru sana kwa ushauri mbwa amekonda kabaki mifupa manyoya yamenyonyoka hadi nafikiria kumtupa maana niliaafiri kama miezi 8 sikuwepo nyumban kuja kurud ndio namkuta kwenye hali kama hio. Pia mbwa wangu ana miaka 5 je inaweza kuwa amechoka ajili ya uzee?
 
Kabla ya hapo walikua na afya nzuri? hayo mabadiliko umeyaona kuanzia wakiwa na umri gani?

Tuanzie hapo kwanza.
Soma comment #12

 
Soma comment #12

Comment #12 haina majibu ya nilichokiuliza,anyway acha niishie hapa.
 
Nashukuru sana kwa ushauri mbwa amekonda kabaki mifupa manyoya yamenyonyoka hadi nafikiria kumtupa maana niliaafiri kama miezi 8 sikuwepo nyumban kuja kurud ndio namkuta kwenye hali kama hio. Pia mbwa wangu ana miaka 5 je inaweza kuwa amechoka ajili ya uzee?

Tatizo la vijana wengiwao wamebweteka, huwa hawaoni umuhimu wa hao wanyama, ukisafiri juwa kwamba utapigiwa any time mbwa amekufa au mgonjwa, hawajali aise.

Tafuta daktari amcheki
 
Nashukuru sana kwa ushauri mbwa amekonda kabaki mifupa manyoya yamenyonyoka hadi nafikiria kumtupa maana niliaafiri kama miezi 8 sikuwepo nyumban kuja kurud ndio namkuta kwenye hali kama hio. Pia mbwa wangu ana miaka 5 je inaweza kuwa amechoka ajili ya uzee?

Usimptupe mkuu, mjali mapka afya yake irudi, 5years bado sana.
 
Back
Top Bottom