john hotsam da1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2012
- 396
- 79
Habari za muda huu wakuu,
Nimepitia nyuzi nyingi jukwaa hili kwenye upande wa ufugaji nimeona asilimia kubwa wamejikita kwenye ufugaji wa kuku,inaelekea inalipa hii! Anyway me nmekuja kivingine,hili ni wazo tu na kama nikiridhika nalo sana naweza fanya kweli (make it reality),nakukaribisha
Suala zima liko hivi;
Nanunua mbwa wadogo (puppies) wa aina(breeds) zinazopendwa mf german/australian shepherd, Rottweiler or poodle say few females n a single male roughly each costs 300k tzs.
Banda ninalo (nafugia local breeds currently) so ni kubadilisha matumizi tu hapo Mbwa mmoja anakuwa tayari kushika mimba kwenye umri wa mwaka 1-2 (recommended) na baada ya miezi miwili atazaa.Tuseme bei ya mbwa mdogo kipindi hicho itakuwa 350k na nna average ya vitoto vitano..do the arithmetics!!
Nimeelezea wazo langu kwa ufupi na bado sina ujuzi mkubwa kuhusiana na mfugo huu.naelewa chakula ni gharama bila kusahau chanjo kila mwezi ila nna imani baada ya miaka miwili itakuwa ni mradi wenye tija
Nishauri tafadhali!
Nimepitia nyuzi nyingi jukwaa hili kwenye upande wa ufugaji nimeona asilimia kubwa wamejikita kwenye ufugaji wa kuku,inaelekea inalipa hii! Anyway me nmekuja kivingine,hili ni wazo tu na kama nikiridhika nalo sana naweza fanya kweli (make it reality),nakukaribisha
Suala zima liko hivi;
Nanunua mbwa wadogo (puppies) wa aina(breeds) zinazopendwa mf german/australian shepherd, Rottweiler or poodle say few females n a single male roughly each costs 300k tzs.
Banda ninalo (nafugia local breeds currently) so ni kubadilisha matumizi tu hapo Mbwa mmoja anakuwa tayari kushika mimba kwenye umri wa mwaka 1-2 (recommended) na baada ya miezi miwili atazaa.Tuseme bei ya mbwa mdogo kipindi hicho itakuwa 350k na nna average ya vitoto vitano..do the arithmetics!!
Nimeelezea wazo langu kwa ufupi na bado sina ujuzi mkubwa kuhusiana na mfugo huu.naelewa chakula ni gharama bila kusahau chanjo kila mwezi ila nna imani baada ya miaka miwili itakuwa ni mradi wenye tija
Nishauri tafadhali!