Ufugaji wa Nge (scorpion), kitu pekee kinachoweza kukufanya kuwa bilionea ndani ya muda mfupi

Habari yako najua ni post ya siku nyingi, naomba kujua ulifanikiwa hili swala, niko kwenye mchakato
 
haiwezekani viroba huko kwenu viuzwe kwetu vipigwe marufuku
huu ni upendeleo

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah [emoji119][emoji119]
 
Kufuga sio tatizo. Changamoto ni soko. Uarabuni watu wamepigwa kupitia huu mradi wamebaki na nge wanakosa wapi pa kuuza iyosumu.
 
Sasa mleta uzi bahati mbaya hujafafanua ni kwa namna gani utaweza kupata hiyo sumu kutoka kwenye hao nyigu.
 
Sasa mleta uzi bahati mbaya hujafafanua ni kwa namna gani utaweza kupata hiyo sumu kutoka kwenye hao nyigu.
 
very smart idea kiongozi
 
Wewe umevuna kiasi gani? Tanzania tuna uhaba wa vijana! Asilimia kubwa ya mavi-jana ya Tanzania ni mapopoma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…