Ty_Vigilante
JF-Expert Member
- Jan 19, 2015
- 2,890
- 2,455
Mmmhhhh ishakuwa nongwa sasa.! Ufugaji wa Nzi utaanza lini waungwana.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwafuga watafika hata contena 1Dah, sijui nisemeje, mtoa mada umetoka jela juzi au upo kwenye skendo ya makenikia ya magufuli??
Nge gunia 100? Mi tangu nizaliwe sijawahi ona nge zaid ya 10
Ipo siku mtajalia kama mbuzi.. Hizi post zipo saana duniani kwa lugha mbali mbali anadanganya anatafuta kitu/ bidha/ dawa/ wadudu kumbe ye ndio anao unaenda nunua kisha unabaki nao ndio utajua makanikia ni nini[emoji23][emoji23][emoji23]Hizi ndizo mada za kusoma, sio mchanga mchanga mchanga...mxiuus
gunia mia za hicho kidudu upate galoni mojaNi namna ya kuwafuga na kuwatunza,hope itakuwepo shule namna ya kuwatunza,
Nimejaribu kufuatilia upo sahihi kabisa soko nje nje, na gram moja inauzwa kwa zaidi ya $ 600, pia kuna venon za nyoka,na Buibui for more inform visit Prices for Snake venom,scorpion venom and spider venom
Hao unawatupa kwenye chumba cha mkuda yeyote usiempenda wamuoneshe kazi😂😂😂Yani hilo gunia la nge si hatari kwa usalama wa wengine[emoji23] [emoji23]