Ufugaji wa ndege raha sana

Ufugaji wa ndege raha sana

Gaddaf i06

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2022
Posts
1,770
Reaction score
2,841
Habari zenu wafugaji,

mimi ni mfugaji tangu siku nyingi zilizopita, nimejikita sana kwenye kuku wa kienyeji.

hivi karibuni nilinunua mayai ya kanga nikayatotolesha pamoja na mayai ya kuku, sasa naona vifaranga vya kanga (sijuwi kama ni jina sahihi) vinakua kwa kasi kubwa kuliko kuku!
sasa nataka nizalishe kanga kwa wingi sana.

unajua utofauti upi kati ya kuku na kanga kuanzia kuzaliana- masoko?

karibu tupeane mawazo, changamoto nk
 
Kanga wana shida ya kupiga kelele sana kwenye mji. Pia wanataga popote na wanataga mayai mengi.

Kwakua asili yao n ndege wa porini hua wanahimili magonjwa. Ukipata soko lake la uhakika utawafurahia maana utakua nao wengi sana.

Hongera mkuu
 
Kanga wana shida ya kupiga kelele sana kwenye mji. Pia wanataga popote na wanataga mayai mengi.
Kwakua asili yao n ndege wa porini hua wanahimili magonjwa. Ukipata soko lake la uhakika utawafurahia maana utakua nao wengi sana.
Hongera mkuu
natamani sana kujua kuhusu soko lake, kuna mdau aliwahi kuniambia kwamba yai moja anauza kwa sh1,000 nilimpuuza tu.

nataka kuujua huu ukweli kutoka kwa wazoefu
 
Kanga hawapendi kuku mwenye vifaranga anavojitanuwa watamchangia wampige Hadi afe.Wana wivu sana sema mi nilikuwaga nna jogoo wangu mmoja alikuwa kiboko anawabanduwa kanga kinoma.Vikaja vikazaliwa vitoto shombe shombe ilivonyesha mvua vikanyeshewa vikafariki.
 
Sijafuatilia sana huku kwetu, lakini kuna kipindi nkiwa sirari kuna jamaa mmoja alikua anawapeleka kenya. Kule alikua anauza kanga mmoja KSH 1500, approzmately 30000 ya bongo. Sema baadae alitapeliwa kanga kama 30 hv akaacha kufuga. Kule kenya wana soko sana.

Kwa tanzania mpka kufanya research kubwa.

Lakini ntaulizia kuna mtu alikua anawafuga dodoma. Subr niulize soko lake af ntakupa mrejesho.
 
Kanga hawapendi kuku mwenye vifaranga anavojitanuwa watamchangia wampige Hadi afe.Wana wivu sana sema mi nilikuwaga nna jogoo wangu mmoja alikuwa kiboko anawabanduwa kanga kinoma.Vikaja vikazaliwa vitoto shombe shombe ilivonyesha mvua vikanyeshewa vikafariki.
Umechanganyikiwa
 
Nitafurahi kukuona tena hapa
Sijafuatilia sana huku kwetu, lakini kuna kipindi nkiwa sirari kuna jamaa mmoja alikua anawapeleka kenya. Kule alikua anauza kanga mmoja KSH 1500, approzmately 30000 ya bongo. Sema baadae alitapeliwa kanga kama 30 hv akaacha kufuga. Kule kenya wana soko sana.
Kwa tanzania mpka kufanya research kubwa.
Lakini ntaulizia kuna mtu alikua anawafuga dodoma. Subr niulize soko lake af ntakupa mrejesho
 
Back
Top Bottom